Uchaguzi 2020 Sababu 11 kwanini Tundu Lissu atapata ushindi wa asilimia ndogo kuliko Lowassa na Dkt. Slaa

Uchaguzi 2020 Sababu 11 kwanini Tundu Lissu atapata ushindi wa asilimia ndogo kuliko Lowassa na Dkt. Slaa

*SABABU 11 KWA NINI TUNDU LISSU ATAPATA USHINDI WA ASILIMIA NDOGO KULIKO LOWASSA NA DR SLAA* Fuatana na *Joseph Yona*

yonapavea@gmail.com
0713802226

1: JPM anamengi yakuonekana aliyofanya kwa wananchi, Lissu hata jimbo lake tu hakuna chochote cha kuonyesha tokea amekua mbunge, mbaya zaidi kwa Sasa Hotuba zake zimejaa Uongo na utapeli Eti Ana Risasi kwenye UTI wa mgongo, Anacheza na UTI wa mgongo, Mara Risasi iko kisogoni.

2: Kila vita anayoingia #JPM anapata ushindi (MAKINIKIA, KORONA, KUJENGA UCHUMI NA MIUNDOMBINU).
Lissu ni ushindi wa maneno.

3: Lissu amejipanga kutumia tuhuma za uongo na Risasi za kimkakati kujinadi, wakati #JPM atakuwa na muda wa kutangaza na kuwaonyesha watanzania aliyowafanyia na Yajayo.

4: Taifa bado linamwangwi wa utisho wa kazi za #JPM na maamuzi magumu kama KORONA, Lissu kaanza udalali wa kutaka kutuaminisha watu wanakufa korona kipindi ambacho kila kanisa linatoa ibada za shukrani kwa Mungu kutupa rais Jasiri Kama *JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI*

5: Wakati wananchi wameaminishwa MABEBERU ni watu wabaya (NB Ubeberu si Rangi Bali vitendo, LISSU yeye anaonekana kutegemea watu hao ambao wapiga kura wanaamini ni wabaya kama watu wake wa karibu na Akiwa Tunduma amesema atafukuza Machinga woote wanachafua miji.

6: Tangu amepata Janga la kumiminiwa vitu vinavyodhaniwa kuwa ni Risasi Kila akisimama kuongea anaongea yaleyale hadi anaboa. Wakati Tunategemea #JPM atoe mambo mapya licha ya kuwa na mengi ya kusema.

7: Kanda ya ziwa huwa inaamua nani ashide uchaguzi kwa idadi kubwa ya wapiga kura, huko tumeshuhudia vitendo vingi vya maendeleo kuliko maneno ya kipinzani na malalamiko.
Wanatarajia Lissu utawafanyia nini zaidi ya Meli, Busisi, Barabara, Viwanda, zahanati etc ila naona umejipanga kuwapelekea tuhuma na maneno ya kujirudiarudia ya Risasi umekwama kiunoni.

8: Lissu maarufu mitandaoni ila katika uhalisia kwa wapiga kura Dkt Magufuli ni maarufu kuliko Lissu.

9: Lissu amekaa kama mtu anayetakiwa kusumbua mfumo sio kuwa kiongozi wa mfumo wa kuwasaidia watu.
Maneno yake, Body language yake haimfanyi mpiga kura aone kuwa hapo kuna jamaa mwenye utisho wa kuwa kiongozi wa nchi.

10: Hakuna mtu wa kuvujisha taarifa za siri za kiserikali na kiCCM ili ziwape wapinzani kiki kama enzi za Dr Slaa. Karibu watu wote wanahofu hata tu kulitaja jina la #JPM kimizaha. Kwa kipindi ambacho hakuwepo LISSU nchi imebadilishwa saikolojia kabisa jambo ambalo halihitaji miezi miwili kulirudisha.

11: Kwa sasa #JPM haonekani kama Kiongozi wa nchi tu, bali pia kama Kiongozi wa Kiroho.
Kuna watu leo wanamuamini #JPM kuliko hata viongozi wao wa kidini maana Alionyesha utegemezi mkubwa kwa Mungu ktk Corona kuliko hofu za viongozi wao.

Sio suala la miezi miwili kumtolea mtu imani.

Umeandika kipumbavu, na ukatuletea gazeti la kipumbavu kuthibitisha upumbavu! Nyie ni wapumbavu sana wachumia tumbo!
 
