Pre GE2025 Sababu 100 za kumchagua Rais Samia katika Uchaguzi Mkuu 2025

Pre GE2025 Sababu 100 za kumchagua Rais Samia katika Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ndo vile

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
443
Reaction score
296
Kama kichwa cha habari kinavyosema hizi ni sababu zangu 100 zitakazonifanya nimchague Rais Samia katika uchaguzi mkuu wa 2025, zingatia kuwa hizi ni sababu zangu binafsi na siyo sababu zako.

1. Ana uzoefu katika uongozi ndani ya chama na serikalini I.e uzoefu wa zaidi ya miaka 30.

2. Ana mfiduo wa kutosha,kutokana na kufanya kazi na mashirika ya kimataifa.

3. Ana busara za kutosha,kutokana na umri pamoja na uzoefu wa kazi.

4. Mpole na mkarimu, hana majigambo.

5. Ni mlezi wa watu wote na si mwepesi wa hasira.

6. Ana hofu ya Mungu.

7. Msikivu.

8. Mzalendo.

9. Mchapakazi

10. Ana uwezo wa kuhamasisha wengine

11. Ana uwezo wa kufikiri kimikakati

12. Uwezo wake wa kupambana na changamoto

13. Anatumia lugha yenye staha katika kuzungumza na kutoa maelekezo

14. Mtatuzi wa migogoro

15. Ana upendo

16. Ana uwezo wa kufanya kazi kama timu

17. Ana fikra zenye maono

18. Ukomavu katika siasa za Tanzania na Duniani.

19. Mpenda amani na mshikamano

20. Muumini wa Muungano

21. Kapandisha mishahara

22. Ajira kwa vijana

23. Ongezeko la wawekezaji wa nje

24. Ongezeko la wawekezaji wa ndani

25. Mazingira rafiki kwa wafanyabiashara

26. Mikopo kwa wakinamama

27. Mikopo kwa vijana

28. Mikopo kwa watu wenye ulemavu

29. Mikopo kwa wasanii

30. Ongezeko la boom kwa wanavyuo

31. Mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati

32. Ongezeko la watalii

33. Ongezeko la ulipaji wa kodi bila shuruti

34. Ruzuku ya mbolea kwa wakulima.

35. Mwanamichezo halisi

36. Bima ya afya kwa wote

37. Kasi zaidi mradi wa rea

38. Mazingira bora ya upatikanaji wa haki

39. Maboresho makubwa katika miundombinu ya mahakama

40. Ameongeza elimu bure hadi kidato cha sita

41. Wanafunzi walipata ujauzito wamerudi shuleni.

42. Ameongeza maslahi ya watumishi,posho na pesa ya kujikimu

43. Mapambano dhidi ya madawa ya kulevya

44. Amelipa malimbikizo kwa watumishi

45. Ushirikiano wa kimataifa umeongezeka

46. Kaimarisha miundombinu ya afya

47. Kaongeza wigo wa upatikanaji wa dawa

48. Kaongeza vituo vya afya vijijini

49. Maendeleo katika afya ya mama na mtoto

