Sababu kubwa watu kujitenga na kutaka kuwa taifa na kujitawala

Sababu kubwa watu kujitenga na kutaka kuwa taifa na kujitawala

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Hizi ndio sababu kubwa watu wanataka kujitenga, kujitawala na kuwa taifa huru.

Lugha, imani, kabila na heritage (sijui kwa kiswahili). Hizi ni sababu kuu.

Hawa watu kwenye mataifa wanayoishi hata ukifanyaje ipo siku warajitenga tu.

Zanzibar wanataka taifa lao kwasababu ya imani ya kiislamu. Siyo mbaya ni haki yao kwasababu 98% ni Muslims.

Anglophone Cameroon wanataka kujitenga kisa lugha. Licha ya upendeleo na manyanyaso lugha bado tu ni sababu kubwa.

Western Sahara nao heritage wanataka utambulisho licha wote ni Waislamu tu kama Morocco.

Biafra. Hili Jimbo Nigeria south east wanataka kujitenga kwasababu ya ukabila igbo. Hata wakisema ni kutengwa na kunyanyaswa lakini kikubwa ni kabila. Mbona jimbo la Benin state ni jirani lakini hawataki kujitenga na Nigeria?

Kabinda. Gawa wanataka kujitenga toka zamani hata kabla mafuta yagundulike. Hawapendi kujiita angolans. Jimbo lenyewe liko congo drc.

Western Suda Darfur. Hili Jimbo nao wanataka kuwa taifa nakujitenga na Sudan. Japo wote ni Waislamu lakini wanataka identity yao.

Nchi zingine duniani zinataka kujitenga na kuwa mataifa huru kwa misingi ya dini, imani, kabila , lugha na heritage ni.

Bahrain, wengi ni shia hawataki kutawaliwa na sunni minority.

Kurdistan. Wakurd wanataka taifa lao ambalo liko katikati ya Iraq, Turkey, Syria na Iran.

Tigray na Oromia Ethiopia.

Kashmir

Scotland na Nothern Ireland.

New Caledonia. French oversea territory.

Catalonia (Barcelona)

Southern Thailand
 
Wazanzibar lini wametaka kujitenga? Waulize wapemba walioshika ardhi kubwa na kumiliki mabuashara huku bara kama watakukubalia. Waulize wawakilishi wa zenj kwenye bunge la Muungano na wazanzibar wote waliokula teuzi kwenye serikali ya muungano kama wanataka kujitenga.

Ndio mana kuna jitihada nyingi za kujaribu kutatua kero za muungano ilimradi tuu kila upande uone unanufaika na muungano.

Shida kubwa ya zanzibar ni mgawanyo wa madaraka baina ya waunguja na wapemba hususani kwenye maswala uchaguzi wa zenj. Wapemba wanaamini waunguja wanabebwa na ccm ndio mana wakaamua kutumia upinzani.
 
Hizi ndio sababu kubwa watu wanataka kujitenga, kujitawala na kuwa taifa huru.

Lugha, imani, kabila na heritage (sijui kwa kiswahili). Hizi ni sababu kuu.

Hawa watu kwenye mataifa wanayoishi hata ukifanyaje ipo siku warajitenga tu.

Zanzibar wanataka taifa lao kwasababu ya imani ya kiislamu. Siyo mbaya ni haki yao kwasababu 98% ni Muslims.

Anglophone Cameroon wanataka kujitenga kisa lugha. Licha ya upendeleo na manyanyaso lugha bado tu ni sababu kubwa.

Western Sahara nao heritage wanataka utambulisho licha wote ni Waislamu tu kama Morocco.

Biafra. Hili Jimbo Nigeria south east wanataka kujitenga kwasababu ya ukabila igbo. Hata wakisema ni kutengwa na kunyanyaswa lakini kikubwa ni kabila. Mbona jimbo la Benin state ni jirani lakini hawataki kujitenga na Nigeria?

Kabinda. Gawa wanataka kujitenga toka zamani hata kabla mafuta yagundulike. Hawapendi kujiita angolans. Jimbo lenyewe liko congo drc.

Western Suda Darfur. Hili Jimbo nao wanataka kuwa taifa nakujitenga na Sudan. Japo wote ni Waislamu lakini wanataka identity yao.

