Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Sitaki mie kuelewa niacheSio akili et..soma elewa alafu utajua what i means mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki mie kuelewa niacheSio akili et..soma elewa alafu utajua what i means mkuu
😂😂😂😂Kwa hiyo anapendekeza tule manumbu na mchele?Hataki tule ngano kisa amekula akapata constipation ..... Hivi hizi ni akili kweli?
Mkuu jana ilikua ni hatareee...Pole sana mkuu , ungekula matunda mchakato ungeenda vizuri 😁
Ndiyo ushangae😂😂😂😂Kwa hiyo anapendekeza tule manumbu na mchele?
Usicheke mkuu ooooh ooooh😂😂😂😂Kwa hiyo anapendekeza tule manumbu na mchele?
DaaahNdiyo ushangae
Kwani kauli mbiu ya "maji ni uhai" uliisoma kwa mara ya kwanza mwaka gani?Usicheke mkuu ooooh ooooh
Nilikua nayasikia kwa wengine ila kwa sasa .. i appreciate water
Mkuu tule Dona tuache mkate? AseeeDaaah
Sawa sawa ila shukuru umejua kitu leoSitaki mie kuelewa niache
Acha dona...Mkuu tule Dona tuache mkate? Aseee
Bora wewe ujabisha kijanaPole na ahsante kwa ushauri
Mkuu nilikua siitilii maanani mpka jana mda ule hii kauli ilikua inajirudia kichwani zaidi ya mara 12Kwani kauli mbiu ya "maji ni uhai" uliisoma kwa mara ya kwanza mwaka gani?
Ulisha wahi pitia seke seke la kula mapera?Mkuu nilikua siitilii maanani mpka jana mda ule hii kauli ilikua inajirudia kichwani zaidi ya mara 12
Hatari sana.Mikate tu analalamika!Ulisha wahi pitia seke seke la kula mapera?
Mkuu yale ya jana never happened before .Ulisha wahi pitia seke seke la kula mapera?
Unahisi kama kuna kisu ulimeza kinakuja😜😜😜Hatari sana.Mikate tu analalamika!
Hauyajui mapera na balaa lake wewe!Guavas?Acha kabisa!Mkuu yale ya jana never happened before .
Mapera nimekula mkuu ila ile ya jana ilikua ni to much .
Mkuu unaweza ukazima kule ujue
Aaaaaah aaaaaah aaaaaah wewe tema mate chini..Hatari sana.Mikate tu analalamika!