This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Sasa hao weupe tutaenda kuwaazima au tunawatoa wapi labda.Tz kuna wazungu wangapi ktk timu zetu ili tuwachukue wachezee timu ya taifa.Au tuna raia wangapi wazungu ktk nchi hii.Mnaelewa kinachojadiliwa kweli.yani nakereka sana na kulialia huku kwa mtu mweusi
watu asili yao ni weupe ila weusi wanalazimisha wawe kati yao.
angalia timu zetu hatuna mweupe hata mmoja lakin hatusemi
waafrika tuko wanafiki sana
yani wewe hauna kiwango ila unataka upewe nafasi kisa wewe ni mweusi wapi na wapi?Sasa hao weupe tutaenda kuwaazima au tunawatoa wapi labda.Tz kuna wazungu wangapi ktk timu zetu ili tuwachukue wachezee timu ya taifa.Au tuna raia wangapi wazungu ktk nchi hii.Mnaelewa kinachojadiliwa kweli.
Haswaàaa na ubingwa tunachukua ni swala la muda tu.SIMBA NGUVU MOJA.Pira biriani.
yani nakereka sana na kulialia huku kwa mtu mweusi
watu asili yao ni weupe ila weusi wanalazimisha wawe kati yao.
angalia timu zetu hatuna mweupe hata mmoja lakin hatusemi
waafrika tuko wanafiki sana
Namibia imefanyaje?Waliondolewa makusudi ni kama Namibia
Wachache ni kuanzia ngapi ?
Mbona timu ya taifa Tanzania haina Mzungu , mchina , au muhindi na hawalii lii
So taarifa ni uongo na hayo hayakutokea.Tuanzie hapo.