Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Good visionary ya kuhamasisha ufisadi kwenye Taifa🐒🐒🐒🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shimo lilikuwa refu bro!Kwa hiyo sasa hivi tunatoka shimoni?
hahahaha. leo ndiyo mnaona zile zilikuwa sheria kandamizi? Tundu lisu alikuwa na kesi zaidi ya 6 za kipuuzi kabisa pale kisutu,yerico, mello na wengine wengi. wakati ule mliona sawa tu. mlituita tunatumiwa na mabeberu (upuuzi)Kweli kabisa!
[emoji116]View attachment 2393911
Huu siyo kuhamasisha ufisadi labda Aki yako ni finyu Sana. Kula kwenye ncha ya urefu wa kamba maana ya yake tosheka na mshahara wako na usiende nje ya mshahara wakoGood visionary ya kuhamasisha ufisadi kwenye Taifa🐒🐒🐒🐒
View attachment 2394410
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Jamani Nani ambaye haoni how strong, stable minded and good visionary Rais Samia anavyoonesha?
Kwa sasa nchi Ina mikakati, sera nzuri za kuwavutia wawekezaji, sera ambazo haziwakimbizi wawekezaji Bali kuwavutia. Utalii ndonusiseme.
Vijana waliosoma tourism wanapata ajira daily Mana mahoteli yamejaa pamoja na parks mbali mbali. Kipindi Cha mwendazake vijana walilia kilio Cha kusaga meno na wakawa wandhihakiwa kwamba wawe mamachinga tu.
Walimu ajira ziko bwele serikalini na private. Kipindi Cha jpm shule nyingi zilifunga biasha mf perfect vision pale ubungo. Sasa shule nyingi zinafufuka kwa kasi na ajira zinatangazwa dily.
Madakatari nao usipime hata Leo muhimbili wametoa ajira Kama zote kwa sector ya afya. Agha Khan nayo inatoa daily.
Nashauri Samia awe rais wa maisha