Pre GE2025 Sababu 100 za kumchagua Rais Samia katika Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuteka na kuua wapinzani hiyo ni Mia na moja.
 
Umeteuliwa kuwa
Mkuu wa wilaya Tandahimba
 
 
Watu wanatekwa toka kipindi cha nyerere niachieni Rais wangu
Nyerere alikuwa anawaweka watu kizuizini sio kuwapoteza na Taifa lilijulishwa waziwazi.Hawa jamaa wanateka na kuteza; na ikitokea amefariki hakuna habari kwa umma inatolewa.Namwombea Rais aufute utamaduni huu unaojengeka
 
Nyerere alikuwa anawaweka watu kizuizini sio kuwapoteza na Taifa lilijulishwa waziwazi.Hawa jamaa wanateka na kuteza; na ikitokea amefariki hakuna habari kwa umma inatolewa.Namwombea Rais aufute utamaduni huu unaojengeka

Nyerere alikuwa anawaweka watu kizuizini sio kuwapoteza na Taifa lilijulishwa waziwazi.Hawa jamaa wanateka na kuteza; na ikitokea amefariki hakuna habari kwa umma inatolewa.Namwombea Rais aufute utamaduni huu unaojengeka
Hii taharuki itaisha soon na ukweli utawekwa bayana ni swala la muda tu
 
Acha maneno zisome sababu vizuri tumsupport Rais azidi kutuletea maendeleo
Maendeleo mtasubiri sana!
Nyerere,Mwinyi,Mkapa, JK na JPM
Kama hukuona maendeleo utaletewa Leo na mtu wa Taifa jingine?
 
Maendeleo mtasubiri sana!
Nyerere,Mwinyi,Mkapa, JK na JPM
Kama hukuona maendeleo utaletewa Leo na mtu wa Taifa jingine?
Kumbe hata Rais wako hujui anatoka nchi gani?basi nikufahamishe kuwa Rais anatoka katika Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
 
101.Ana uwezo wa kuvuruga uchaguzi ili ionekane ccm inapendwa sana.
102.Ni mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…