Tulia tega mitego vizuriKwa mfano anakusaliti na haujui na ukauliza uliposikia kakukatalia na ukakosa uthibitisho kama kakusaliti by nature kakusaliti vipi nae afukuzwe huku huna uthibitisho??
Ukimsamehe malaya unapotea mwache Mungu awasamehe wewe hauna hiyo karamaNeno la Mungu limesema, usipowasamehe watu makosa yao, na Mungu hatakusamehe makosa yako. wala sio nadharia, Mungu pia ana sheria zake alizozisema ambazo huwa lazima azitimize. hii ndio maana Yesu alisema tusamehe saba x sabini.
Acha upuuzi kasome Mt 19 yoteNeno la Mungu limesema, usipowasamehe watu makosa yao, na Mungu hatakusamehe makosa yako. wala sio nadharia, Mungu pia ana sheria zake alizozisema ambazo huwa lazima azitimize. hii ndio maana Yesu alisema tusamehe saba x sabini.
hapakuwa na sababu yeyote kunitukana, Mungu akurehemu. MATHAYO 6:14 - 15 Inasema, Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi. bali msipowasamehe watu makosa yao wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.Acha upuuzi kasome Mt 19 yote
Kila ukitaka kuosha Lungu unakumbuka jamaa alivyoichakata.....Pumzi inakata.Kumsamehe mwanamke msaliti kunahitaji ukomavu wa akili haswa na wanaume wengi hatuwezi, mimi naunga mkono hoja ukimsamehe mwanamke msaliti ujue umejifunga kwenye gereza la maumivu mpaka siku unayokufa ndo utakuwa huru hayo maumivu hayatakuacha hapo utaishi naye kinafiki tu lakini ule upendo na furaha ya ndani ya moyo juu yake haitakuwepo kabisa, hata awe ameomba msamaha na amebadilika lakini wewe bado utakuwa kwenye gereza la maumivu,
Kumsamehe mwanamke msaliti kunahitaji ukomavu wa akili haswa na wanaume wengi hatuwezi, mimi naunga mkono hoja ukimsamehe mwanamke msaliti ujue umejifunga kwenye gereza la maumivu mpaka siku unayokufa ndo utakuwa huru hayo maumivu hayatakuacha hapo utaishi naye kinafiki tu lakini ule upendo na furaha ya ndani ya moyo juu yake haitakuwepo kabisa, hata awe ameomba msamaha na amebadilika lakini wewe bado utakuwa kwenye gereza la maumivu,
Kila ukitaka kuosha Lungu unakumbuka jamaa alivyoichakata.....Pumzi inakata.
SikupingiMsaliti ni kama muuwaji auwawe tu
Na wewe akikudaka umechepuka akupige chini?Haitakiwi kabisa kumsamehe malaya, piga chini ubaki na amani ya moyo na akili
Unakutana na mwanamke msaliti harafu unaenda kumshambulia yule Njema aliyemtafuna. Unajua kabisa hapa hakuna mwanaume kuna Boya.1, 4, 5, 6, 8.
Hii inafanyaga wanaume wengi tunywe pombe sana ukifikiria tena ukute ulikua una mgaramia sana
Lolote atakaloamuaNa wewe akikudaka umechepuka akupige chini?
Kuwa straight kama ulivyostraight juu yakeLolote atakaloamua
Uko sahihi amani ya moyo na afya ya akili vina umuhimu sana kwenye maisha tofauti na hapo utatoa msamaha lakini miaka mitano mbele ukipima afya utajikuta na magonjwa yote yasiyoambukiza kisukari,upungufu wa nguvu za kiume, presha n.k, msamehe mwanamke msaliti at your own risk, ila kama utaamua kumsamehe basi jitahidi kuondoa expectation zozote juu yake, ona upo na malaya, kama hamjafunga ndoa sogea tuishi sahau neno ndoa kati yenu twist mindset yako namna hii itakusaidia hata likitokea tena jua ni malaya amefanya tena ila kiujumla kumsamehe mwanamke msaliti ni hatari mno kwa afya akili.Haitakiwi kabisa kumsamehe malaya, piga chini ubaki na amani ya moyo na akili
Na wewe ukichepuke asikusamehe kabisaUko sahihi amani ya moyo na afya ya akili vina umuhimu sana kwenye maisha tofauti na hapo utatoa msamaha lakini miaka mitano mbele ukipima afya utajikuta na magonjwa yote yasiyoambukiza kisukari,upungufu wa nguvu za kiume, presha n.k, msamehe mwanamke msaliti at your own risk, ila kama utaamua kumsamehe basi jitahidi kuondoa expectation zozote juu yake, ona upo na malaya, kama hamjafunga ndoa sogea tuishi sahau neno ndoa kati yenu twist mindset yako namna hii itakusaidia hata likitokea tena jua ni malaya amefanya tena ila kiujumla kumsamehe mwanamke msaliti ni hatari mno kwa afya akili.
Na wewe ukichepuke asikusamehe kabi kupanga ni kuchagua
Kupanga ni kuchaguaNa wewe ukichepuke asikusamehe kabisa
.....namwanaumea anaye msaliti mke wake asamehewe au sisamehewe hii imekaaje kitaalamu wakuUmeona mkuu halafu eti malaya anakuja kujiliza akikwambia shetani alimpitia au ilikuwa bahati mbaya
.....namwanaumea anaye msaliti mke wake asamehewe au sisamehewe hii imekaaje kitaalamu
Kupanga ni kuchagua.....namwanaumea anaye msaliti mke wake asamehewe au sisamehewe hii imekaaje kitaalamu waku
Mbona jibu lako hapa haliko straight kama ulivyo msimamo wako?Kupanga ni kuchagua