*SABABU 11 KWA NINI TUNDU LISSU ATAPATA USHINDI WA ASILIMIA NDOGO KULIKO LOWASSA NA DR SLAA* Fuatana na *Joseph Yona*

yonapavea@gmail.com
0713802226

1: JPM anamengi yakuonekana aliyofanya kwa wananchi, Lissu hata jimbo lake tu hakuna chochote cha kuonyesha tokea amekua mbunge, mbaya zaidi kwa Sasa Hotuba zake zimejaa Uongo na utapeli Eti Ana Risasi kwenye UTI wa mgongo, Anacheza na UTI wa mgongo, Mara Risasi iko kisogoni.

2: Kila vita anayoingia #JPM anapata ushindi (MAKINIKIA, KORONA, KUJENGA UCHUMI NA MIUNDOMBINU).
Lissu ni ushindi wa maneno.

3: Lissu amejipanga kutumia tuhuma za uongo na Risasi za kimkakati kujinadi, wakati #JPM atakuwa na muda wa kutangaza na kuwaonyesha watanzania aliyowafanyia na Yajayo.

4: Taifa bado linamwangwi wa utisho wa kazi za #JPM na maamuzi magumu kama KORONA, Lissu kaanza udalali wa kutaka kutuaminisha watu wanakufa korona kipindi ambacho kila kanisa linatoa ibada za shukrani kwa Mungu kutupa rais Jasiri Kama *JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI*

5: Wakati wananchi wameaminishwa MABEBERU ni watu wabaya (NB Ubeberu si Rangi Bali vitendo, LISSU yeye anaonekana kutegemea watu hao ambao wapiga kura wanaamini ni wabaya kama watu wake wa karibu na Akiwa Tunduma amesema atafukuza Machinga woote wanachafua miji.

6: Tangu amepata Janga la kumiminiwa vitu vinavyodhaniwa kuwa ni Risasi Kila akisimama kuongea anaongea yaleyale hadi anaboa. Wakati Tunategemea #JPM atoe mambo mapya licha ya kuwa na mengi ya kusema.

7: Kanda ya ziwa huwa inaamua nani ashide uchaguzi kwa idadi kubwa ya wapiga kura, huko tumeshuhudia vitendo vingi vya maendeleo kuliko maneno ya kipinzani na malalamiko.
Wanatarajia Lissu utawafanyia nini zaidi ya Meli, Busisi, Barabara, Viwanda, zahanati etc ila naona umejipanga kuwapelekea tuhuma na maneno ya kujirudiarudia ya Risasi umekwama kiunoni.

8: Lissu maarufu mitandaoni ila katika uhalisia kwa wapiga kura Dkt Magufuli ni maarufu kuliko Lissu.

9: Lissu amekaa kama mtu anayetakiwa kusumbua mfumo sio kuwa kiongozi wa mfumo wa kuwasaidia watu.
Maneno yake, Body language yake haimfanyi mpiga kura aone kuwa hapo kuna jamaa mwenye utisho wa kuwa kiongozi wa nchi.

10: Hakuna mtu wa kuvujisha taarifa za siri za kiserikali na kiCCM ili ziwape wapinzani kiki kama enzi za Dr Slaa. Karibu watu wote wanahofu hata tu kulitaja jina la #JPM kimizaha. Kwa kipindi ambacho hakuwepo LISSU nchi imebadilishwa saikolojia kabisa jambo ambalo halihitaji miezi miwili kulirudisha.

11: Kwa sasa #JPM haonekani kama Kiongozi wa nchi tu, bali pia kama Kiongozi wa Kiroho.
Kuna watu leo wanamuamini #JPM kuliko hata viongozi wao wa kidini maana Alionyesha utegemezi mkubwa kwa Mungu ktk Corona kuliko hofu za viongozi wao.

Sio suala la miezi miwili kumtolea mtu imani.


Upuuzi mtupu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
*SABABU 11 KWA NINI TUNDU LISSU ATAPATA USHINDI WA ASILIMIA NDOGO KULIKO LOWASSA NA DR SLAA* Fuatana na *Joseph Yona*

yonapavea@gmail.com
0713802226

1: JPM anamengi yakuonekana aliyofanya kwa wananchi, Lissu hata jimbo lake tu hakuna chochote cha kuonyesha tokea amekua mbunge, mbaya zaidi kwa Sasa Hotuba zake zimejaa Uongo na utapeli Eti Ana Risasi kwenye UTI wa mgongo, Anacheza na UTI wa mgongo, Mara Risasi iko kisogoni.

