To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Etugrul Bey ushauri wako tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwenzako nilikua sinywi.najishndilia mikate tuu dailyUngekuwa kama mimi usingekosa kunywa 1.5 l to 3 l every day na hapo usingekuwa shida!
Omba yasikukuteShetani toooookaaaaaa! Tookaaaa! Oooouuuuut!
Wanasema hayamkuti nyani....Etugrul Bey ushauri wako tafadhali
Mimi mwenzako nilikua sinywi.najishndilia mikate tuu daily
Wewe ni GenZ au Gen A?Wakuu habari za mda huu.
Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu.
Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa tahadhari wenzangu.
Wanasema haya mambo hayamkuti nyani.
Kama mimi jana yalinikuta basi hata wewe kesho yanaweza kukukuta.
Wakuu naongea haya na maanisha wakuu namaanisha shika haya nayosema.
1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)
2- kunywa maji ya kutosha
3- Ukihisi haja nenda mda huo huo
Wakuu hivo vipengele hapo juu najua mmesoma fasta fasta ila nakuomba rudia maana hii hali inapokufika unakua wewe peke yako.
Jamani tunywe maji.Wanaposema maji ni muhimu kwa mwili wa binadamu hawajakosea jama..
Kilichonitokea mimi jana naapa sitojihusisha tena na kula ngano..(dry mkate) wakuu mara kumi unywe maji ulale tuu ila ngano (ney)
Mpaka sasa nipo hai nashukuru Mungu alhamdulillah maana ile kitu lisaa limoja na dakika 17 napambania ,,hapana mpka nimetoka mzima naimani mungu ana makusudio yake.
Asanteni.
Maji ni muhimu kwa binadamu.. ninyime mkate nipe maji.
Mkuuu hapa umenifungua kitu kwahiyo ukiacha maji pia nianze na matundaMbaya sana aisee, Mungu akusaidie, Changanya vitu, hata Kama uchumi sio mzuri, matunda muhimu
Hayo mambo ya z,y au x kiukweli sijawahi elewa fafanua zaidWewe ni GenZ au Gen A?
Wewe ni kubabu au kijana?Hayo mambo ya z,y au x kiukweli sijawahi elewa fafanua zaid
Mkuuu hapa umenifungua kitu kwahiyo ukiacha maji pia nianze na matunda
Nenda Kwa fundi maiko🤣🤣🤣🤣Wakuu habari za mda huu.
Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu.
Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa tahadhari wenzangu.
Wanasema haya mambo hayamkuti nyani.
Kama mimi jana yalinikuta basi hata wewe kesho yanaweza kukukuta.
Wakuu naongea haya na maanisha wakuu namaanisha shika haya nayosema.
1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)
2- kunywa maji ya kutosha
3- Ukihisi haja nenda mda huo huo
Wakuu hivo vipengele hapo juu najua mmesoma fasta fasta ila nakuomba rudia maana hii hali inapokufika unakua wewe peke yako.
Jamani tunywe maji.Wanaposema maji ni muhimu kwa mwili wa binadamu hawajakosea jama..
Kilichonitokea mimi jana naapa sitojihusisha tena na kula ngano..(dry mkate) wakuu mara kumi unywe maji ulale tuu ila ngano (ney)
Mpaka sasa nipo hai nashukuru Mungu alhamdulillah maana ile kitu lisaa limoja na dakika 17 napambania ,,hapana mpka nimetoka mzima naimani mungu ana makusudio yake.
Asanteni.
Maji ni muhimu kwa binadamu.. ninyime mkate nipe maji.
Tunywe maji mkuu that all i advice you .Wewe ni kubabu au kijana?
Sio bawasiliOparesheni ya bawasili? Au constipation?
HatareeeDuuuh👈
Mkuu kwa mda huo..... Wee unachoomba shughuli iishe utoke salama tuNenda Kwa fundi maiko🤣🤣🤣🤣
Sasa ukipata constipation mara kwa mara bawasili itakuhusuSio bawasili
Kemea hilo pepo la kuwambia wenzako hayo mambo mkuu ... .Sasa ukipata constipation mara kwa mara bawasili itakuhusu