Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Unataka kutudanganya wote humuMondi yuko VEVO?? Wasanii wote wakubwa duniani wako VEVO why Mondi..shughulisha ubongo wako...
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kutudanganya wote humuMondi yuko VEVO?? Wasanii wote wakubwa duniani wako VEVO why Mondi..shughulisha ubongo wako...
hiyo acc iliyo post video n acc ya vevo?Mondi yuko VEVO?? Wasanii wote wakubwa duniani wako VEVO why Mondi..shughulisha ubongo wako...
the mnyama mkaliSpartacus 😁
Nikudanganye nakujua au shobo
Maada au mada?mkuu kama maada haikuhusu unapita kushoto, ni rahisi tu, kuna maada kibao tu
inatosha baby muacheWewe mjibu bana acha povu.
Bila Mange na Soud Brown Ali Kiba is nothing katika music trendbaadhi yetu tulikuwa na matumaini makubwa juu ya video hii kuleta tikisiko na tetemeko huko youtube ila naona masaa 6 yamepita sasa videi haipi hata kumi bora huko youtube.
upande wa simba yule anaembiwa atulize mzuka ili na wengine wapate ahueni mbugani naona simba amekataa ushauri, video tatu zinaoongoza trending zote ni kazi zake, wengine watatalii vipi mbugani kwa hali hii?,😂
Mkuu unapoteza mda kubishana na vichawa uchwara
Eti na wewe ni binadamu unaemiliki kichwa chenye ubongo..Bila Mange na Soud Brown Ali Kiba is nothing katika music trend
Ana hela nyingi ndani ya benki hela 😂😂😂😂...ah nmejaribu namimi ngoja wajuzi zaidi wajekuna jamaa kaimba hivi uko
[emoji445][emoji445]
they call me Number 1
So Much money in the bank money
hivi hapo ame maanisha nini maana wengine hii lugha ime tupita kushoto
Dunia Ni kubwa bro Kama ulipo Ni usiku Kuna nchi zingine ndo wanaamkaNafikiri U tube wamecontrol fake views...
Au tusubiri usiku wa manane..utashangaa kesho asubuhi ina 2.5M views.. Sasa sijui huwa wanavyuu popo..!??
Mpuuzi sana huyu jamaa..Ana hela nyingi ndani ya benki hela 😂😂😂😂...ah nmejaribu namimi ngoja wajuzi zaidi waje
Na kwanzia hapoo breki ya kwanza twaaap kwenye leo nakutooooo tooo tooo
baadhi yetu tulikuwa na matumaini makubwa juu ya video hii kuleta tikisiko na tetemeko huko youtube ila naona masaa 6 yamepita sasa videi haipi hata kumi bora huko youtube.
upande wa simba yule anaembiwa atulize mzuka ili na wengine wapate ahueni mbugani naona simba amekataa ushauri, video tatu zinaoongoza trending zote ni kazi zake, wengine watatalii vipi mbugani kwa hali hii?,😂
Muonee huruma, mbona unakuwa mkatili kwa mfalme ambaye huko You Tube unapopaongelea hata subscribers milioni moja hajafikisha licha ya mbeleko zote alizobebwa nazo?baadhi yetu tulikuwa na matumaini makubwa juu ya video hii kuleta tikisiko na tetemeko huko youtube ila naona masaa 6 yamepita sasa videi haipi hata kumi bora huko youtube.
upande wa simba yule anaembiwa atulize mzuka ili na wengine wapate ahueni mbugani naona simba amekataa ushauri, video tatu zinaoongoza trending zote ni kazi zake, wengine watatalii vipi mbugani kwa hali hii?,[emoji23]