Saa tumepata Rais baada ya miaka mitano iliyopita kutokuwa na Rais

Saa tumepata Rais baada ya miaka mitano iliyopita kutokuwa na Rais

Chikenpox

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2022
Posts
784
Reaction score
1,246
Jamani Nani ambaye haoni how strong, stable minded and good visionary Rais Samia anavyoonesha?

Kwa sasa nchi Ina mikakati, sera nzuri za kuwavutia wawekezaji, sera ambazo haziwakimbizi wawekezaji Bali kuwavutia. Utalii ndonusiseme.

Vijana waliosoma tourism wanapata ajira daily Mana mahoteli yamejaa pamoja na parks mbali mbali. Kipindi Cha mwendazake vijana walilia kilio Cha kusaga meno na wakawa wandhihakiwa kwamba wawe mamachinga tu.

Walimu ajira ziko bwele serikalini na private. Kipindi Cha jpm shule nyingi zilifunga biasha mf perfect vision pale ubungo. Sasa shule nyingi zinafufuka kwa kasi na ajira zinatangazwa dily.

Madakatari nao usipime hata Leo muhimbili wametoa ajira Kama zote kwa sector ya afya. Agha Khan nayo inatoa daily.

Nashauri Samia awe rais wa maisha
 
Jamani Nani ambaye haoni how strong, stable minded and good visionary rais Samia anavyoonesha?

Kwa sasa nchi Ina mikakati, sera nzuri za kuwavutia wawekezaji, sera ambazo haziwakimbizi wawekezaji Bali kuwavutia. Utalii ndonusiseme .

Vijana waliosoma tourism wanapata ajira daily Mana mahoteli yamejaa pamoja na parks mbali mbali. Kipindi Cha mwendazake vijana walilia kilio Cha kusaga meno na wakawa wandhihakiwa kwamba wawe mamachinga tu.
Walimu ajira ziko bwele serikalini na private. Kipindi Cha jpm shule nyingi zilifunga biasha mf perfect vision pale ubungo. Sasa shule nyingi zinafufuka kwa kasi na ajira zinatangazwa dily.

Madakatari nao usipime hata Leo muhimbili wametoa ajira Kama zote kwa sector ya afya. Agha Khan nayo inatoa daily.

Nashauri Samia awe rais wa maisha
Inawezekana kuna mahali umetega "Control number" na unaendelea ku-divert pesa kwa mabilioni.

Sio kwa upumbavu huu ulioandika humu.

*Kuna mtu amehukumiwa miaka saba leo huko Bariadi kwa kumsema Samia.

*Mchele kilo 3200/=
*Debe la Mahindi 27,000/=
*Nyama kilo Moja 8,000=
*Sukari kilo moja 3,000/=
*Lita ya diesel 3,000/=
*Hospitali huduma cash in Advance.
*Polisi,unadaiwa pesa ya nauli ya afande.

Elimu inaenda kufutwa standard 7 na kuwa std6 halafu direct mpaka 0-level bila mtihani wa Test.....

Kweli Samia ni kiboko,haijawahi kutokea katika historia ya nchi hii.
View attachment 2393904
 
Kweli kabisa!
[emoji116]
IMG-20221021-WA0006.jpg
 
Kupanda Bei kwa vitu ni swala la mda du mfupi ambapo Vita ya ukrain ikiidha tu Bei ya vitu inaanza kupungua. Hata uk vitu vinapanda kwa sababu ya Vita . Nenda Kenya au Uganda kilio ni hichohicho.
Inawezekana kuna mahali umetega "Control number" na unaendelea ku-divert pesa kwa mabilioni.

Sio kwa upumbavu huu ulioandika humu.

*Kuna mtu amehukumiwa miaka saba leo huko Bariadi kwa kumsema Samia.

*Mchele kilo 3200/=
*Debe la Mahindi 27,000/=
*Nyama kilo Moja 8,000=
*Sukari kilo moja 3,000/=
*Lita ya diesel 3,000/=
*Hospitali huduma cash in Advance.
*Polisi,unadaiwa pesa ya nauli ya afande.

Elimu inaenda kufutwa standard 7 na kuwa std6 halafu direct mpaka 0-level bila mtihani wa Test.....

Kweli Samia ni kiboko,haijawahi kutokea katika historia ya nchi hii.
View attachment 2393904
 
Jamani Nani ambaye haoni how strong, stable minded and good visionary Rais Samia anavyoonesha?

Kwa sasa nchi Ina mikakati, sera nzuri za kuwavutia wawekezaji, sera ambazo haziwakimbizi wawekezaji Bali kuwavutia. Utalii ndonusiseme.

Vijana waliosoma tourism wanapata ajira daily Mana mahoteli yamejaa pamoja na parks mbali mbali. Kipindi Cha mwendazake vijana walilia kilio Cha kusaga meno na wakawa wandhihakiwa kwamba wawe mamachinga tu.
Walimu ajira ziko bwele serikalini na private. Kipindi Cha jpm shule nyingi zilifunga biasha mf perfect vision pale ubungo. Sasa shule nyingi zinafufuka kwa kasi na ajira zinatangazwa dily.

Madakatari nao usipime hata Leo muhimbili wametoa ajira Kama zote kwa sector ya afya. Agha Khan nayo inatoa daily.

Nashauri Samia awe rais wa maisha
🤔🤔🤔🤔
 
chikenpox said:
Kupanda Bei kwa vitu ni swala la mda du mfupi ambapo Vita ya ukrain ikiidha tu Bei ya vitu inaanza kupungua. Hata uk vitu vinapanda kwa sababu ya Vita . Nenda Kenya au Uganda kilio ni hichohicho.
Hiki Kiswahili...
Ushauri kwa Chikenpox ...
  1. Kama una akili utafuta huu utumbo uliouandika hapa mara moja.
  2. Kama huna akili utang'ang'ana hivyo hivyo kama wafanyavyo wajinga.
Chagua mwenyewe...
 
Jamani Nani ambaye haoni how strong, stable minded and good visionary Rais Samia anavyoonesha?

Kwa sasa nchi Ina mikakati, sera nzuri za kuwavutia wawekezaji, sera ambazo haziwakimbizi wawekezaji Bali kuwavutia. Utalii ndonusiseme.

Vijana waliosoma tourism wanapata ajira daily Mana mahoteli yamejaa pamoja na parks mbali mbali. Kipindi Cha mwendazake vijana walilia kilio Cha kusaga meno na wakawa wandhihakiwa kwamba wawe mamachinga tu.
Walimu ajira ziko bwele serikalini na private. Kipindi Cha jpm shule nyingi zilifunga biasha mf perfect vision pale ubungo. Sasa shule nyingi zinafufuka kwa kasi na ajira zinatangazwa dily.

Madakatari nao usipime hata Leo muhimbili wametoa ajira Kama zote kwa sector ya afya. Agha Khan nayo inatoa daily.

Nashauri Samia awe rais wa maisha

Rais asiyekuwa na kauli moja. Kila kitu tukaliangalie kwa jicho la tatu. Kila kitu anaweka kwenye mabano hatoi maamuzi.
 
Back
Top Bottom