sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Ngoja king aje akupe sababu....Nilikuwa na matumainia makubwa juu ya video hii kuleta tikisiko na tetemeko huko youtube ila naona masaa 6 yamepita sasa videi haipi hata kumi bora huko youtube
Mkuu kama maada haikuhusu unapita kushoto, ni rahisi tu, kuna maada kibao tuKwa hiyo sisi tufanyaje?
Chorus ya wimbo ni kama ya underground wa Manzese.Nilikuwa na matumainia makubwa juu ya video hii kuleta tikisiko na tetemeko huko youtube ila naona masaa 6 yamepita sasa videi haipi hata kumi bora huko youtube.
upande wa simba yule anaambiwa atulize mzuka ili na wengine wapate ahueni mbugani naona simba amekataa ushauri, video tatu zinaoongoza trending zote ni kazi zake, wengine watatalii vipi mbugani kwa hali hii?,[emoji23]
Wewe mjibu bana acha povu.mkuu kama maada haikuhusu unapita kushoto, ni rahisi tu, kuna maada kibao tu
Spartacus πMnamchokoza Robidinyo.
Nafikiri U tube wamecontrol fake views...baadhi yetu tulikuwa na matumaini makubwa juu ya video hii kuleta tikisiko na tetemeko huko youtube ila naona masaa 6 yamepita sasa videi haipi hata kumi bora huko youtube.
upande wa simba yule anaembiwa atulize mzuka ili na wengine wapate ahueni mbugani naona simba amekataa ushauri, video tatu zinaoongoza trending zote ni kazi zake, wengine watatalii vipi mbugani kwa hali hii?,π
Fafanua..unapomuachia Mange kazi zako basi jua gundu limeingia. Yule mwanamke nuksi sana tu
baadhi yetu tulikuwa na matumaini makubwa juu ya video hii kuleta tikisiko na tetemeko huko youtube ila naona masaa 6 yamepita sasa videi haipi hata kumi bora huko youtube.
upande wa simba yule anaembiwa atulize mzuka ili na wengine wapate ahueni mbugani naona simba amekataa ushauri, video tatu zinaoongoza trending zote ni kazi zake, wengine watatalii vipi mbugani kwa hali hii?,π
Fafanua..