Sababu gani inasababisha mwanamke asitoe majimaji (Lubricants) wakati wa tendo la ndoa?


Na wasiwasi na umri wako mkuu! Hadi leo unapiga CHABO?
 
For a woman to ooze lubricant, she must be well prepared. Caresing, soft touching, fondling, kissing and massaging will make it

If all efforts fail, seek medical advice
 
hakuandaliwa
hakuwa tayari
alichoka
alikuwa na hofu
hakujihisi salama
alikuwa na stress
alikuwa na matatizo ya kifamilia


Au HAKUTAKA TU KWANI LAZIMA?
 
labda kama hana tatizo lingine wewe mwanamke kama hakufeel bwana kazi sana kutoa maji... tena kama mimi ndiyo kunageuka jangwa
Nyie nae vilaza kweli sasa mwanaume humfeel unampaje k. Yako...tuwape maboro yetu basi na nyie muwe na hisia za karibu kama sisi
 
uyo mwanaume nae? kwani kila siku ni ijumaaa huo mwili wa binadamu unachange every seconds
 
KY jelly zilitengenezwa kwaajili ya watu wenye matatizo hayo kwahyo ni option kama unaandaliwa na utokwi na majimaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…