Saa 6 zimepita video ya salute ya Kiba haijatimba top 10 ya YouTube trending, je haina vibe?

Saa 6 zimepita video ya salute ya Kiba haijatimba top 10 ya YouTube trending, je haina vibe?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
baadhi yetu tulikuwa na matumaini makubwa juu ya video hii kuleta tikisiko na tetemeko huko youtube ila naona masaa 6 yamepita sasa videi haipi hata kumi bora huko youtube.

upande wa simba yule anaembiwa atulize mzuka ili na wengine wapate ahueni mbugani naona simba amekataa ushauri, video tatu zinaoongoza trending zote ni kazi zake, wengine watatalii vipi mbugani kwa hali hii?,😂
 
Nilikuwa na matumainia makubwa juu ya video hii kuleta tikisiko na tetemeko huko youtube ila naona masaa 6 yamepita sasa videi haipi hata kumi bora huko youtube.

upande wa simba yule anaambiwa atulize mzuka ili na wengine wapate ahueni mbugani naona simba amekataa ushauri, video tatu zinaoongoza trending zote ni kazi zake, wengine watatalii vipi mbugani kwa hali hii?,[emoji23]
Chorus ya wimbo ni kama ya underground wa Manzese.
 
kuna jamaa kaimba hivi uko
[emoji445][emoji445]
they call me Number 1
So Much money in the bank money

hivi hapo ame maanisha nini maana wengine hii lugha ime tupita kushoto
 
baadhi yetu tulikuwa na matumaini makubwa juu ya video hii kuleta tikisiko na tetemeko huko youtube ila naona masaa 6 yamepita sasa videi haipi hata kumi bora huko youtube.

upande wa simba yule anaembiwa atulize mzuka ili na wengine wapate ahueni mbugani naona simba amekataa ushauri, video tatu zinaoongoza trending zote ni kazi zake, wengine watatalii vipi mbugani kwa hali hii?,😂
Nafikiri U tube wamecontrol fake views...
Au tusubiri usiku wa manane..utashangaa kesho asubuhi ina 2.5M views.. Sasa sijui huwa wanavyuu popo..!??
 
Endeleeni kumpigania King...
Mi nshatimiza shida yake..
IMG_20210630_190440_829.jpg
 
Hivi wewe unaangalia ni wangapi wanapenda nini, au wewe unapenda nini ?

Kwahio majority ndio wanakuchagulia taste yako ?, Mimi kama napenda kitu hata kama nipo peke yangu ni poa tu..., Tena ndio naona nipo unique (kuna kitu nakielewa ambacho wengine hawakielewi)
 
baadhi yetu tulikuwa na matumaini makubwa juu ya video hii kuleta tikisiko na tetemeko huko youtube ila naona masaa 6 yamepita sasa videi haipi hata kumi bora huko youtube.

upande wa simba yule anaembiwa atulize mzuka ili na wengine wapate ahueni mbugani naona simba amekataa ushauri, video tatu zinaoongoza trending zote ni kazi zake, wengine watatalii vipi mbugani kwa hali hii?,😂

Screenshot_20210630-200740_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom