Rwetembula Hassan Jumah
Senior Member
- Jan 25, 2023
- 140
- 188
Kwa wenye uelewa kuhusu uraia pacha naomba ufafanuzi kidogo. Maana Tanzania uraia pacha hatuna hii imekaaje, au ndo maana tunafeli kisoka?
Maana baadhi ya nchi yenye uraia pacha kwenye soka zinatamba mfano Morroco.
Maana baadhi ya nchi yenye uraia pacha kwenye soka zinatamba mfano Morroco.