Sio mkenya ni mburundi
Ana kadi ya CNDD FDD na pelipehutu.
Kuwa serious basi shaka ambaye hata tuvisiwa twa zanzibar anaweza kushindwa tukimpatia?Mama bado yupo sana mpk 2030 na baada ya hapo atafuata Shaka A. Shaka
Wasimweke bwanaMosi aliugua corona, pili ni Bankster alipitia World Bank na tatu hakuwa Makamu wa Raisi kwa bahati mbaya.
Sasa anzeni kumjadili Mpango Phillip na muone jinsi mtakavyo ishi naye kwani ndiye Raisi ajaye, 2030 baada ya Samia, kila kitu kimepangwa na globalist ofcourse, …
Coz ni ntibazonkiza au!!?Kadi ya NIDA yenyewe hana.
Acha kukurupuka wewe,mtoa mada amesema baada ya 2030 Sasa Mama si ndio itakuwa kipindi chake Cha mwisho?Kwamba nini kitatokwa kwa mama hadi Mpango ashike nchi? Mbona mnamchuria maza jamani!
2025 imekaribia, wala nchi wamechanganyikiwa.Aisee tupumzisheni na ujinga wenu wa kuwaza madaraka tu kila saa.
ChaiMosi aliugua corona, pili ni Bankster alipitia World Bank na tatu hakuwa Makamu wa Raisi kwa bahati mbaya.
Sasa anzeni kumjadili Mpango Phillip na muone jinsi mtakavyo ishi naye kwani ndiye Raisi ajaye, 2030 baada ya Samia, kila kitu kimepangwa na globalist ofcourse, …