50. Ongezeko la wataalamu wa afya

51. Maboresho wa utoaji wa huduma za dharura katika sekta ya afya

52. Mkazo katika kupambana na afya ya akili

53. Maendeleo ya miundombinu, barabara,reli n.k

54. Maboresho ya masoko ya ndani

55. Kapunguza vikwazo vya ufanyaji biashara

56. Ongezeko la masoko ya nje

57. Ufanisi bandarini

58. Nguvu zaidi katika kilimo cha umwagiliaji

59. Bajeti zaidi katika sekta ya kilimo

60. Kahamasisha vijana kufanya kilimo kupitia BBT

61. Ameimarisha vyama vya ushirika

62. Mikopo kwa wavuvi

63. Zana bora za uvuvi kwa wavuvi

64. Wigo mpana wa masoko ya mazao ndani na nje ya nchi

65. Maboresho miundombinu ya utalii

66. Maendeleo katika utalii wa afya

67. Maendeleo katika utalii wa michezo na burudani

68. Usalama zaidi wa watalii

69. Katangaza utalii

70. Sera bora za uhifadhi wa mazingira

71. Maendeleo katika utalii wa utamaduni

72. Ongezeko la usawa wa kijinsia

73. Mikopo kwa wachimbaji wadogo

74. Kaongeza hamasa kwa wachimbaji wanawake

75. Ongezeko la mapato sekta ya madini

76. Mapambano thabiti ya ujangili wa madini

77. Katangaza madini ya Tanzania

78. Mipaka ya nchi ipo salama

79. Maboresho ya miundombinu ya shule

80. Veta kila wilaya

81. Ujenzi wa shule za wasichana

82. Kaongeza bajeti katika sekta ya elimu

83. Mapambano katika wizi wa mitihani.

84. Maboresho ya shule zenye wanafunzi wenye mahitaji maalumu.

85. Mifumo ya serikali imeanza kusomana

86. Mtetezi wa lugha ya kiswahili ndani na nje ya mipaka ya Tanzania

87. Ongezeko la wigo la upatikanaji wa maji

88. Kaifungua nchi kiuchumi

89. Mwanademokrasia wa kweli

90. Kipenzi cha watoto

91. Kipenzi cha vijana

92 . Kipenzi cha wanawake

93. Ni nembo na alama ya watanzania

94. Mpambanaji halisi

95. Ana uthubutu

96. Msema kweli

97. Akili iliyotulia isiyo na papara

98. Mapenzi kwa nchi yake

99. Ni mwanachama wa chama cha mapinduzi,chama la ushindi

100. Ametumisha salama na kutufuta machozi watanzania baada ya kuondokewa na mpendwa wetu Rais wa awamu ya tano hayati John Pombe Magufuli.

N.B HIZI NI SABABU MIA TU LAKINI ZIPO SABABU ZAIDI YA MILIONI.
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hizi ni sababu zangu 100 zitakazonifanya nimchague Rais Samia katika uchaguzi mkuu wa 2025, zingatia kuwa hizi ni sababu zangu binafsi na siyo sababu zako.


