bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,689
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wake wenza mmenichekesha hahahhha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki mwenza umenichekesha, si tumeambiwa kifo ndio kitatutenganisha jamani!!!
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mpenzi upo
Nyie wake wenza mmenichekesha hahahhha
Rafiki bby wangu huku anajua sijawahi kupenda taratibu utaniaharibia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama kwa hiyo sasa hivi nina Baba mwingine?![emoji19][emoji19][emoji19]
Dah!!Mimi nakumbuka mpenzi wangu ambaye nilimpenda sanaa..nilijua ndo tutafunga ping za maisha..siku nikawa nimepanga nisafiri kesho yake asubuhi sana , nikaenda kwao kumuaga,..bahati mbaya asubuhi ile nikachelewa basi ,nikaamua kwenda church..nilipotoka nikapitia kwa jamaa yangu tuliyekuwa tutafanya nae biashara.. Kwakuwa nilipazoea Kama kwangu nikaingia bila hodi.. Tobaaa. .! Nitakuta jamaa tupo huu ya Demu wangu.. Dah ikawa mwisho wa mpenzi yetu.. Na mwisho wa kufanya biashara na yule jamaa...japo waliniomba radhi mnoo nilikataa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata aliyekubikiri?Nadhani huyu wa sasa nampenda saana kuliko wote asee,.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzigua90 unanifurahisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena huyo ndio uuwwii,. Sijawahi hata kumuota,.ukisikia bahati mbaya ni pamoja na yule...maana baada ya tukio lile sikutaka kumuona kwenye maisha yangu na nilifanikiwa hadi hivi leo,sijui hata ni mzima au kavuta.
Huyo ni Mama yangu wa JF napenda sana kumtania![emoji1][emoji1][emoji1]
Inaonekana kama alikubaka!Tena huyo ndio uuwwii,. Sijawahi hata kumuota,.ukisikia bahati mbaya ni pamoja na yule...maana baada ya tukio lile sikutaka kumuona kwenye maisha yangu na nilifanikiwa hadi hivi leo,sijui hata ni mzima au kavuta.