antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Wachina washaona hiyo fursa, wakaja na dawa ya kuyaongeza!Wanaume wa kiAfrica huwa wanachizika Sana kwa wanawake wenye makalio makubwa.Wanawake Hawa Wana advantage kubwa Sana kutokana na mionekano yao.
Unazungumzia matako ya aina gani maana kila mwanamke ana tako sema size ngapi unzungumzia size upoKwanza kutingisha matako ni kitendo Cha kuonyesha kipaji cha kucheza. Siku hizi ni rahisi kumuona hata mtoto wa miaka mitano akicheza kwa kukatika. Sababu zinazofanya dada zetu watutingishie matako ni pamoja na.
Wengine hujirekodi wakicheza ili makampuni mbalimbali ya maswala ya modelling yamuone kutangaza bidhaa zao.
Tikisa na wewe makalio tukuone mkuu
Usicheke ukiwa kama mwanamke maoni yako ni muhimu kwenye hii madaHapo kwanz ncheke hahahahhah
Kwahiyo picha Naona kabisa unawasimanga wanawake ubao na huu ni uchokozi
Km la. MamacoTikisa na wewe makalio tukuone mkuu
Cm la mamake[emoji23] utani wa ngumi huu.
Mwigulu Tozo EffectKwanza kutingisha matako ni kitendo Cha kuonyesha kipaji cha kucheza. Siku hizi ni rahisi kumuona hata mtoto wa miaka mitano akicheza kwa kukatika. Sababu zinazofanya dada zetu watutingishie matako ni pamoja na.
1. Muonekano wa kimahaba
Anapokatika mwanamke humvutia mwanaume na kumsisimua na hasa akivaa kisidiria fulani Cha kimchongo mwanamke anajosikia kujiamini zaidi
2. Kuonyesha mwili wake
Wanawake wengine wamebarikiwa na sir God mashape amazing so namna ya kuonyesha kwa walimwengu baraka hizo ni ku twerk.
3. Peer pressure
Kwa Sasa asilimia 60 ya wasichana wanashawishika kutingisha makalio kwa sababu ya kuona wenzao ktk Instagram ama tiktok.
4. Kuonyesha kipaji tu Cha kucheza
Kuonyesha Jinsi kiuno kinavyozunguka Jinsi anavyojiamini kuumbika.
5. Umaarufu na pesa
Wengine hujirekodi wakicheza ili makampuni mbalimbali ya maswala ya modelling yamuone kutangaza bidhaa zao.
Atakuwa ni mchaga wa horiri huyu 😂
Hii cheese cake hata ujitingishe vipi vitu vitabaki vimekaza na utaishia kupata kichomi au kuvunja nyonga kabsaa...!
Sasa kama yangu yanatingishika yenyewe ntatoa maoni gani mkuu?.Usicheke ukiwa kama mwanamke maoni yako ni muhimu kwenye hii mada
Kuna page huko insta inatisha wanachoma sindano. Yaani[emoji119][emoji119]Wachina washaona hiyo fursa, wakaja na dawa ya kuyaongeza!
Aise...bahati mbaya wee mpenzi wa simba ungekuwa wa yanga alafu uteteme kama mayele sii ungekuwa unaachia bonge la vibration🤣🤣🤣🤣Sasa kama yangu yanatingishika yenyewe ntatoa maoni gani mkuu?.
Mimi na uto wapi na wapi mkuu haha sisi ni mwendo wa kuyakalia huku tuna nyunyizaaaAise...bahati mbaya wee mpenzi wa simba ungekuwa wa yanga alafu uteteme kama mayele sii ungekuwa unaachia bonge la vibration🤣🤣🤣🤣
Stop it basiiii [emoji119][emoji16][emoji16][emoji16]
Wengine hawana matacore Wana makalio bwana [emoji16]Unazungumzia matako ya aina gani maana kila mwanamke ana tako sema size ngapi unzungumzia size upo
So Huwa baadhi yenu mnafanya makusudi !??Ni nyege tu hakuna lingine
Nilikuaga najitingisha enzi hizo usistaduu hapo sijui ndo vitoto vya baobab, alpha, neema trust, green acres etc. Na tukikutana tuition CILOS TUITION CENTER
Ndo kabisaaaa.. mara cut walks. Ni utoto tuu. Sasa hivi ni mwendo wa kirombo tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji23]