1. Ana uzoefu katika uongozi ndani ya chama na serikalini I.e uzoefu wa zaidi ya miaka 30.

2. Ana mfiduo wa kutosha,kutokana na kufanya kazi na mashirika ya kimataifa.

3. Ana busara za kutosha,kutokana na umri pamoja na uzoefu wa kazi.

4. Mpole na mkarimu, hana majigambo.

5. Ni mlezi wa watu wote na si mwepesi wa hasira.

6. Ana hofu ya Mungu.

7. Msikivu.

8. Mzalendo.

9. Mchapakazi

10. Ana uwezo wa kuhamasisha wengine

11. Ana uwezo wa kufikiri kimikakati

12. Uwezo wake wa kupambana na changamoto

13. Anatumia lugha yenye staha katika kuzungumza na kutoa maelekezo

14. Mtatuzi wa migogoro

15. Ana upendo

16. Ana uwezo wa kufanya kazi kama timu

17. Ana fikra zenye maono

18. Ukomavu katika siasa za Tanzania na Duniani.

19. Mpenda amani na mshikamano

20. Muumini wa Muungano

21. Kapandisha mishahara

22. Ajira kwa vijana

23. Ongezeko la wawekezaji wa nje

24. Ongezeko la wawekezaji wa ndani

25. Mazingira rafiki kwa wafanyabiashara

26. Mikopo kwa wakinamama

27. Mikopo kwa vijana

28. Mikopo kwa watu wenye ulemavu

29. Mikopo kwa wasanii

30. Ongezeko la boom kwa wanavyuo

31. Mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati

32. Ongezeko la watalii

33. Ongezeko la ulipaji wa kodi bila shuruti

34. Ruzuku ya mbolea kwa wakulima.

35. Mwanamichezo halisi

36. Bima ya afya kwa wote

37. Kasi zaidi mradi wa rea

38. Mazingira bora ya upatikanaji wa haki

39. Maboresho makubwa katika miundombinu ya mahakama

40. Ameongeza elimu bure hadi kidato cha sita

41. Wanafunzi walipata ujauzito wamerudi shuleni.

42. Ameongeza maslahi ya watumishi,posho na pesa ya kujikimu

43. Mapambano dhidi ya madawa ya kulevya

44. Amelipa malimbikizo kwa watumishi

45. Ushirikiano wa kimataifa umeongezeka

46. Kaimarisha miundombinu ya afya

47. Kaongeza wigo wa upatikanaji wa dawa

48. Kaongeza vituo vya afya vijijini

49. Maendeleo katika afya ya mama na mtoto

50. Ongezeko la wataalamu wa afya

51. Maboresho wa utoaji wa huduma za dharura katika sekta ya afya

52. Mkazo katika kupambana na afya ya akili

53. Maendeleo ya miundombinu, barabara,reli n.k

54. Maboresho ya masoko ya ndani

55. Kapunguza vikwazo vya ufanyaji biashara

56. Ongezeko la masoko ya nje

57. Ufanisi bandarini

58. Nguvu zaidi katika kilimo cha umwagiliaji

59. Bajeti zaidi katika sekta ya kilimo

60. Kahamasisha vijana kufanya kilimo kupitia BBT

61. Ameimarisha vyama vya ushirika

62. Mikopo kwa wavuvi

63. Zana bora za uvuvi kwa wavuvi

64. Wigo mpana wa masoko ya mazao ndani na nje ya nchi

65. Maboresho miundombinu ya utalii

66. Maendeleo katika utalii wa afya

67. Maendeleo katika utalii wa michezo na burudani

68. Usalama zaidi wa watalii

69. Katangaza utalii

70. Sera bora za uhifadhi wa mazingira


71. Maendeleo katika utalii wa utamaduni

72. Ongezeko la usawa wa kijinsia

73. Mikopo kwa wachimbaji wadogo

74. Kaongeza hamasa kwa wachimbaji wanawake

75. Ongezeko la mapato sekta ya madini

76. Mapambano thabiti ya ujangili wa madini

77. Katangaza madini ya Tanzania

78. Mipaka ya nchi ipo salama

79. Maboresho ya miundombinu ya shule

80. Veta kila wilaya

81. Ujenzi wa shule za wasichana

82. Kaongeza bajeti katika sekta ya elimu

83. Mapambano katika wizi wa mitihani.

84. Maboresho ya shule zenye wanafunzi wenye mahitaji maalumu.

85. Mifumo ya serikali imeanza kusomana

86. Mtetezi wa lugha ya kiswahili ndani na nje ya mipaka ya Tanzania

87. Ongezeko la wigo la upatikanaji wa maji

88. Kaifungua nchi kiuchumi

89. Mwanademokrasia wa kweli

90. Kipenzi cha watoto

91. Kipenzi cha vijana

92 . Kipenzi cha wanawake

93. Ni nembo na alama ya watanzania

94. Mpambanaji halisi

95. Ana uthubutu

96. Msema kweli

97. Akili iliyotulia isiyo na papara

98. Mapenzi kwa nchi yake

99. Ni mwanachama wa chama cha mapinduzi,chama la ushindi

100. Ametumisha salama na kutufuta machozi watanzania baada ya kuondokewa na mpendwa wetu Rais wa awamu ya tano hayati John Pombe Magufuli.

N.B HIZI NI SABABU MIA TU LAKINI ZIPO SABABU ZAIDI YA MILIONI.
mnawatafutia watu dhambi, mwishowe watekwe bure na landcrizer nyeupe T249 CVP
 
Mungu akujalie kuwa hai Hadi 2025 na Uzi usifute ili uje kujionea Maombi ya Watanzania kila Mtu Kwa Imani yake yanavyojibiwa.Tunahitaji Rais wa kutuvusha hapa tulipo,ndiyo maana watu waliposema Kikwete ni mpole anachekacheka Mungu akawaleteq Mtu mkali asiyecheka.Maombi ya WaTZ hata yasiyosemwa Mungu anayajibu.
 
