Sababu gani ilikufanya muachane na mpenzi wako uliyempenda sana..

Sababu gani ilikufanya muachane na mpenzi wako uliyempenda sana..

Mlupembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2014
Posts
445
Reaction score
214
Mimi nakumbuka mpenzi wangu ambaye nilimpenda sanaa..nilijua ndo tutafunga ping za maisha..siku nikawa nimepanga nisafiri kesho yake asubuhi sana , nikaenda kwao kumuaga,..bahati mbaya asubuhi ile nikachelewa basi ,nikaamua kwenda church..nilipotoka nikapitia kwa jamaa yangu tuliyekuwa tutafanya nae biashara.. Kwakuwa nilipazoea Kama kwangu nikaingia bila hodi.. Tobaaa. .! Nitakuta jamaa tupo huu ya Demu wangu.. Dah ikawa mwisho wa mpenzi yetu.. Na mwisho wa kufanya biashara na yule jamaa...japo waliniomba radhi mnoo nilikataa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa anapenda sana ugomvi bila sababu yeyote ya msingi, haipiti siku tatu lazima anikorofishe kwa makusudi na ugomvi ukikolea barabara anaanza kutafuta suluhu ambayo mwisho wake ni kuvua chuppi unakuta kalowana chapachapa anagongwa kisawasawa hadi analia na kushukuru kwa kusema asante mume wangu mtarajiwa kwa kunipenda na kunikuna ipasavyo, khaaaaaaa!

Nikaamua kuachia ngazi na maugomvi yake ya lazima ya kutafutia nyegge
 
Nilimpenda mno ikawa big issue pale shuleni, kipindi hicho nipo form 6. Ikawa kesi maana kama mjuavyo sheria za shule haziruhusu.

Kwao alikatazwa haswa asiwe na mahusiano na Mimi lakini hakusikia lolote, baada ya mambo kuwa mengi wakataka kumuondoa nchini kumrudisha Oman. Alikaa siku 3 bila kufika shuleni na nkapata info kutoka kwa shoga yake ambae alikuwa jirani yake kwamba amekatiwa ticket tayar after two weeks anaondoka kuelekea Oman. Sikukubali nkaenda mpaka kwao, kufika nkaambiwa live mtoto wao hawezi kuwa na Mimi mtu mweusi. Hilo lilinifanya kwa moyo safi niachane nae na kuichukia sana familia yao
 
Back
Top Bottom