2: Kila vita anayoingia #JPM anapata ushindi (MAKINIKIA, KORONA, KUJENGA UCHUMI NA MIUNDOMBINU).
Lissu ni ushindi wa maneno.

3: Lissu amejipanga kutumia tuhuma za uongo na Risasi za kimkakati kujinadi, wakati #JPM atakuwa na muda wa kutangaza na kuwaonyesha watanzania aliyowafanyia na Yajayo.

4: Taifa bado linamwangwi wa utisho wa kazi za #JPM na maamuzi magumu kama KORONA, Lissu kaanza udalali wa kutaka kutuaminisha watu wanakufa korona kipindi ambacho kila kanisa linatoa ibada za shukrani kwa Mungu kutupa rais Jasiri Kama *JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI*

5: Wakati wananchi wameaminishwa MABEBERU ni watu wabaya (NB Ubeberu si Rangi Bali vitendo, LISSU yeye anaonekana kutegemea watu hao ambao wapiga kura wanaamini ni wabaya kama watu wake wa karibu na Akiwa Tunduma amesema atafukuza Machinga woote wanachafua miji.

6: Tangu amepata Janga la kumiminiwa vitu vinavyodhaniwa kuwa ni Risasi Kila akisimama kuongea anaongea yaleyale hadi anaboa. Wakati Tunategemea #JPM atoe mambo mapya licha ya kuwa na mengi ya kusema.

7: Kanda ya ziwa huwa inaamua nani ashide uchaguzi kwa idadi kubwa ya wapiga kura, huko tumeshuhudia vitendo vingi vya maendeleo kuliko maneno ya kipinzani na malalamiko.
Wanatarajia Lissu utawafanyia nini zaidi ya Meli, Busisi, Barabara, Viwanda, zahanati etc ila naona umejipanga kuwapelekea tuhuma na maneno ya kujirudiarudia ya Risasi umekwama kiunoni.

8: Lissu maarufu mitandaoni ila katika uhalisia kwa wapiga kura Dkt Magufuli ni maarufu kuliko Lissu.

9: Lissu amekaa kama mtu anayetakiwa kusumbua mfumo sio kuwa kiongozi wa mfumo wa kuwasaidia watu.
Maneno yake, Body language yake haimfanyi mpiga kura aone kuwa hapo kuna jamaa mwenye utisho wa kuwa kiongozi wa nchi.

10: Hakuna mtu wa kuvujisha taarifa za siri za kiserikali na kiCCM ili ziwape wapinzani kiki kama enzi za Dr Slaa. Karibu watu wote wanahofu hata tu kulitaja jina la #JPM kimizaha. Kwa kipindi ambacho hakuwepo LISSU nchi imebadilishwa saikolojia kabisa jambo ambalo halihitaji miezi miwili kulirudisha.

11: Kwa sasa #JPM haonekani kama Kiongozi wa nchi tu, bali pia kama Kiongozi wa Kiroho.
Kuna watu leo wanamuamini #JPM kuliko hata viongozi wao wa kidini maana Alionyesha utegemezi mkubwa kwa Mungu ktk Corona kuliko hofu za viongozi wao.

Sio suala la miezi miwili kumtolea mtu imani.

Pumbafyuuu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
UTOPOLO WA kiwango cha Phd ya Jalalani University

*SABABU 11 KWA NINI TUNDU LISSU ATAPATA USHINDI WA ASILIMIA NDOGO KULIKO LOWASSA NA DR SLAA* Fuatana na *Joseph Yona*

yonapavea@gmail.com
0713802226

1: JPM anamengi yakuonekana aliyofanya kwa wananchi, Lissu hata jimbo lake tu hakuna chochote cha kuonyesha tokea amekua mbunge, mbaya zaidi kwa Sasa Hotuba zake zimejaa Uongo na utapeli Eti Ana Risasi kwenye UTI wa mgongo, Anacheza na UTI wa mgongo, Mara Risasi iko kisogoni.

2: Kila vita anayoingia #JPM anapata ushindi (MAKINIKIA, KORONA, KUJENGA UCHUMI NA MIUNDOMBINU).
Lissu ni ushindi wa maneno.

