Saa 48 ngumu kwa wachezaji Simba!

Saa 48 ngumu kwa wachezaji Simba!

Ntibazonkiza ni mfungaji bora wa msimu uliopita! Halafu mnamkataa hata kabla ya msimu wa ligi kutamatika!!

Mshasahau kwenye mechi moja tu na polisi Tanzania alitupia goli 5!! What a bull striker!! Mimi nitashangaa sana kama Mwenyekiti Mangungu atazisikiliza hizi kelele zenu.
Wala mimi sishangai wewe ukishangaa.
 
Sidhani kama kuna usajili mungine utafanywa na simba labda yule dogo wa prison tu
 
Wakuu,

Kocha mkuu Benchika inasemekana amenyoosha rula. Rula yenyewe sio ombi ni maelekezo kwa viongozi!

Huyu anaweza kuwa kocha wa kwanza wa kigeni asiyeogopa mtu kwenye kazi yake. Aliletewa mtu ikabidi apitie mlango wa trial akamla kichwa fasta bila kuuliza aliyemleta [emoji23]

Inasemekana akitokea popote kambini ni kama Simba mwenye hasira ameingia na wachezaji wanamuogopa, hataki mchezo na mipango yake.

Sasa huko ametoa profile anataka washambuliaji wa aina gani na sio vinginevyo. Kuna majina vipenzi vya mashabiki yapo hati hati watu wanatafutana kuweka mambo sawa [emoji23]

Ila tutatoboa tu! Simba nguvu moja [emoji123]

Mtu kama Baleka
Nafasi 10 anashinda goli 1

Ndio mna plan kuingia na huyo kwa michuào
 
Wakuu,

Kocha mkuu Benchika inasemekana amenyoosha rula. Rula yenyewe sio ombi ni maelekezo kwa viongozi!

Huyu anaweza kuwa kocha wa kwanza wa kigeni asiyeogopa mtu kwenye kazi yake. Aliletewa mtu ikabidi apitie mlango wa trial akamla kichwa fasta bila kuuliza aliyemleta [emoji23]

Inasemekana akitokea popote kambini ni kama Simba mwenye hasira ameingia na wachezaji wanamuogopa, hataki mchezo na mipango yake.

Sasa huko ametoa profile anataka washambuliaji wa aina gani na sio vinginevyo. Kuna majina vipenzi vya mashabiki yapo hati hati watu wanatafutana kuweka mambo sawa [emoji23]

Ila tutatoboa tu! Simba nguvu moja [emoji123]
Afanye afanyavyo sisi tunataka matokeo chanya.
 
Kama ni ya kweli basi ngoja tuone, nijuavyo mimi BENCHKHA ni zile type za watu ambao wao wakilala wakiamka wanawaza kazi zao tu yaani yupo tayari ashinde ofisini siku tatu bila kukanyaga kwake, pia ni mtu wa misimamo mikali, anachojali yeye ni mafanikio full stop. ukimletea za kuleta anakuondoa au anakuachia kazi yako, pia ni mtu anayekwazika haraka yaani hasira zipo shingoni, ni mtu anayejali sana cv yake na mafanikio yake ni mtu asiyependa kelele wala kukosolewa mwisho kabisa ni mtu asiyeishi kwa kutegemea sifa za mashabiki yeye huamini ktk mipango yake. AKIMALIZANA NA WACHEZAJI ANAYEFUATA NI MANGUNGU NA TRY AGAIN tofauti na hapo atawaachia timu yenu kabla ya krismas

Duh [emoji3][emoji3][emoji3][emoji2]
 
Kocha amesema hadharani bila washambuliaji bora na wenye nguvu hakuna kitachofanyika. Huwezi kwenda kupambana na Baleke, Saido na Onana! Tuingie hasara ya kuvunja mikataba hakuna namna au tuwe wapole msimu wa tatu huu viongozi wameshindwa kabisa kubadilika kwenye usajili.
 
Kocha amesema hadharani bila washambuliaji bora na wenye nguvu hakuna kitachofanyika. Huwezi kwenda kupambana na Baleke, Saido na Onana! Tuingie hasara ya kuvunja mikataba hakuna namna au tuwe wapole msimu wa tatu huu viongozi wameshindwa kabisa kubadilika kwenye usajili.
Kwa Simba hii hata Messi au Ronaldo wakiletwa wataishia kutepweta. Waswahili wanasema tatizo la Simba ni kupigana misumari tu. Kuanzia viongozi, wachezaji, benchi la ufundi mpaka mashabiki wa Simba wote wanaamini kwenye fitna, ushirikina, figisu, hila na ulaghai kama silaha nzito za Simba.
 
Msimamo ndo unaofaa hakuna kuwaangalia watu machoni, ingawa wengine wanaogopa je akiwaacha baadhi ya wachezaji timu itakuja kupata chemistry mapema? Watu kama hawa ni kuwaaga tu kiroho paka

1.Saido ( umri umeenda )
2.Chama (nidhamu na umri)
3.Kramo ( mchezaji kamaliza msimu bila kucheza majeraha sugu
4.Bocco ( huyu umri na hana msaada tena)
5.Kennedy ( huyu yupo yupo tu)
6

Sent using Jamii Forums mobile app
Kennedy ana kosa gani,au Ile kuchomesha juzi?!
 
Wakuu,

Kocha mkuu Benchika inasemekana amenyoosha rula. Rula yenyewe sio ombi ni maelekezo kwa viongozi!

Huyu anaweza kuwa kocha wa kwanza wa kigeni asiyeogopa mtu kwenye kazi yake. Aliletewa mtu ikabidi apitie mlango wa trial akamla kichwa fasta bila kuuliza aliyemleta [emoji23]

Inasemekana akitokea popote kambini ni kama Simba mwenye hasira ameingia na wachezaji wanamuogopa, hataki mchezo na mipango yake.

Sasa huko ametoa profile anataka washambuliaji wa aina gani na sio vinginevyo. Kuna majina vipenzi vya mashabiki yapo hati hati watu wanatafutana kuweka mambo sawa [emoji23]

Ila tutatoboa tu! Simba nguvu moja [emoji123]
Nyie si ndio mlisema Mayele alimkimbia Jean Baleke au sio nyie. Sasa muuzeni Ufaransa.
 
Back
Top Bottom