Hivyo yaan🙏🏽Ukitulia utanipa sababu 3 tu za kwa nini mwanamke akusamehe mwanaume Mzinzi, Unayelala na kila Malaya!
Hakika mkuu. Imagine huyo ni mke wa mtuNI zaid ya kusikitisha, inaumiza sana. Nafikiri mapenz watu hawatakiwi kuwa serious sana maana unaweza ikafa bure tu
Mke ni jina tu chief, but ninmwanamke kama wanawake wengine so ukijichanganya ukaoa malaya hesabu umeumiaHakika mkuu. Imagine huyo ni mke wa mtu
Usifanye hivyo mkuu kisa kubwa sana. Utakuja kujutiaHaina Makombo lakini
NAKAZIAukijichanganya ukaoa malaya hesabu umeumia
Hatari huu mchezo umezidi kupamba moto si mabinti si wake za watu wanaliwa kwa mpalange13.Unamheshimu sana kama mama wa watoto wako lakini mwamba kala ndogo tena bila usumbufu kabisa.
Mwanamke na mwanamume ni tofauti sana linapokuja suala la kuchepukaHivyo yaan🙏🏽
Wajibu usigeuke haki ya uzinzi!Nani ameolewa na kutunzwa?
Uongo.....mnakuza mamboHatari huu mchezo umezidi kupamba moto si mabinti si wake za watu wanaliwa kwa mpalange
Kwanini asiende kuishi kwa jamaa ili afikishwe vizuri kuliko atake kusamehewa ili uwe naye?Kama ni kweli humfikishi inabidi asamehewe.
Uchepukaji wa mwanamke ni tofauti na mwanamumeWajibu usigeuke haki ya uzinzi!
Nina ushuhudaUongo.....mnakuza mambo
Piga chini malaya13. kumbuka utakayempata pia ni msaliti ambaye hajasamehewa huko atokako, yaani ameachika kwa usaliti
Tuna deni kwenye jamii yetu mkuuXi Jinping siku hizi naona unatoa nondo tu MMU sikuoni jukwaa la kimataifa mzeiya