Uchaguzi 2020 Sababu 10 kwanini tumpumzishe Rais John Magufuli

Hii ni takataka kama takataka zingine tu,maelezo marefu bila kutaja kifungu hata kimoja cha katiba kilichovunjwa ni upoyoyo wa hali ya juu ,kifupi wewe ni utoko tu,tena wa kovi la mpagani
kwa Ayo matusi kama umetoka kuinamishwa utaelewa kifungu gani?
 
Labda wavuta bange wa uvccm
 
Kwani Ndg yaliyo andikwa ni uongo??
Wewe ni mfaidika wa mfumo huu mbovu wa wasiojulikana???
Wasiojulikana walikuwepo tangu enzi tunarushiwa bomu la mkono na makamanda wanne kufa pale Arusha chini ya uongozi wa ambaye leo tunammiss kama "mwanademokrasia" Mh JK
WanaCHADEMA orijino tulijipanga kuuondoa huo mfumo 2015 lakini Mwenyekiti na Lissu wakatuuza kwa CCM na tukabaki kukunja ngumi na kuzungusha kama mazuzu.
Kwa sasa ni Heri JPM ametekeleza mengi tuliyokuwa tukiyapigania kama CHADEMA na sioni mpinzani yeyote anayeweza kuinyoosha nchi hii kama JPM. Huo ndio ukweli!
 
Umeandika vizuri ila sababu ni moja tu na yeye mwenyewe alisema hadharani ni KICHAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…