Saa 1500EAT Simba sc tuna Jambo letu

Saa 1500EAT Simba sc tuna Jambo letu

Hata za yanga na Simba?? Match gani ya Azam na yanga ilichezwa chamazi au Simba na Azam. Wewe ndiyo zuzu huna kumbukumbu.
mkuu kwa msimu uliopita Azam vs Yanga na Azam vs Simba zimechezewa Chamazi
 
Hata za yanga na Simba?? Match gani ya Azam na yanga ilichezwa chamazi au Simba na Azam. Wewe ndiyo zuzu huna kumbukumbu.
mkuu kwa msimu uliopita Azam vs Simba na Azam vs Yanga zimepigwa Chamazi.
 
Kwahiyo uwanja ukikamilika utaitwa Mo arena na Mo atakua na asilimia 49 za umiliki wa uwanja hali ya kuwa kwa kiasi kikubwa hela imechangwa na wana simba wenyewe ? .. Au nimekurupuka ? [emoji848][emoji848]
Kwani unaposikia mtaaa / barabara inaitwa / unaitwa Kenyatta , Kaunda , Hassan Mwinyi , Samora n.k. huyo mtu lazima awe ametoa pesa kujenga huo mtaaa au barabara?
Akili za misukule bhwana!
 
Ukiwa na uwanja alafu match ya yanga na Simba ikapangwa mkapa mtafanya nini?? Azam ana uwanja lakini match kubwa zote hachezee kwake anacheza mkapa.

Na hili ndio linalozubaisha maendeleo ya hizi timu!
Huu ni urasimu tu....
 

Huyu mwanamke wenu atawatoa roho mwamed anabonyezwa tu wadau mnafarakana.

Sijui leo mtatangaziwa nini kiwango cha mchango kwa kila mtu au[emoji23][emoji23][emoji23]
Timu inaendeshwa na mtu na demu wake mnategemea nini?

Baby wake katolewa nje kwa sababu kakiuka utaratibu wa kwenda na watoto sehemu special kwa maafisa huyo mbio mbio mpaka kwa my wake, kesho yake my wake katangaza kutembeza bakuli ili baby wake awe na uwezo wa kufanya lolote atakalo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu mwanamke wenu atawatoa roho mwamed anabonyezwa tu wadau mnafarakana.

Sijui leo mtatangaziwa nini kiwango cha mchango kwa kila mtu au[emoji23][emoji23][emoji23]
Timu inaendeshwa na mtu na demu wake mnategemea nini?

Baby wake katolewa nje kwa sababu kakiuka utaratibu wa kwenda na watoto sehemu special kwa maafisa huyo mbio mbio mpaka kwa my wake, kesho yake my wake katangaza kutembeza bakuli ili baby wake awe na uwezo wa kufanya lolote atakalo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwn Gsm hana baby na yeye ajenge uwanja
 
Back
Top Bottom