Mungu akujalie kuwa hai Hadi 2025 na Uzi usifute ili uje kujionea Maombi ya Watanzania kila Mtu Kwa Imani yake yanavyojibiwa.Tunahitaji Rais wa kutuvusha hapa tulipo,ndiyo maana watu waliposema Kikwete ni mpole anachekacheka Mungu akawaleteq Mtu mkali asiyecheka.Maombi ya WaTZ hata yasiyosemwa Mungu anayajibu.
Rais Samia anatosha kutuvusha tumuombee tu kwa Mungu
 
Utamchagua wewe mwenyewe,
Sie tunapiga chini 2025.
Watanzania tupo pamoja na Rais wetu labda wewe pekeyako na hadi kufika October 2025 utakuwa umeshaungana nasi kwenye timu ya maendeleo
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hizi ni sababu zangu 100 zitakazonifanya nimchague Rais Samia katika uchaguzi mkuu wa 2025, zingatia kuwa hizi ni sababu zangu binafsi na siyo sababu zako.


1. Ana uzoefu katika uongozi ndani ya chama na serikalini I.e uzoefu wa zaidi ya miaka 30.

2. Ana mfiduo wa kutosha,kutokana na kufanya kazi na mashirika ya kimataifa.

3. Ana busara za kutosha,kutokana na umri pamoja na uzoefu wa kazi.

4. Mpole na mkarimu, hana majigambo.

5. Ni mlezi wa watu wote na si mwepesi wa hasira.

6. Ana hofu ya Mungu.

7. Msikivu.

8. Mzalendo.

9. Mchapakazi

10. Ana uwezo wa kuhamasisha wengine

11. Ana uwezo wa kufikiri kimikakati

12. Uwezo wake wa kupambana na changamoto

13. Anatumia lugha yenye staha katika kuzungumza na kutoa maelekezo

14. Mtatuzi wa migogoro

15. Ana upendo

16. Ana uwezo wa kufanya kazi kama timu

17. Ana fikra zenye maono

18. Ukomavu katika siasa za Tanzania na Duniani.

19. Mpenda amani na mshikamano

20. Muumini wa Muungano

21. Kapandisha mishahara

22. Ajira kwa vijana

23. Ongezeko la wawekezaji wa nje

24. Ongezeko la wawekezaji wa ndani

25. Mazingira rafiki kwa wafanyabiashara

26. Mikopo kwa wakinamama

27. Mikopo kwa vijana

28. Mikopo kwa watu wenye ulemavu

29. Mikopo kwa wasanii

30. Ongezeko la boom kwa wanavyuo

31. Mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati

32. Ongezeko la watalii

33. Ongezeko la ulipaji wa kodi bila shuruti

34. Ruzuku ya mbolea kwa wakulima.

35. Mwanamichezo halisi

36. Bima ya afya kwa wote

37. Kasi zaidi mradi wa rea

38. Mazingira bora ya upatikanaji wa haki

39. Maboresho makubwa katika miundombinu ya mahakama

40. Ameongeza elimu bure hadi kidato cha sita

41. Wanafunzi walipata ujauzito wamerudi shuleni.

42. Ameongeza maslahi ya watumishi,posho na pesa ya kujikimu

43. Mapambano dhidi ya madawa ya kulevya

44. Amelipa malimbikizo kwa watumishi

45. Ushirikiano wa kimataifa umeongezeka

46. Kaimarisha miundombinu ya afya

47. Kaongeza wigo wa upatikanaji wa dawa

48. Kaongeza vituo vya afya vijijini

49. Maendeleo katika afya ya mama na mtoto

50. Ongezeko la wataalamu wa afya

51. Maboresho wa utoaji wa huduma za dharura katika sekta ya afya

