Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Wewe ni mrehemu mkuu?Daaah ahahaha sasa hapo nimechokoza kitu gani mkuu
Eeeeh mkuu mara ya kwanza niliona pengine nilimezeshwa mpira... Kile kitenesi...Nimecheka kifala sana
Unaweza hisi umefanyiwa namna na waja 😂😂.
Ahahaha hapana mkuu nimetoka salama nashukuru munguWewe ni mrehemu mkuu?
Astakafillah jiheshumu mkuuUkute rinda zimeraruliwa na kimba, hii nchi ufala ni mwing sana!
Noma sana MkuuEeeeh mkuu mara ya kwanza niliona pengine nilimezeshwa mpira... Kile kitenesi...
Maaana hata kwa kupima tuu kwa haraka ile circle unaona kabisa am gonna to loss elasticity soon
naona dalili zote.Astakafillah jiheshumu mkuu
Umetoka peponi ama njiapanda ya motoni?Ahahaha hapana mkuu nimetoka salama nashukuru mungu
Amini usiamini,nimekunywa maji na kurudia kusoma ulichokiandika lakini sijaelewa.
Sasa niliwaza ikitokea nimezima pale sijui wangesema nn ajiraniNoma sana Mkuu
Alafu wewe siku kula Chapati Tatu na marage kwa mfululizo utatoa ushuhuda hapanaona dalili zote.
Ile ni njia panda ya motoni mkuuUmetoka peponi ama njiapanda ya motoni?
Usije uacha huu uzi mkuu mana hayamkuti pakaYaani wa Tz,yaani muda wote huu mnajadili kimba 😄
Paka hali chapati wala mikate isiyo na blue band!Usije uacha huu uzi mkuu mana hayamkuti paka
Ahahaaahahaha sawa sawa mkuu ila ogopaPaka hali chapati wala mikate isiyo na blue band!
Mkuu wangu ujafikiwa na hili jangaHuu uzi umefikaje hapa wakati sioni content yoyote ya maana