Saa 6 zimepita video ya salute ya Kiba haijatimba top 10 ya YouTube trending, je haina vibe?

Masaa 23 in a 1 mil views hapo vipi...husikii kuwashwa mahali?
 
Masaa 23 in a 1 mil views hapo vipi...husikii kuwashwa mahali?
Mkuu umesoma maada lakini?? video imekaa masaa sita bile kuwemo kwenye trending hii sio kawaida kwa kiba, imeanza kutrend. baada ya masaa sita, hizo views milioni kuna msanii yupo hapa hapa bongo ngoma zake zimepata ndani ya masaa machache tu
 
Mkuu umesoma maada lakini?? video imekaa masaa sita bile kuwemo kwenye trending hii sio kawaida kwa kiba, imeanza kutrend. baada ya masaa sita, hizo views milioni kuna msanii yupo hapa hapa bongo ngoma zake zimepata ndani ya masaa machache tu

Dogo tafuta pesa utaishia kuangalia viwaz yutubu hadi mvi zikujae kichwani
 
Dogo tafuta pesa utaishia kuangalia viwaz yutubu hadi mvi zikujae kichwani
Tafuta maarifa hata kiingereza hujui ila unafosi ni viewers sio viwaz 😎😎 ninafanya kazi serikalini na ninalipwa kipato si hapa na hainizuii kuangalua viewers,
 
Mkuu umesoma maada lakini?? video imekaa masaa sita bile kuwemo kwenye trending hii sio kawaida kwa kiba, imeanza kutrend. baada ya masaa sita, hizo views milioni kuna msanii yupo hapa hapa bongo ngoma zake zimepata ndani ya masaa machache tu
Nlikuwa nakukumbusha tu kwamba hiyo video unayoisema haijatrend kwa masaa 6 mie reach 1 mil views before a day, kuna tabu?
 
Kavaa magwanda ya jeshi halafu hayajampendeza,aliyependeza ni aliyeshirikishwa sasa unategemea nini?
 
Ana hela nyingi ndani ya benki hela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...ah nmejaribu namimi ngoja wajuzi zaidi waje
Na kwanzia hapoo breki ya kwanza twaaap kwenye leo nakutooooo tooo tooo
Ni nani kaimba hivyo?
 
Tafuta maarifa hata kiingereza hujui ila unafosi ni viewers sio viwaz [emoji41][emoji41] ninafanya kazi serikalini na ninalipwa kipato si hapa na hainizuii kuangalua viewers,

[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Chawa wa domokaya maumivu ya kukosa tuzo, wanahamishia kwenye viewers youtube, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Si wangefanikisha mbebe tuzo mseeeew.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…