Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
-
- #41
Ukiona una wasiwasi huyo ni msaliti fukuzaKwa mfano anakusaliti na haujui na ukauliza uliposikia kakukatalia na ukakosa uthibitisho kama kakusaliti by nature kakusaliti vipi nae afukuzwe huku huna uthibitisho??
Umesema vyemaAll in all " akikusalit ndio imeisha hivyo yaanii"
Ulimsamehe?Jipe moyo hayajakukuta
NaniUlimsamehe?
MsalitiNani
Huyo malaya ndiye aliyempitia shetani na sio shetani ndiye alimpitia huyo malaya.Umeona mkuu halafu eti malaya anakuja kujiliza akikwambia shetani alimpitia au ilikuwa bahati mbaya
Simjui huyo msaliti mkuu wala sijamuonaMsaliti
Endelea kutofautisha mkuuMwanamke na mwanamume ni tofauti sana linapokuja suala la kuchepuka
Vipi kama ameacha na,siyo kuachika????Kwanini asiende kuishi kwa jamaa ili afikishwe vizuri kuliko atake kusamehewa ili uwe naye?
Hatakiwi hasamehewe
𝗸𝘄𝗲𝗹𝗶Ukitulia utanipa sababu 3 tu za kwa nini mwanamke akusamehe mwanaume Mzinzi, Unayelala na kila Malaya!
Mwanamke akisaliti hawezi kuacha. Atasaliti tuVipi kama ameacha na,siyo kuachika????
1. Mwanaume tumeumbwa kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ndiyo maana unaweza kuoa hadi wanawake 50Ukitulia utanipa sababu 3 tu za kwa nini mwanamke akusamehe mwanaume Mzinzi, Unayelala na kila Malaya!
🤣Jau kabisa wasisameheweUmeona mkuu halafu eti malaya anakuja kujiliza akikwambia shetani alimpitia au ilikuwa bahati mbaya
Inashangaza sana mkuuHapo anakuambia ni shetani alimpitia