Sababu Gani Wakenya Huja Huku JamiiForums?

Sababu Gani Wakenya Huja Huku JamiiForums?

Mara kwa mara huwa nasoma mambo kama "Wakenya mmeshindwa kutengeneza JF yenu"... "Tuwachie sisi JF yetu"... "Imetengenezwa na Watanzania"... "Hamna forums zenu"... "Hamna kazi ya kufanya mnakuja huku"...

Mnachosema ni kwamba hamtutaki kwenye forums zenu. Eti tusije. Lakini wacha niwaambie, tutasijaaa! Tena kwa rabsha na sokomoko.

Sababu moja itakayofanya tuzidi kusija JF inaweza kupatwa kwenye video hii hapa ya Coca Cola:


Tanzania ni kama ule mdogo. Na sisi? Si unajua tu.

Hata kama tunawahangaisha, deep down in our hearts, tunawapenda pia. Nyie ni ndugu zetu wa jadi. Na yeyote atakaye jaribu kuwasumbua, mtuambie tu. Tutapambana nao.

Kenya na Tanzania haziwezi kutenganishwa. Mimi kibinafsi, ninazo asili za Kitanzania (robo ya familia yangu iko TZ). Na tumetoka mbali, sisi majirani wawili.


TLDR: Tutaendelea kuja JF, tutaendelea kuwahangaisha, lakini hata hivyo, tunawapenda sana.

Kenya na Tanzania ni nchi moja..Mna wajaluo tuna wajaluo..MNA wamasai tuna wamasai.MNA wakurya tuna wakurya..MNA wazigua tuna wazigua.MNA wakikuyu tuna wachaga..MNA waswahili tuna waswahili..mwala ugali twala ugali..kwangu Mimi Kenya na Tanzania ni kama USA na Canada...Kenya na Tanzania ni nchi moja..hata mzee jomo jina lake Kenyatta maana yake ni Kenya na Tanzania
 
Na kwa utafiti niliofanya nimegundua kwamba wakenya na watz wanaona sana kuliko Waganda na pia, kuna watu wengi sana ambao mzazi mmoja anatka nchi mojawapo ya hizi nchi Mbili.
 
Kenya na Tanzania ni nchi moja..Mna wajaluo tuna wajaluo..MNA wamasai tuna wamasai.MNA wakurya tuna wakurya..MNA wazigua tuna wazigua.MNA wakikuyu tuna wachaga..MNA waswahili tuna waswahili..mwala ugali twala ugali..kwangu Mimi Kenya na Tanzania ni kama USA na Canada...Kenya na Tanzania ni nchi moja..hata mzee jomo jina lake Kenyatta maana yake ni Kenya na Tanzania
hehe at kenyatt NI kenya tanzania
 
Aisee lile forum mashada niliitoa nafsini mara that that. Hata post 1 sikufanya. Nilijua toka mwanzo kilikuwa mbofu..
Kwa wale wanaotaka kuwatoa wakenya JF, kumbukeni lugha pendwa inayotumika sana humu haitawaruhusu. Itakuwa sawa na kuwafukuza walimwengu wote Facebook, kisa sio wamarekani(hitowezekana).

Hata hivyo inabidi tujenge yetu kama vile nairaland (Leo huko wanatuvamia aisee). Swali ni je, nini kinachotuzuia? Naona tuwe na mwekezaji mpya tofauti na Kobia wa mashada au washirika wake, watupe psyche fresh bila vijembe kali na wenye hawalengi mrengo wowote wa kisiasa(gumu sana). Mwenye nia zuri na mwenye haogopi ban/piga marufuku hawa masokwe ya mitusi nono.
Mimi mle nilishindwa kabisa baana. Yani ati David Kobia alishindwa tu kabisa kumoderate hiyo website akaiacha tu ikaishia hivo. Mimi first time kuivisit ilikuwa ile wakati Tom Cholomodley alimkill sijuii yule ranger, nikacheki vile hao wazungu wazung na wafrika wanatukanana. Wazungu walianzisha thread inaitwa Justice for Tom. Ilikuwa balaa.
Halafu baadaye nikacheki vile watu wanatukanana hapo juu ya tribalism, sikuwahi join hiyo site.
 
Mimi mle nilishindwa kabisa baana. Yani ati David Kobia alishindwa tu kabisa kumoderate hiyo website akaiacha tu ikaishia hivo. Mimi first time kuivisit ilikuwa ile wakati Tom Cholomodley alimkill sijuii yule ranger, nikacheki vile hao wazungu wazung na wafrika wanatukanana. Wazungu walianzisha thread inaitwa Justice for Tom. Ilikuwa balaa.
Halafu baadaye nikacheki vile watu wanatukanana hapo juu ya tribalism, sikuwahi join hiyo site.
Such things are the ones that killed the forum
 
Mara kwa mara huwa nasoma mambo kama "Wakenya mmeshindwa kutengeneza JF yenu"... "Tuwachie sisi JF yetu"... "Imetengenezwa na Watanzania"... "Hamna forums zenu"... "Hamna kazi ya kufanya mnakuja huku"...

Mnachosema ni kwamba hamtutaki kwenye forums zenu. Eti tusije. Lakini wacha niwaambie, tutasijaaa! Tena kwa rabsha na sokomoko.

Sababu moja itakayofanya tuzidi kusija JF inaweza kupatwa kwenye video hii hapa ya Coca Cola:


Tanzania ni kama ule mdogo. Na sisi? Si unajua tu.

Hata kama tunawahangaisha, deep down in our hearts, tunawapenda pia. Nyie ni ndugu zetu wa jadi. Na yeyote atakaye jaribu kuwasumbua, mtuambie tu. Tutapambana nao.

Kenya na Tanzania haziwezi kutenganishwa. Mimi kibinafsi, ninazo asili za Kitanzania (robo ya familia yangu iko TZ). Na tumetoka mbali, sisi majirani wawili.


TLDR: Tutaendelea kuja JF, tutaendelea kuwahangaisha, lakini hata hivyo, tunawapenda sana.

Mengine yoote safi
Unakosea kutuhangaisha,
Unatuhangaisha vipi
 
La, mila ya wajaluo (wa Kenya) haihusishi kutahiri

dude does it have to be cultural? what of just personal medical reasons? In this age and era, you can't just throw a blanket conclusion that Luos don't undergo circumcision. Did you know that there are some christian sub-sects in the Luo community where circumcision is done at infant stage as per the Abrahamic law?(i bet you didn't know). All in all I didn't expect you to think this way at least judging from your sober comments on this forum.
 
Back
Top Bottom