3: Lissu amejipanga kutumia tuhuma za uongo na Risasi za kimkakati kujinadi, wakati #JPM atakuwa na muda wa kutangaza na kuwaonyesha watanzania aliyowafanyia na Yajayo.

4: Taifa bado linamwangwi wa utisho wa kazi za #JPM na maamuzi magumu kama KORONA, Lissu kaanza udalali wa kutaka kutuaminisha watu wanakufa korona kipindi ambacho kila kanisa linatoa ibada za shukrani kwa Mungu kutupa rais Jasiri Kama *JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI*

5: Wakati wananchi wameaminishwa MABEBERU ni watu wabaya (NB Ubeberu si Rangi Bali vitendo, LISSU yeye anaonekana kutegemea watu hao ambao wapiga kura wanaamini ni wabaya kama watu wake wa karibu na Akiwa Tunduma amesema atafukuza Machinga woote wanachafua miji.

6: Tangu amepata Janga la kumiminiwa vitu vinavyodhaniwa kuwa ni Risasi Kila akisimama kuongea anaongea yaleyale hadi anaboa. Wakati Tunategemea #JPM atoe mambo mapya licha ya kuwa na mengi ya kusema.

7: Kanda ya ziwa huwa inaamua nani ashide uchaguzi kwa idadi kubwa ya wapiga kura, huko tumeshuhudia vitendo vingi vya maendeleo kuliko maneno ya kipinzani na malalamiko.
Wanatarajia Lissu utawafanyia nini zaidi ya Meli, Busisi, Barabara, Viwanda, zahanati etc ila naona umejipanga kuwapelekea tuhuma na maneno ya kujirudiarudia ya Risasi umekwama kiunoni.

8: Lissu maarufu mitandaoni ila katika uhalisia kwa wapiga kura Dkt Magufuli ni maarufu kuliko Lissu.

9: Lissu amekaa kama mtu anayetakiwa kusumbua mfumo sio kuwa kiongozi wa mfumo wa kuwasaidia watu.
Maneno yake, Body language yake haimfanyi mpiga kura aone kuwa hapo kuna jamaa mwenye utisho wa kuwa kiongozi wa nchi.

10: Hakuna mtu wa kuvujisha taarifa za siri za kiserikali na kiCCM ili ziwape wapinzani kiki kama enzi za Dr Slaa. Karibu watu wote wanahofu hata tu kulitaja jina la #JPM kimizaha. Kwa kipindi ambacho hakuwepo LISSU nchi imebadilishwa saikolojia kabisa jambo ambalo halihitaji miezi miwili kulirudisha.

11: Kwa sasa #JPM haonekani kama Kiongozi wa nchi tu, bali pia kama Kiongozi wa Kiroho.
Kuna watu leo wanamuamini #JPM kuliko hata viongozi wao wa kidini maana Alionyesha utegemezi mkubwa kwa Mungu ktk Corona kuliko hofu za viongozi wao.

Sio suala la miezi miwili kumtolea mtu imani.

 
Jiwe ana mwisho mbaya mno, iwe ni kupitia sanduku la kura, udikteta ama karma..

Nauona mwisho wake wa taabu nyingi, fedheha, na majuto

Dhambi zake ni nyingi mno..

Huwezi kukosa akili kiasi unaamrisha binadamu mwenzako auawe mchana kweupe, huo ni Uhayawani na Ujinga wa kuvuka mipaka, hata Idi Amini hakutangaza kwenye TV live Wapinzani wake wauawe
Ni Kichaaa peke take anaweza Amini CCM inaweza Kuondoka madarakani miakaa ya Hivi karibunii Jamanii CCM si Magufuri CCM Ni Taasisi sio Kama CHADEMA one man Army Ili msijekuugua Jiandaeni kukubaliana na uhalisia acheni kujipa moyo kijinga na kipumbavuuu watu wazima nyie
 
Gifted fool hivi mnafikiri watanzania Ni wajinga eti? Empty head kabisa nyinyi .
IMG_20200907_165745.jpg
 
*SABABU 11 KWA NINI TUNDU LISSU ATAPATA USHINDI WA ASILIMIA NDOGO KULIKO LOWASSA NA DR SLAA* Fuatana na *Joseph Yona*

yonapavea@gmail.com
0713802226

1: JPM anamengi yakuonekana aliyofanya kwa wananchi, Lissu hata jimbo lake tu hakuna chochote cha kuonyesha tokea amekua mbunge, mbaya zaidi kwa Sasa Hotuba zake zimejaa Uongo na utapeli Eti Ana Risasi kwenye UTI wa mgongo, Anacheza na UTI wa mgongo, Mara Risasi iko kisogoni.