52. Mkazo katika kupambana na afya ya akili

53. Maendeleo ya miundombinu, barabara,reli n.k

54. Maboresho ya masoko ya ndani

55. Kapunguza vikwazo vya ufanyaji biashara

56. Ongezeko la masoko ya nje

57. Ufanisi bandarini

58. Nguvu zaidi katika kilimo cha umwagiliaji

59. Bajeti zaidi katika sekta ya kilimo

60. Kahamasisha vijana kufanya kilimo kupitia BBT

61. Ameimarisha vyama vya ushirika

62. Mikopo kwa wavuvi

63. Zana bora za uvuvi kwa wavuvi

64. Wigo mpana wa masoko ya mazao ndani na nje ya nchi

65. Maboresho miundombinu ya utalii

66. Maendeleo katika utalii wa afya

67. Maendeleo katika utalii wa michezo na burudani

68. Usalama zaidi wa watalii

69. Katangaza utalii

70. Sera bora za uhifadhi wa mazingira


71. Maendeleo katika utalii wa utamaduni

72. Ongezeko la usawa wa kijinsia

73. Mikopo kwa wachimbaji wadogo

74. Kaongeza hamasa kwa wachimbaji wanawake

75. Ongezeko la mapato sekta ya madini

76. Mapambano thabiti ya ujangili wa madini

77. Katangaza madini ya Tanzania

78. Mipaka ya nchi ipo salama

79. Maboresho ya miundombinu ya shule

80. Veta kila wilaya

81. Ujenzi wa shule za wasichana

82. Kaongeza bajeti katika sekta ya elimu

83. Mapambano katika wizi wa mitihani.

84. Maboresho ya shule zenye wanafunzi wenye mahitaji maalumu.

85. Mifumo ya serikali imeanza kusomana

86. Mtetezi wa lugha ya kiswahili ndani na nje ya mipaka ya Tanzania

87. Ongezeko la wigo la upatikanaji wa maji

88. Kaifungua nchi kiuchumi

89. Mwanademokrasia wa kweli

90. Kipenzi cha watoto

91. Kipenzi cha vijana

92 . Kipenzi cha wanawake

93. Ni nembo na alama ya watanzania

94. Mpambanaji halisi

95. Ana uthubutu

96. Msema kweli

97. Akili iliyotulia isiyo na papara

98. Mapenzi kwa nchi yake

99. Ni mwanachama wa chama cha mapinduzi,chama la ushindi

100. Ametumisha salama na kutufuta machozi watanzania baada ya kuondokewa na mpendwa wetu Rais wa awamu ya tano hayati John Pombe Magufuli.

N.B HIZI NI SABABU MIA TU LAKINI ZIPO SABABU ZAIDI YA MILIONI.
Huu muda ungeutumia walau kuandika isha kuhusu maisha yako - walau wajukuu zako siku za usoni wangeoma namna akili yako ilivyo.
 
Huu muda ungeutumia walau kuandika isha kuhusu maisha yako - walau wajukuu zako siku za usoni wangeoma namna akili yako ilivyo.
Hasira za nini boss relax
 
Pamoja ya yote,nasubiri neno juu ya utekaji utesi ,kupotea,neno juu ya uchaguzi kabla ya mapitio kwenye mengine mengi haya,nisiwe mchoyo wa fadhila hongera kwake na kwa wote wenyenia ya kweli kumfanikisha katika yote yaliyotajwa.
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hizi ni sababu zangu 100 zitakazonifanya nimchague Rais Samia katika uchaguzi mkuu wa 2025, zingatia kuwa hizi ni sababu zangu binafsi na siyo sababu zako.


