INAUZWA Saa aina ya seiko inauzwa Tsh 250,000 /=

INAUZWA Saa aina ya seiko inauzwa Tsh 250,000 /=

Van claude

Member
Joined
Jan 9, 2015
Posts
53
Reaction score
12
Saa aina ya seiko inauzwa Tsh 250,000 /=

Sifa za saa

1: Haipauki.

2: Hairuhusu kuingia kwa maji.

3: Inadumu muda mrefu.

4: Automatic mechanism, kwa maana ya kwamba haitumii betri.

5: Inaonyesha Saa, Tarehe na mwezi.

Kwa mawasiliano ya simu 0628778657 nyote mnakaribishwa

IMG_20201126_160204.jpg

View attachment 1635428
View attachment 1635436
 
Seiko wanakuja wadau, goodluck in advance
 
Duuuh kuna mengi sana bado siyajui kumbe kuna saa huwa hazitumii kabisa betri. Sasa mfumo upi unaziwezesha kufanya kazi?
 
Back
Top Bottom