2: Kila vita anayoingia #JPM anapata ushindi (MAKINIKIA, KORONA, KUJENGA UCHUMI NA MIUNDOMBINU).
Lissu ni ushindi wa maneno.

3: Lissu amejipanga kutumia tuhuma za uongo na Risasi za kimkakati kujinadi, wakati #JPM atakuwa na muda wa kutangaza na kuwaonyesha watanzania aliyowafanyia na Yajayo.

4: Taifa bado linamwangwi wa utisho wa kazi za #JPM na maamuzi magumu kama KORONA, Lissu kaanza udalali wa kutaka kutuaminisha watu wanakufa korona kipindi ambacho kila kanisa linatoa ibada za shukrani kwa Mungu kutupa rais Jasiri Kama *JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI*

5: Wakati wananchi wameaminishwa MABEBERU ni watu wabaya (NB Ubeberu si Rangi Bali vitendo, LISSU yeye anaonekana kutegemea watu hao ambao wapiga kura wanaamini ni wabaya kama watu wake wa karibu na Akiwa Tunduma amesema atafukuza Machinga woote wanachafua miji.

6: Tangu amepata Janga la kumiminiwa vitu vinavyodhaniwa kuwa ni Risasi Kila akisimama kuongea anaongea yaleyale hadi anaboa. Wakati Tunategemea #JPM atoe mambo mapya licha ya kuwa na mengi ya kusema.

7: Kanda ya ziwa huwa inaamua nani ashide uchaguzi kwa idadi kubwa ya wapiga kura, huko tumeshuhudia vitendo vingi vya maendeleo kuliko maneno ya kipinzani na malalamiko.
Wanatarajia Lissu utawafanyia nini zaidi ya Meli, Busisi, Barabara, Viwanda, zahanati etc ila naona umejipanga kuwapelekea tuhuma na maneno ya kujirudiarudia ya Risasi umekwama kiunoni.

8: Lissu maarufu mitandaoni ila katika uhalisia kwa wapiga kura Dkt Magufuli ni maarufu kuliko Lissu.

9: Lissu amekaa kama mtu anayetakiwa kusumbua mfumo sio kuwa kiongozi wa mfumo wa kuwasaidia watu.
Maneno yake, Body language yake haimfanyi mpiga kura aone kuwa hapo kuna jamaa mwenye utisho wa kuwa kiongozi wa nchi.

10: Hakuna mtu wa kuvujisha taarifa za siri za kiserikali na kiCCM ili ziwape wapinzani kiki kama enzi za Dr Slaa. Karibu watu wote wanahofu hata tu kulitaja jina la #JPM kimizaha. Kwa kipindi ambacho hakuwepo LISSU nchi imebadilishwa saikolojia kabisa jambo ambalo halihitaji miezi miwili kulirudisha.

11: Kwa sasa #JPM haonekani kama Kiongozi wa nchi tu, bali pia kama Kiongozi wa Kiroho.
Kuna watu leo wanamuamini #JPM kuliko hata viongozi wao wa kidini maana Alionyesha utegemezi mkubwa kwa Mungu ktk Corona kuliko hofu za viongozi wao.

Sio suala la miezi miwili kumtolea mtu imani.

Unatumia kiungo gani cha mwili wako kufikiri?
 
hakika umesema acha alewe akaropoke
utumwa wa siasa ni mbaya sana...kati ya Jiwe na TL nani mropokoji???. TL anakuchana makavu huo ndio unaita uropokaji ukulinganisha na yule anayetajataja sidiria sijui kupanua na kuzaa zaa kwasabb matiti yapo??!!.
 
Joseph Yona huyu ni yule aliyekuwa Temeke akatekwa na wanaccm wakamlawiti na kumpiga picha kisha kumwambia aunge mkono juhudi la sivyo watatoa picha zake?
Duh, ccm ni watu hatari na wakatili sana
Kumbe hana marinda ndiyo maana akili zimemhama
 
Jiwe ana mwisho mbaya mno, iwe ni kupitia sanduku la kura, udikteta ama karma.

