OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Msaada upi?Baleke msaada wote huu anaondokaje
Mzee mtu ana goli 8 katika ligi kuu unasema sio msaada?? Goli la mech ya simba robo fainal alfunga nani?Msaada upi?
Ntibazonkiza ni mfungaji bora wa msimu uliopita! Halafu mnamkataa hata kabla ya msimu wa ligi kutamatika!!Akanywe naye chai nyumbani kwake lakini sio kuwa kwenye squad
Tutamleta Caesar Manzoki, kipenzi cha mashabiki.Wengine ni upande wa pili wenye wivu, sasa Onana akiachwa nani atakuja mzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu,
Kocha mkuu Benchika inasemekana amenyoosha rula. Rula yenyewe sio ombi ni maelekezo kwa viongozi!
Huyu anaweza kuwa kocha wa kwanza wa kigeni asiyeogopa mtu kwenye kazi yake. Aliletewa mtu ikabidi apitie mlango wa trial akamla kichwa fasta bila kuuliza aliyemleta [emoji23]
Inasemekana akitokea popote kambini ni kama Simba mwenye hasira ameingia na wachezaji wanamuogopa, hataki mchezo na mipango yake.
Sasa huko ametoa profile anataka washambuliaji wa aina gani na sio vinginevyo. Kuna majina vipenzi vya mashabiki yapo hati hati watu wanatafutana kuweka mambo sawa [emoji23]
Ila tutatoboa tu! Simba nguvu moja [emoji123]
Muweke na onana...kiufupi wageni wa kubaki kwa upande wangu naona.
1.Ngoma
2.Kanute
3.Sarr(kwasababu ndo ameaajiriwa)
4.Inonga
5.Chemalone
6.Ayubu
Wa kupewa angalizo msimu uliobaki wawe
1.Phiri
2.Miqson
3.Kramo
Waliobaki piga panga tukianza na hawa
1.Onana
2. Saido
3.Baleke
4.Chama
Kwa wazawa
1.Bocco
2.Bocco
3.Bocco
4.Bocco
5.Bocco
6......
7......
Kocha anaboresha kikosi kwa kuangalia uwezo wa mtu wa sasa. Saido ni mzuri ila muda umemtupa mkono. Ni kati ya watu wanaopewa nafasi kubwa sana kwa sasa lakini hawajaonyesha makali. Wawapishe wengineNtibazonkiza ni mfungaji bora wa msimu uliopita! Halafu mnamkataa hata kabla ya msimu wa ligi kutamatika!!
Mshasahau kwenye mechi moja tu na polisi Tanzania alitupia goli 5!! What a bull striker!! Mimi nitashangaa sana kama Mwenyekiti Mangungu atazisikiliza hizi kelele zenu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2869782
Tazama wakati wenzie wanashangilia yeye kala buyu tu anawaza viwango vya mashaka vya kikosi chake
Sasa hapo si una anza upyaMuweke na onana...kiufupi wageni wa kubaki kwa upande wangu naona.
1.Ngoma
2.Kanute
3.Sarr(kwasababu ndo ameaajiriwa)
4.Inonga
5.Chemalone
6.Ayubu
Wa kupewa angalizo msimu uliobaki wawe
1.Phiri
2.Miqson
3.Kramo
Waliobaki piga panga tukianza na hawa
1.Onana
2. Saido
3.Baleke
4.Chama
Kwa wazawa
1.Bocco
2.Bocco
3.Bocco
4.Bocco
5.Bocco
6......
7......
Mchukueni nyieNtibazonkiza ni mfungaji bora wa msimu uliopita! Halafu mnamkataa hata kabla ya msimu wa ligi kutamatika!!
Mshasahau kwenye mechi moja tu na polisi Tanzania alitupia goli 5!! What a bull striker!! Mimi nitashangaa sana kama Mwenyekiti Mangungu atazisikiliza hizi kelele zenu.
Bahati nzuri mkataba wake umeisha. Tanamtakia kila la heriSaido nasikia tayari
Alikua akishika mpira lazima aanguke..then anapenda kufunga peke yake ..miguu inatetemeka kama anapiga nyeto.Bahati nzuri mkataba wake umeisha. Tanamtakia kila la heri
Ila nyie makolo mjue Saido anawabebaga Sana. Asee mtakuja kumkumbukaSaido nasikia tayari
Kinacho mponza ni ubinafsi kila kitu anataka afanye yeyeAlikua akishika mpira lazima aanguke..then anapenda kufunga peke yake ..miguu inatetemeka kama anapiga nyeto.
Namkubali sana huyu kocha. He’s the real boss. No nonsense.Wakuu,
Kocha mkuu Benchika inasemekana amenyoosha rula. Rula yenyewe sio ombi ni maelekezo kwa viongozi!
Huyu anaweza kuwa kocha wa kwanza wa kigeni asiyeogopa mtu kwenye kazi yake. Aliletewa mtu ikabidi apitie mlango wa trial akamla kichwa fasta bila kuuliza aliyemleta [emoji23]
Inasemekana akitokea popote kambini ni kama Simba mwenye hasira ameingia na wachezaji wanamuogopa, hataki mchezo na mipango yake.
Sasa huko ametoa profile anataka washambuliaji wa aina gani na sio vinginevyo. Kuna majina vipenzi vya mashabiki yapo hati hati watu wanatafutana kuweka mambo sawa [emoji23]
Ila tutatoboa tu! Simba nguvu moja [emoji123]