Sababu kubwa ya wanawake kuhangaika na mahusiano

Sababu kubwa ya wanawake kuhangaika na mahusiano

Six Stars

Member
Joined
Dec 8, 2021
Posts
14
Reaction score
102
Wanawake mnao hangaika na mahusiano baadhi yenu mlipuuza wapenzi wenu watarajiwa wa utotoni na mkafikiri labda ulimwengu utaleta wenzi bora mkaanza kufanya sampling.

Aliyewasukuma kuchumbiana na kulala na wanaume tofauti tofauti kabla ya ndoa aliwaharibu sana. Mmebeba mizigo mingi kutoka kwa mahusiano ya zamani, ambayo yamewafanya kuwa watu wa giza, wenye uchungu, mliovunjika mioyo ambayo hamuwezi kuweka commitment.

Mmevurugwa kisaikolojia bila kujitambua, Mmekuwa wagonjwa wa akili wenye maradhi ya kihisia na mna huzuni. Na kibaya zaidi licha ya nafsi zenu kuwa nzito mnakataa yote haya na kuwa very defensive, playing the victims kujifanya saints, na kujipa mioyo kwa kutafuta kasoro kwa wanaume na bila kujielewa mnakuwa na reaction za ajabu kama viburi, vinyongo, vijembe, visasi , ufeminism n.k reactions ambazo ni Karaha kwa wanaume wanaotaka kusettle na nyie na kujikuta ata kama mliweza kuweka commitment mahusiano yanavunjika hamuelewi shida nini.

Mwisho mnaishia kukutana na wanaume wanaoweza kuwavumilia kumbe ni wawinda mataji ambao nao washavurugwa kihisia hawana mipango na ndoa zaidi ya fantasy za kuchapa na kutembea.

Msikatae kwamba hamjakosea wekeni pride pembeni, Confess ungameni muweke nafsi zenu huru na ndipo mtaponywa.
 
Mmmmmmhmn wadada shughuli mnayo maana siku hizi mkiingia JF ni nyuzi za kuwafunda na kuwanyoosha tabia. Msipozingatia haya yasemayo nadhani mnaweza shangaa mkatungiwa sheria ya kuwabana.
Tumegoma, labda muende Beijing
 
Mahangaiko ya wanawake kwenye mahusiano yao yamekubana tena?
 
God bless the women...by Lucky Dube (Rip)..

Lyrics​

In the middle of the night I heard her pray
So bitterly and so softly, yeah
She prayed for her children
She prayed for their education
Then she prayed for the man

That left her with her children
We praise heroes everyday
But there are those that we forget to praise
The women of this world
You see
They don't run from anything
They stand and fight for what's right
They don't run from anything
They stand and fight for what's right

Oh oh oh
God bless the women
Oh oh oh
God bless the women
Oh oh oh
God bless the women
Oh oh oh
God bless the women
God bless the women

Even when times are so hard
They are so cool, calm and collected
They don't run from anything
They stand and fight for what is right
They do not run from responsibilities
They stand and fight for what Is right

Oh oh oh
God bless the women
Oh oh oh
God bless the women
Oh oh oh
God bless the women
Oh oh oh
God bless the women
Oh oh oh
God bless the women
 
Tumegoma, labda muende Beijing
Hiyo so called Beijing ndiyo imezidi kuwapa misiba na kuwavuruga,mnazaa watoto wa kiume wasiokuwa na baba mnalea wenyewe mwisho wanatamani jinsia zenu na kutaka kuolewa kujazia pale mlipokosa nyie kuoelwa.

Unapoona jumbe kama "kataa ndoa" unatakiwa ujue ni za kizazi kilichokuja baada ya huo mkutano wa Beijing ambacho leo kinakataa kuowa kinataka chenyewe ndiyo kiolewe.
 
For real wanawake wengi tanzania ukiwaangali wameng'aa but wanatembea na mengi sana Moyoni akili zimevurugika
Ukigusa tu kidogo unakumbana na risasi za matatizo lukuki, unakutana na binti mzuri njiani ukiingiza gear hapo umebeba matatizo ya ukoo mzima. Unakata tamaa unapiga Mara moja na kupita kushoto.
 
Hiyo so called Beijing ndiyo imezidi kuwapa misiba na kuwavuruga,mnazaa watoto wa kiume wasiokuwa na baba mnalea wenyewe mwisho wanatamani jinsia zenu na kutaka kuolewa kujazia pale mlipokosa nyie kuoelwa.

Unapoona jumbe kama "kataa ndoa" unatakiwa ujue ni za kizazi kilichokuja baada ya huo mkutano wa Beijing ambacho leo kinakataa kuowa kinataka chenyewe ndiyo kiolewe.
Nanyi mkienda ndio mtakuwa mmebalance mambo sasa. Si mlisema mnataka haki sawa au mmeghairi?
 
Back
Top Bottom