Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Wakuu habari za mda huu.
Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu.
Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa tahadhari wenzangu.
Wanasema haya mambo hayamkuti nyani.
Kama mimi jana yalinikuta basi hata wewe kesho yanaweza kukukuta.
Wakuu naongea haya na maanisha wakuu namaanisha shika haya nayosema.
1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)
2- kunywa maji ya kutosha
3- Ukihisi haja nenda mda huo huo
Wakuu hivo vipengele hapo juu najua mmesoma fasta fasta ila nakuomba rudia maana hii hali inapokufika unakua wewe peke yako.
Jamani tunywe maji.Wanaposema maji ni muhimu kwa mwili wa binadamu hawajakosea jama..
Kilichonitokea mimi jana naapa sitojihusisha tena na kula ngano..(dry mkate) wakuu mara kumi unywe maji ulale tuu ila ngano (ney)
Mpaka sasa nipo hai nashukuru Mungu alhamdulillah maana ile kitu lisaa limoja na dakika 17 napambania ,,hapana mpka nimetoka mzima naimani mungu ana makusudio yake.
Asanteni.
Maji ni muhimu kwa binadamu.. ninyime mkate nipe maji.
Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu.
Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa tahadhari wenzangu.
Wanasema haya mambo hayamkuti nyani.
Kama mimi jana yalinikuta basi hata wewe kesho yanaweza kukukuta.
Wakuu naongea haya na maanisha wakuu namaanisha shika haya nayosema.
1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)
2- kunywa maji ya kutosha
3- Ukihisi haja nenda mda huo huo
Wakuu hivo vipengele hapo juu najua mmesoma fasta fasta ila nakuomba rudia maana hii hali inapokufika unakua wewe peke yako.
Jamani tunywe maji.Wanaposema maji ni muhimu kwa mwili wa binadamu hawajakosea jama..
Kilichonitokea mimi jana naapa sitojihusisha tena na kula ngano..(dry mkate) wakuu mara kumi unywe maji ulale tuu ila ngano (ney)
Mpaka sasa nipo hai nashukuru Mungu alhamdulillah maana ile kitu lisaa limoja na dakika 17 napambania ,,hapana mpka nimetoka mzima naimani mungu ana makusudio yake.
Asanteni.
Maji ni muhimu kwa binadamu.. ninyime mkate nipe maji.