Sababu 5 kwanini wanawake wanapenda kutingisha makalio

Sababu 5 kwanini wanawake wanapenda kutingisha makalio

Kwanza kutingisha matako ni kitendo Cha kuonyesha kipaji cha kucheza. Siku hizi ni rahisi kumuona hata mtoto wa miaka mitano akicheza kwa kukatika. Sababu zinazofanya dada zetu watutingishie matako ni pamoja na.


Wengine hujirekodi wakicheza ili makampuni mbalimbali ya maswala ya modelling yamuone kutangaza bidhaa zao.
Unazungumzia matako ya aina gani maana kila mwanamke ana tako sema size ngapi unzungumzia size upo
 
Kwanza kutingisha matako ni kitendo Cha kuonyesha kipaji cha kucheza. Siku hizi ni rahisi kumuona hata mtoto wa miaka mitano akicheza kwa kukatika. Sababu zinazofanya dada zetu watutingishie matako ni pamoja na.

1. Muonekano wa kimahaba
Anapokatika mwanamke humvutia mwanaume na kumsisimua na hasa akivaa kisidiria fulani Cha kimchongo mwanamke anajosikia kujiamini zaidi

2. Kuonyesha mwili wake
Wanawake wengine wamebarikiwa na sir God mashape amazing so namna ya kuonyesha kwa walimwengu baraka hizo ni ku twerk.

3. Peer pressure
Kwa Sasa asilimia 60 ya wasichana wanashawishika kutingisha makalio kwa sababu ya kuona wenzao ktk Instagram ama tiktok.

4. Kuonyesha kipaji tu Cha kucheza
Kuonyesha Jinsi kiuno kinavyozunguka Jinsi anavyojiamini kuumbika.

5. Umaarufu na pesa
Wengine hujirekodi wakicheza ili makampuni mbalimbali ya maswala ya modelling yamuone kutangaza bidhaa zao.
Mwigulu Tozo Effect
 
Ni nyege tu hakuna lingine
Nilikuaga najitingisha enzi hizo usistaduu hapo sijui ndo vitoto vya baobab, alpha, neema trust, green acres etc. Na tukikutana tuition CILOS TUITION CENTER
Ndo kabisaaaa.. mara cut walks. Ni utoto tuu. Sasa hivi ni mwendo wa kirombo tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji23]
 
Sasa kama yangu yanatingishika yenyewe ntatoa maoni gani mkuu?.
Aise...bahati mbaya wee mpenzi wa simba ungekuwa wa yanga alafu uteteme kama mayele sii ungekuwa unaachia bonge la vibration🤣🤣🤣🤣
 
Bwana we kama unalo linatikisika lenyewe tuu tena orijinoo laini sio yale ya kuwekwa sindano sijui kuvaa godoro lazima ulisukumize liende ila kama ni pasi unalifosi hahah sasa mpk mtu ushindwe kutembea kisa unaogopa kutikisika.
 
Aise...bahati mbaya wee mpenzi wa simba ungekuwa wa yanga alafu uteteme kama mayele sii ungekuwa unaachia bonge la vibration🤣🤣🤣🤣
Mimi na uto wapi na wapi mkuu haha sisi ni mwendo wa kuyakalia huku tuna nyunyizaaa
 
Ni nyege tu hakuna lingine
Nilikuaga najitingisha enzi hizo usistaduu hapo sijui ndo vitoto vya baobab, alpha, neema trust, green acres etc. Na tukikutana tuition CILOS TUITION CENTER
Ndo kabisaaaa.. mara cut walks. Ni utoto tuu. Sasa hivi ni mwendo wa kirombo tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji23]
So Huwa baadhi yenu mnafanya makusudi !??
 
Back
Top Bottom