Nauona mwisho wake wa taabu nyingi, fedheha, na majuto

Dhambi zake ni nyingi mno.

Huwezi kukosa akili kiasi unaamrisha binadamu mwenzako auawe mchana kweupe, huo ni Uhayawani na Ujinga wa kuvuka mipaka, hata Idi Amini hakutangaza kwenye TV live Wapinzani wake wauawe
Prophets of doom mnachekeshaga na your empty words.
 
*SABABU 11 KWA NINI TUNDU LISSU ATAPATA USHINDI WA ASILIMIA NDOGO KULIKO LOWASSA NA DR SLAA* Fuatana na *Joseph Yona*

yonapavea@gmail.com
0713802226

1: JPM anamengi yakuonekana aliyofanya kwa wananchi, Lissu hata jimbo lake tu hakuna chochote cha kuonyesha tokea amekua mbunge, mbaya zaidi kwa Sasa Hotuba zake zimejaa Uongo na utapeli Eti Ana Risasi kwenye UTI wa mgongo, Anacheza na UTI wa mgongo, Mara Risasi iko kisogoni.

2: Kila vita anayoingia #JPM anapata ushindi (MAKINIKIA, KORONA, KUJENGA UCHUMI NA MIUNDOMBINU).
Lissu ni ushindi wa maneno.

3: Lissu amejipanga kutumia tuhuma za uongo na Risasi za kimkakati kujinadi, wakati #JPM atakuwa na muda wa kutangaza na kuwaonyesha watanzania aliyowafanyia na Yajayo.

4: Taifa bado linamwangwi wa utisho wa kazi za #JPM na maamuzi magumu kama KORONA, Lissu kaanza udalali wa kutaka kutuaminisha watu wanakufa korona kipindi ambacho kila kanisa linatoa ibada za shukrani kwa Mungu kutupa rais Jasiri Kama *JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI*

5: Wakati wananchi wameaminishwa MABEBERU ni watu wabaya (NB Ubeberu si Rangi Bali vitendo, LISSU yeye anaonekana kutegemea watu hao ambao wapiga kura wanaamini ni wabaya kama watu wake wa karibu na Akiwa Tunduma amesema atafukuza Machinga woote wanachafua miji.

6: Tangu amepata Janga la kumiminiwa vitu vinavyodhaniwa kuwa ni Risasi Kila akisimama kuongea anaongea yaleyale hadi anaboa. Wakati Tunategemea #JPM atoe mambo mapya licha ya kuwa na mengi ya kusema.

7: Kanda ya ziwa huwa inaamua nani ashide uchaguzi kwa idadi kubwa ya wapiga kura, huko tumeshuhudia vitendo vingi vya maendeleo kuliko maneno ya kipinzani na malalamiko.
Wanatarajia Lissu utawafanyia nini zaidi ya Meli, Busisi, Barabara, Viwanda, zahanati etc ila naona umejipanga kuwapelekea tuhuma na maneno ya kujirudiarudia ya Risasi umekwama kiunoni.

8: Lissu maarufu mitandaoni ila katika uhalisia kwa wapiga kura Dkt Magufuli ni maarufu kuliko Lissu.

9: Lissu amekaa kama mtu anayetakiwa kusumbua mfumo sio kuwa kiongozi wa mfumo wa kuwasaidia watu.
Maneno yake, Body language yake haimfanyi mpiga kura aone kuwa hapo kuna jamaa mwenye utisho wa kuwa kiongozi wa nchi.

10: Hakuna mtu wa kuvujisha taarifa za siri za kiserikali na kiCCM ili ziwape wapinzani kiki kama enzi za Dr Slaa. Karibu watu wote wanahofu hata tu kulitaja jina la #JPM kimizaha. Kwa kipindi ambacho hakuwepo LISSU nchi imebadilishwa saikolojia kabisa jambo ambalo halihitaji miezi miwili kulirudisha.

11: Kwa sasa #JPM haonekani kama Kiongozi wa nchi tu, bali pia kama Kiongozi wa Kiroho.
Kuna watu leo wanamuamini #JPM kuliko hata viongozi wao wa kidini maana Alionyesha utegemezi mkubwa kwa Mungu ktk Corona kuliko hofu za viongozi wao.

