kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
1. Kamati ya ufundi kutoka Kahana kuzuiwa kwenda kufanya kazi yake kiwanjani.
2. Kipa Kamara na Che Malone Kukosekana kwenye mechi kubwa kama Ile.
3. Aziz Ki kumbe hakuwa mgonjwa, atakuwepo.
4. Mechi kuchezwa telarehe 8 siku ya jumamosi.
Sababu nyingine zooote hizo ni uongo na visingizio TU, na kikamuni kukosa kufanya mazoezi ya mwisho adhabu yake sio kuahirisha mchezo.
2. Kipa Kamara na Che Malone Kukosekana kwenye mechi kubwa kama Ile.
3. Aziz Ki kumbe hakuwa mgonjwa, atakuwepo.
4. Mechi kuchezwa telarehe 8 siku ya jumamosi.
Sababu nyingine zooote hizo ni uongo na visingizio TU, na kikamuni kukosa kufanya mazoezi ya mwisho adhabu yake sio kuahirisha mchezo.