1. Ana uzoefu katika uongozi ndani ya chama na serikalini I.e uzoefu wa zaidi ya miaka 30.

2. Ana mfiduo wa kutosha,kutokana na kufanya kazi na mashirika ya kimataifa.

3. Ana busara za kutosha,kutokana na umri pamoja na uzoefu wa kazi.

4. Mpole na mkarimu, hana majigambo.

5. Ni mlezi wa watu wote na si mwepesi wa hasira.

6. Ana hofu ya Mungu.

7. Msikivu.

8. Mzalendo.

9. Mchapakazi

10. Ana uwezo wa kuhamasisha wengine

11. Ana uwezo wa kufikiri kimikakati

12. Uwezo wake wa kupambana na changamoto

13. Anatumia lugha yenye staha katika kuzungumza na kutoa maelekezo

14. Mtatuzi wa migogoro

15. Ana upendo

16. Ana uwezo wa kufanya kazi kama timu

17. Ana fikra zenye maono

18. Ukomavu katika siasa za Tanzania na Duniani.

19. Mpenda amani na mshikamano

20. Muumini wa Muungano

21. Kapandisha mishahara

22. Ajira kwa vijana

23. Ongezeko la wawekezaji wa nje

24. Ongezeko la wawekezaji wa ndani

25. Mazingira rafiki kwa wafanyabiashara

26. Mikopo kwa wakinamama

27. Mikopo kwa vijana

28. Mikopo kwa watu wenye ulemavu

29. Mikopo kwa wasanii

30. Ongezeko la boom kwa wanavyuo

31. Mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati

32. Ongezeko la watalii

33. Ongezeko la ulipaji wa kodi bila shuruti

34. Ruzuku ya mbolea kwa wakulima.

35. Mwanamichezo halisi

36. Bima ya afya kwa wote

37. Kasi zaidi mradi wa rea

38. Mazingira bora ya upatikanaji wa haki

39. Maboresho makubwa katika miundombinu ya mahakama

40. Ameongeza elimu bure hadi kidato cha sita

41. Wanafunzi walipata ujauzito wamerudi shuleni.

42. Ameongeza maslahi ya watumishi,posho na pesa ya kujikimu

43. Mapambano dhidi ya madawa ya kulevya

44. Amelipa malimbikizo kwa watumishi

45. Ushirikiano wa kimataifa umeongezeka

46. Kaimarisha miundombinu ya afya

47. Kaongeza wigo wa upatikanaji wa dawa

48. Kaongeza vituo vya afya vijijini

49. Maendeleo katika afya ya mama na mtoto

50. Ongezeko la wataalamu wa afya

51. Maboresho wa utoaji wa huduma za dharura katika sekta ya afya

52. Mkazo katika kupambana na afya ya akili

53. Maendeleo ya miundombinu, barabara,reli n.k

54. Maboresho ya masoko ya ndani

55. Kapunguza vikwazo vya ufanyaji biashara

56. Ongezeko la masoko ya nje

57. Ufanisi bandarini

58. Nguvu zaidi katika kilimo cha umwagiliaji

59. Bajeti zaidi katika sekta ya kilimo

60. Kahamasisha vijana kufanya kilimo kupitia BBT

61. Ameimarisha vyama vya ushirika

62. Mikopo kwa wavuvi

63. Zana bora za uvuvi kwa wavuvi

64. Wigo mpana wa masoko ya mazao ndani na nje ya nchi

65. Maboresho miundombinu ya utalii

66. Maendeleo katika utalii wa afya

67. Maendeleo katika utalii wa michezo na burudani

68. Usalama zaidi wa watalii

69. Katangaza utalii

70. Sera bora za uhifadhi wa mazingira

71. Maendeleo katika utalii wa utamaduni

72. Ongezeko la usawa wa kijinsia

73. Mikopo kwa wachimbaji wadogo

74. Kaongeza hamasa kwa wachimbaji wanawake

75. Ongezeko la mapato sekta ya madini

76. Mapambano thabiti ya ujangili wa madini

77. Katangaza madini ya Tanzania

78. Mipaka ya nchi ipo salama

79. Maboresho ya miundombinu ya shule

80. Veta kila wilaya

81. Ujenzi wa shule za wasichana

82. Kaongeza bajeti katika sekta ya elimu

83. Mapambano katika wizi wa mitihani.

84. Maboresho ya shule zenye wanafunzi wenye mahitaji maalumu.

85. Mifumo ya serikali imeanza kusomana

86. Mtetezi wa lugha ya kiswahili ndani na nje ya mipaka ya Tanzania

87. Ongezeko la wigo la upatikanaji wa maji

88. Kaifungua nchi kiuchumi

89. Mwanademokrasia wa kweli

90. Kipenzi cha watoto

91. Kipenzi cha vijana

92 . Kipenzi cha wanawake

93. Ni nembo na alama ya watanzania

94. Mpambanaji halisi

95. Ana uthubutu

96. Msema kweli

97. Akili iliyotulia isiyo na papara

98. Mapenzi kwa nchi yake

99. Ni mwanachama wa chama cha mapinduzi,chama la ushindi

100. Ametumisha salama na kutufuta machozi watanzania baada ya kuondokewa na mpendwa wetu Rais wa awamu ya tano hayati John Pombe Magufuli.

N.B HIZI NI SABABU MIA TU LAKINI ZIPO SABABU ZAIDI YA MILIONI.
Jitahidi kuficha upumbavu wako
 
Back
Top Bottom