Hili nalo hakuna kwenda kulitizama ni limepita
Jipe mwaka mmoja tuu unaofata oa , kama utakuwa bado hujajipata basi jua baracka zipo kwa mke, utanielewa badaeDuhh niko 30 na bado sijajipata..... Nikijapata kitu cha kwanza nikuoa
Haya maswali ya Aya ya Mwisho mwenzenu naulizwa kila siku....Aisee naboreka jamaniWewe unadeti na wanavyuo au wanafunzi kama sio masharobaro na mamarioo au mabishoo... Au huenda unatoka na wavulana ambao bado wanategemea mlo kutoka kwa wazazi... Kuna wanaume wengi tu wanajielewa na wanajua kukaa na mwanamke ni vile tu wanakutana na maslay queens na golddiggers huko wanawaingiza mkenge...
Alafu cha kukusaidia kama unataka ndoa acha kua serious sana unapokua na mwanaume, ila fanya mwanaume mwenyewe atangaze ndoa mwenyewe tu si atakuona u're wife materials ila kama na wewe unaenda na zile gia zenu na maswali ya kisichana za "Eti baby malengo ya mahusiano yetu ni nini? Sijui lini utanitambulisha kwenu? Aaah haya maswali huwa hatuyapendi wallah!
SawaHii ni karne ya 21, mwaswala ya kuzungushana yamepitwa na wakti. Wewe nenda tu, mwenzako anasumbuliwa na upweke
Ukishampa akasepa inakuwajeHii ni karne ya 21, mwaswala ya kuzungushana yamepitwa na wakti. Wewe nenda tu, mwenzako anasumbuliwa na upweke
Kwani atasepa nayo😅Ukishampa akasepa inakuwaje
Ila umetoa mechi kimasiaraKwani atasepa nayo😅
Fresh tu. Si wote mnafaidi utamuIla umetoa mechi kimasiara
Mmmh vipi kwani??Wee nae acha kusumbua watu wee sio muolewaji bwana. Ulishakubali kuolewa na cpa yako🤣🤣🤣🤣
Alafu kesho nikupitie twende taifa basi wananchi tukatangaze ubingwa kwa kumpiga mnyama
Sababu za kukataa?Mimi nimeshawapeleka nyumbani wawili ila bi mkubwa anakataa mzee hana noma bi mkubwa kakataa halafu kanionyesha anayetaka yeye mpaka sasa ngoma droo.
Olewa bwana wewe🤣🤣🤣🤣Mmmh vipi kwani??
Kikubwa asikupe ujauzitoUkishampa akasepa inakuwaje
Sababu za kawaida sana ila kikubwa ni kwamba ninao wapeleka hawajui huyo anayemtaka ni wa mtaani hakuna sababu strong na mimi role model wangu ni ruge wamenipa sababu kwanza ngoja tuone itakavyokuwa.Sababu za kukataa?
Kweli halafu alikuwa anauliziaKikubwa asikupe ujauzito
Huo ni mtego, shtuka.Kweli halafu alikuwa anaulizia
Asante sana mkuuInshaallah....utampata tu..