Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Waingereza wana misemo mizuri, mmojawapo ni huu unao-address uliyoyandika "utter nonsense"Ukiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.
Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.
Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.
Bila shaka wewe nsimboz u mke mwema si ndiyo??Mke mwema anatoka kwa Mungu. Cha msingi tu ni kumuomba Mungu akupe mke mwema haijalishi ana elimu gani ili usije ukajuta baadae.
Form alikuwa mpenzi, halikadhalika f2,3,4,5,6. Jumla 6 chuo kila mwaka alikuwa na wawili x3=6. Ushajua katembea na wanaume wangap? Nadhan 12. Wewe wa kumi na tatu. Kweli ni mvulivu aisee. Hongera kwa maana na wewe ni mvumilivu.Ukiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.
Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.
Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.
Hakuna changamoto zozote wanazokutana nazo chuoni zaidi ya kubadili kila aina ya mb*o na kutoa mimba kila kukicha, wana ile slogan ya "Usiruke stage" hii inawaharibu sana, Mimi sijaoa ila natarajia kuoa aliyeishia form 4 au six then kama atahitaji kusoma atasoma huku analea watoto wangu, End.Mkuu, ukweli ni upi/ Kwa mtazamo wako lakini, je, umeoa ambaye ameishia la saba?
Ooh shukrani kwa majibu yako. Je, kama angekuwa ameishia la saba, halafu wewe labada una digrii, ungeweza kuoa? Au kwako form four ni at least?Hakuna changamoto zozote wanazokutana nazo chuoni zaidi ya kubadili kila aina ya mb*o na kutoa mimba kila kukicha, wana ile slogan ya "Usiruke stage" hii inawaharibu sana, Mimi sijaoa ila natarajia kuoa aliyeishia form 4 au six then kama atahitaji kusoma atasoma huku analea watoto wangu, End.
Umesahau pesa na mipangoChanzo kikuu cha migogoro ya ndoa ni kutowakojoza vizuri wanawake.Kama mkeo una mkojoza vizuri wala hawezi kukuletea dharau
Hakuna mwanamke ambae hajapitia hayo yoteForm alikuwa mpenzi, halikadhalika f2,3,4,5,6. Jumla 6 chuo kila mwaka alikuwa na wawili x3=6. Ushajua katembea na wanaume wangap? Nadhan 12. Wewe wa kumi na tatu. Kweli ni mvulivu aisee. Hongera kwa maana na wewe ni mvumilivu.
Upo sawa mkuu LIKUD, nimeishi kwenye ndoa nina miongo sasa, najua hilo unalolisema but again endelea tu hi research niliokwambia.Chanzo kikuu cha migogoro ya ndoa ni kutowakojoza vizuri wanawake.Kama mkeo una mkojoza vizuri wala hawezi kukuletea dharau
Unapotea bro !Ukiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.
Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.
Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.
Ukiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.
Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.
Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.
Twende taratibu mkuu umemalza lini chuo?Nenda kamuoe bibi yako basi .
Hapana, naweza kuoa hata darasa endapo tu atakuwa na sifa ninazozihitaji.Ooh shukrani kwa majibu yako. Je, kama angekuwa ameishia la saba, halafu wewe labada una digrii, ungeweza kuoa? Au kwako form four ni at least?
Na idadi kubwa ya wanawake wa chuo hawawezi kulea familia kutokana na impact za chuo.Acha wehu kijana, jambo kuu linalomfanya mwanaume atafute "mke" ni kupata mwanamke atakayeweza kumtengenezea familia, kuiangalia na kuilea kwenye njia anazotaka mwanaume.
Hayo mengine ni upuuzi tu..... we unataka mwanamke mwenye elimu kwani wewe ni kampuni ya ajira au unataka kuanzisha kituo cha elimu?
Mwingine unakuta anataka mwanamke anayejua biashara..... sasa hapo mtu mwenye akili lazima ujiulize huyu anataka bussines partner au mke....
Mwanaume atamtengeneza mwanamke amtakaye..... full stop
Na idadi kubwa ya wanawake wa chuo hawawezi kulea familia kutokana na impact za chuo.
Quality and not quantityAcha wehu kijana, jambo kuu linalomfanya mwanaume atafute "mke" ni kupata mwanamke atakayeweza kumtengenezea familia, kuiangalia na kuilea kwenye njia anazotaka mwanaume.
Hayo mengine ni upuuzi tu..... we unataka mwanamke mwenye elimu kwani wewe ni kampuni ya ajira au unataka kuanzisha kituo cha elimu?
Mwingine unakuta anataka mwanamke anayejua biashara..... sasa hapo mtu mwenye akili lazima ujiulize huyu anataka bussines partner au mke....
Mwanaume atamtengeneza mwanamke amtakaye..... full stop