Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hussein MwinyiCCM jikoni huwa wanapenda kumpa urais mtu anaecheza kwenye umri wa miaka 55 mpaka 65 hivi kwa hilo tayari Philip Mpango kashaenguliwa mapema sana
Hapo tuongelee akina Mwigulu ,Hammad Masauni,Tulia Ackson
Wanakera sana kila siku kutuchosha na matamanio yao.2025 imekaribia, wala nchi wamechanganyikiwa.
Akiingia Shaka basi hakika James Delicious atakuwa waziri mkuu na makamo wa raisi atakuwa Aggrey. Kina Juma Lokole watakuwa mawaziri.Mama bado yupo sana mpk 2030 na baada ya hapo atafuata Shaka A. Shaka
Ulisoma original post wakati tu ndio imewekwa?Acha kukurupuka wewe,mtoa mada amesema baada ya 2030 Sasa Mama si ndio itakuwa kipindi chake Cha mwisho?
Hussein Mwinyi
Mmmh mshaanza tenaMosi aliugua corona, pili ni Bankster alipitia World Bank na tatu hakuwa Makamu wa Raisi kwa bahati mbaya.
Sasa anzeni kumjadili Mpango Phillip na muone jinsi mtakavyo ishi naye kwani ndiye Raisi ajaye, 2030 baada ya Samia, kila kitu kimepangwa na globalist ofcourse, …
Vile visiwa alivyouza, vimerejeshwa?Hussein Mwinyi
Amesrma 2030Kwamba nini kitatokwa kwa mama hadi Mpango ashike nchi? Mbona mnamchuria maza jamani!
Rais ajaye ni Ridhiwani au January makambaMosi aliugua corona, pili ni Bankster alipitia World Bank na tatu hakuwa Makamu wa Raisi kwa bahati mbaya.
Sasa anzeni kumjadili Mpango Phillip na muone jinsi mtakavyo ishi naye kwani ndiye Raisi ajaye, 2030 baada ya Samia, kila kitu kimepangwa na globalist ofcourse, …
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ajabu iliyojeeeKumbe moja ya sifa za kuwa rais ni kuugua corona na kupona!
No, Mzee yule ana hesabu za kurudi ulingoni, anadai Bado ana nguvu.😃😃😃Rais ajaye ni Ridhiwani au January makamba
Tunaosubiri HUSSEN MWINYI tukoment au tupite hivi
Hussein Mwinyi
ana wajomba oman?Kadi ya NIDA yenyewe hana.