Sio suala la miezi miwili kumtolea mtu imani.

Huyu mkabila hatufai ameharibu umoja wetu.
 
*SABABU 11 KWA NINI TUNDU LISSU ATAPATA USHINDI WA ASILIMIA NDOGO KULIKO LOWASSA NA DR SLAA* Fuatana na *Joseph Yona*

yonapavea@gmail.com
0713802226

1: JPM anamengi yakuonekana aliyofanya kwa wananchi, Lissu hata jimbo lake tu hakuna chochote cha kuonyesha tokea amekua mbunge, mbaya zaidi kwa Sasa Hotuba zake zimejaa Uongo na utapeli Eti Ana Risasi kwenye UTI wa mgongo, Anacheza na UTI wa mgongo, Mara Risasi iko kisogoni.

2: Kila vita anayoingia #JPM anapata ushindi (MAKINIKIA, KORONA, KUJENGA UCHUMI NA MIUNDOMBINU).
Lissu ni ushindi wa maneno.

3: Lissu amejipanga kutumia tuhuma za uongo na Risasi za kimkakati kujinadi, wakati #JPM atakuwa na muda wa kutangaza na kuwaonyesha watanzania aliyowafanyia na Yajayo.

4: Taifa bado linamwangwi wa utisho wa kazi za #JPM na maamuzi magumu kama KORONA, Lissu kaanza udalali wa kutaka kutuaminisha watu wanakufa korona kipindi ambacho kila kanisa linatoa ibada za shukrani kwa Mungu kutupa rais Jasiri Kama *JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI*

5: Wakati wananchi wameaminishwa MABEBERU ni watu wabaya (NB Ubeberu si Rangi Bali vitendo, LISSU yeye anaonekana kutegemea watu hao ambao wapiga kura wanaamini ni wabaya kama watu wake wa karibu na Akiwa Tunduma amesema atafukuza Machinga woote wanachafua miji.

6: Tangu amepata Janga la kumiminiwa vitu vinavyodhaniwa kuwa ni Risasi Kila akisimama kuongea anaongea yaleyale hadi anaboa. Wakati Tunategemea #JPM atoe mambo mapya licha ya kuwa na mengi ya kusema.

7: Kanda ya ziwa huwa inaamua nani ashide uchaguzi kwa idadi kubwa ya wapiga kura, huko tumeshuhudia vitendo vingi vya maendeleo kuliko maneno ya kipinzani na malalamiko.
Wanatarajia Lissu utawafanyia nini zaidi ya Meli, Busisi, Barabara, Viwanda, zahanati etc ila naona umejipanga kuwapelekea tuhuma na maneno ya kujirudiarudia ya Risasi umekwama kiunoni.

8: Lissu maarufu mitandaoni ila katika uhalisia kwa wapiga kura Dkt Magufuli ni maarufu kuliko Lissu.

9: Lissu amekaa kama mtu anayetakiwa kusumbua mfumo sio kuwa kiongozi wa mfumo wa kuwasaidia watu.
Maneno yake, Body language yake haimfanyi mpiga kura aone kuwa hapo kuna jamaa mwenye utisho wa kuwa kiongozi wa nchi.

10: Hakuna mtu wa kuvujisha taarifa za siri za kiserikali na kiCCM ili ziwape wapinzani kiki kama enzi za Dr Slaa. Karibu watu wote wanahofu hata tu kulitaja jina la #JPM kimizaha. Kwa kipindi ambacho hakuwepo LISSU nchi imebadilishwa saikolojia kabisa jambo ambalo halihitaji miezi miwili kulirudisha.

11: Kwa sasa #JPM haonekani kama Kiongozi wa nchi tu, bali pia kama Kiongozi wa Kiroho.
Kuna watu leo wanamuamini #JPM kuliko hata viongozi wao wa kidini maana Alionyesha utegemezi mkubwa kwa Mungu ktk Corona kuliko hofu za viongozi wao.

Sio suala la miezi miwili kumtolea mtu imani.

Kama CCM wamekulipa ni wajinga yaani shabiki afanye analayisis umeonyesha ukada
 
Wewe ndio hopeless na kilaza kabisa.nakufananisha na mtu anayenadi machupi ya zamani yaliyotoboka na kufubaa
 
Back
Top Bottom