Sababu kuu kwa nini timu ya taifa ya Argentina haina mtu mweusi

yani nakereka sana na kulialia huku kwa mtu mweusi

watu asili yao ni weupe ila weusi wanalazimisha wawe kati yao.

angalia timu zetu hatuna mweupe hata mmoja lakin hatusemi

waafrika tuko wanafiki sana

Umeongea point mkuu, alafu mleta mada kasepa
 
Hivi hiyo nchi ndiyo inapita kwenye mdororo wa uchumi kiasi cha pesa yake kutumika chooni kama toilet paper
 
Hivi ukiandika "mtu mwenye asili ya bara la Afrika" unapungukiwa nini? Hili neno MTU MWEUSI limekaa kishenzi shenzi. Tafadhali sana!!!
 
Mtoa mada katoa mada nzuri tu lkn ina mtizamo wa ki historia zaidi kuliko alivyo husisha na mambo ya Soka, ila mengi ni ukweli kuhusu madhira aliyopitia Mtu Mweusi Argentina, ni taarifa zipo hizo ilikuwa ni mbinu ya ku cleanse rangi nyeusi
 

Mbona unateseka hivyo! Messi anakuumiza nafsi ee,,,pole sana mwanawane.
 
Hapa bongo wanajeshi wangapi wana asili ya Asia/wahindi,cheki Polisi,jwatz,magereza,TISS,
Walioteuliwa wote na Maghu,umeona hata mmoja mwenye asili ya Asia?
 
Hapa bongo wanajeshi wangapi wana asili ya Asia/wahindi,cheki Polisi,jwatz,magereza,TISS,
Walioteuliwa wote na Maghu,umeona hata mmoja mwenye asili ya Asia?

Si ndio hapo sasa, moja kati ya mada za kipumbavu ni hii chief. Mtu kabla ya kuongea/kupost anapaswa afikirie kwanza,
 
Ohoo.......
Ila hata Spain watu weusi ni nadra sn tofauti na mataifa mengi ya ulaya
Spain pia kuna ubaguzi ila sio wakiwango cha Argentina. Argentina ilinuwia kuondoa watu weusi wote katika ardhi yao.Ni vile tu haikuwezekana.
 
Hao watu laki 2 waje Tanzania tuendeshe maisha kwenye bara letu kuliko kuishi maisha ya kubaguliwa.
Ni heri kuishi maisha huru kwenye nchi masikini kuliko kuishi maisha ya kitumwa kwenye nchi tajiri
Kwani Tanzania kuna uhuru?
 
Spain pia kuna ubaguzi ila sio wakiwango cha Argentina. Argentina ilinuwia kuondoa watu weusi wote katika ardhi yao.Ni vile tu haikuwezekana.
Huwezi kupingana na Mungu..... Hitler tu alishindwa azma yake ya kuwaangamiza wayahudi
 
Yeah ,apangalo Mungu mwanadamu hawezi lizuia.
Ni km serikali hii ya kishetani inavyotumia mbinu zake zote haramu kuiandamiza chadema ambayo ipo kwenye mioyo ya watz na ni mpango wa MUNGU
 
weusi wa Argentina wangeweka historia kama David trezeguet angeamua kufata asili ya babab yake na pia Pierre Aubamayeng angeamua kufata utaifa wa mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…