Nchi zingine duniani zinataka kujitenga na kuwa mataifa huru kwa misingi ya dini, imani, kabila , lugha na heritage ni.

Bahrain, wengi ni shia hawataki kutawaliwa na sunni minority.

Kurdistan. Wakurd wanataka taifa lao ambalo liko katikati ya Iraq, Turkey, Syria na Iran.

Tigray na Oromia Ethiopia.

Kashmir

Scotland na Nothern Ireland.

New Caledonia. French oversea territory.

Catalonia (Barcelona)

Southern Thailand
Katanga DRC.

Na sisi Tanzania Serikali ya ccm ikiendelea kupendelea Dar tutagawana Mbao, Rukwa,Kigoma ,Mbeya Nako ni Tanzania .
 
Hizi ndio sababu kubwa watu wanataka kujitenga, kujitawala na kuwa taifa huru.

Lugha, imani, kabila na heritage (sijui kwa kiswahili). Hizi ni sababu kuu.

Hawa watu kwenye mataifa wanayoishi hata ukifanyaje ipo siku warajitenga tu.

Zanzibar wanataka taifa lao kwasababu ya imani ya kiislamu. Siyo mbaya ni haki yao kwasababu 98% ni Muslims.

Anglophone Cameroon wanataka kujitenga kisa lugha. Licha ya upendeleo na manyanyaso lugha bado tu ni sababu kubwa.

Western Sahara nao heritage wanataka utambulisho licha wote ni Waislamu tu kama Morocco.

Biafra. Hili Jimbo Nigeria south east wanataka kujitenga kwasababu ya ukabila igbo. Hata wakisema ni kutengwa na kunyanyaswa lakini kikubwa ni kabila. Mbona jimbo la Benin state ni jirani lakini hawataki kujitenga na Nigeria?

Kabinda. Gawa wanataka kujitenga toka zamani hata kabla mafuta yagundulike. Hawapendi kujiita angolans. Jimbo lenyewe liko congo drc.

Western Suda Darfur. Hili Jimbo nao wanataka kuwa taifa nakujitenga na Sudan. Japo wote ni Waislamu lakini wanataka identity yao.

Nchi zingine duniani zinataka kujitenga na kuwa mataifa huru kwa misingi ya dini, imani, kabila , lugha na heritage ni.

Bahrain, wengi ni shia hawataki kutawaliwa na sunni minority.

Kurdistan. Wakurd wanataka taifa lao ambalo liko katikati ya Iraq, Turkey, Syria na Iran.

Tigray na Oromia Ethiopia.

Kashmir

Scotland na Nothern Ireland.

New Caledonia. French oversea territory.

Catalonia (Barcelona)

Southern Thailand
TANZANIA haina sababu ya kujigawa kwa Majimbo au Ukabila au Udini. Mshikamano uliopo katika Nchi yetu haupatikani Nchi yeyote ile Duniani. Hakuna
We are the United States kama ilivyo, hatuhitaji kujigawa.

Hawo wote ukitizama kiundani na Historia zao utaona ni makampuni makubwa tu na wenye hela ndio waliofanya mitafaruku hiyo kutokea, aidha kwa kuchonganisha imani za watu na dini zao, au makabila au lugha n.k yaani kama ulivyolelezea. Sambmba, na rasilimali zilizokuwemo katika maeneo/nchi husika!



Walakin hatuna sababu yeyote ile zaidi ya Viongozi wa CHADEMA kutaka kutumia mbinu ya kutugawa ili wapate Dola. Yaani they are ready to sacrifice umoja wetu alimradi wanapata Dola. No
 
moja kati ya mawili
1.ujinga
2. Chokochoko za watu wenye maslahi binafsi
 
Miaka 50 ijayo africa africa itakuwa na zaidi ya nchi 70 kutoka hamsini

Na miaka 100 africa itakuwa na nchi zaidi ya 100 kutokana na kujitenga
 
Miaka 50 ijayo africa africa itakuwa na zaidi ya nchi 70 kutoka hamsini

Na miaka 100 africa itakuwa na nchi zaidi ya 100 kutokana na kujitenga
Na miaka hiyo ndio vita vitakapokuwa vimeshamiri eneo mpaka eneo, jirani kwa jirani.
 
Back
Top Bottom