Sababu 3 kwanini Dkt. Philip Mpango ndiye Rais ajaye

Sababu 3 kwanini Dkt. Philip Mpango ndiye Rais ajaye

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Mosi aliugua corona, pili ni Bankster alipitia World Bank na tatu hakuwa Makamu wa Rais kwa bahati mbaya.

Sasa anzeni kumjadili Mpango Phillip na muone jinsi mtakavyoishi naye kwani ndiye Rais ajaye, 2030 baada ya Samia, kila kitu kimepangwa na globalist ofcourse, …
 
Mosi aliugua corona, pili ni Bankster alipitia World Bank na tatu hakuwa Makamu wa Raisi kwa bahati mbaya.

Sasa anzeni kumjadili Mpango Phillip na muone jinsi mtakavyo ishi naye kwani ndiye Raisi ajaye, 2030 baada ya Samia, kila kitu kimepangwa na globalist ofcourse, …
Wasimweke bwana
 
Watu wengi mnanichekesha kupigia watu chapuo ya Urais badala ya kazi wanazofanya

Watu mmeweuka

Kule Twitter Wamejaa timu makamba na Nchemba kisa wamepewa chenji

Huku naona watu nao wanapenya

Kwa kifupi msijeshangaa nchi anaongoza mzanzibari tena au Mwanamke Tena kwa Mara ya pili


Britanicca
 
Mosi aliugua corona, pili ni Bankster alipitia World Bank na tatu hakuwa Makamu wa Raisi kwa bahati mbaya.

Sasa anzeni kumjadili Mpango Phillip na muone jinsi mtakavyo ishi naye kwani ndiye Raisi ajaye, 2030 baada ya Samia, kila kitu kimepangwa na globalist ofcourse, …
Chai
 
Back
Top Bottom