Hata za yanga na Simba?? Match gani ya Azam na yanga ilichezwa chamazi au Simba na Azam. Wewe ndiyo zuzu huna kumbukumbu.Kweli wewe zuzu msimu ulioisha Azam mechi zake zote alichezea Chamazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata za yanga na Simba?? Match gani ya Azam na yanga ilichezwa chamazi au Simba na Azam. Wewe ndiyo zuzu huna kumbukumbu.Kweli wewe zuzu msimu ulioisha Azam mechi zake zote alichezea Chamazi
mkuu kwa msimu uliopita Azam vs Yanga na Azam vs Simba zimechezewa ChamaziHata za yanga na Simba?? Match gani ya Azam na yanga ilichezwa chamazi au Simba na Azam. Wewe ndiyo zuzu huna kumbukumbu.
mkuu kwa msimu uliopita Azam vs Simba na Azam vs Yanga zimepigwa Chamazi.Hata za yanga na Simba?? Match gani ya Azam na yanga ilichezwa chamazi au Simba na Azam. Wewe ndiyo zuzu huna kumbukumbu.
Timu ndio inaamua mechi ipigwe wapiUkiwa na uwanja alafu match ya yanga na Simba ikapangwa mkapa mtafanya nini?? Azam ana uwanja lakini match kubwa zote hachezee kwake anacheza mkapa.
Kwani unaposikia mtaaa / barabara inaitwa / unaitwa Kenyatta , Kaunda , Hassan Mwinyi , Samora n.k. huyo mtu lazima awe ametoa pesa kujenga huo mtaaa au barabara?Kwahiyo uwanja ukikamilika utaitwa Mo arena na Mo atakua na asilimia 49 za umiliki wa uwanja hali ya kuwa kwa kiasi kikubwa hela imechangwa na wana simba wenyewe ? .. Au nimekurupuka ? [emoji848][emoji848]
Huyo unamuonea bure .Atajuaje kama mpira wenyewe anasikilizia kwenye redio ya mbao ya m/kiti wa Kijiji?mkuu kwa msimu uliopita Azam vs Simba na Azam vs Yanga zimepigwa Chamazi.
Ukiwa na uwanja alafu match ya yanga na Simba ikapangwa mkapa mtafanya nini?? Azam ana uwanja lakini match kubwa zote hachezee kwake anacheza mkapa.
Kwa siasa za mpira wa bongo usitarajie mechi ya Simba na Yanga ikachezwa Moo arena.Timu ndio inaamua mechi ipigwe wapi
Itachezwa tu ngoja uone uwaja ukikamilikaKwa siasa za mpira wa bongo usitarajie mechi ya Simba na Yanga ikachezwa Moo arena.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Basi wajiandae kuingiza watoto wa Babra huko VVIPKwa siasa za mpira wa bongo usitarajie mechi ya Simba na Yanga ikachezwa Moo arena.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Kwn Gsm hana baby na yeye ajenge uwanjaHuyu mwanamke wenu atawatoa roho mwamed anabonyezwa tu wadau mnafarakana.
Sijui leo mtatangaziwa nini kiwango cha mchango kwa kila mtu au[emoji23][emoji23][emoji23]
Timu inaendeshwa na mtu na demu wake mnategemea nini?
Baby wake katolewa nje kwa sababu kakiuka utaratibu wa kwenda na watoto sehemu special kwa maafisa huyo mbio mbio mpaka kwa my wake, kesho yake my wake katangaza kutembeza bakuli ili baby wake awe na uwezo wa kufanya lolote atakalo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yetu macho. Tuombe uhai na uzimaItachezwa tu ngoja uone uwaja ukikamilika
Ni maswala ya ujenzi wa uwanja wa kumfariji Babra.Oya nini kimejiri huko ?