Sababu rahisi zilizofanya nikaacha kuwaoa hawa wadada wazuri kwa muonekano

Sababu rahisi zilizofanya nikaacha kuwaoa hawa wadada wazuri kwa muonekano

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Simu yake imeharibika halafu akasema atarekebisha juujuu ili akambambikie mtu mwingine. Nikamuacha mara moja.

Mwingine namuuliza kitu gani unachokipenda maishani akanijibu yeye anataka avae na kupendeza. Nikaona huyu akili hana. Nikasonga mbele.

Ladies, wanaume tunapotaka kuoa tunakuwa makini sana. Huwa tunataka mtu anayeweza kusimama hata siku nisipokuwepo.

Tunataka mtu fair na mwenye vipaumbele vya kudumu maishani na sio anasa. Haijalishi una uzuri kiasi gani, unapoteza thamani usipojielewa.
 
Simu yake imeharibika halafu akasema atarekebisha juujuu ili akambambikie mtu mwingine. Nikamuacha mara moja.

Mwingine namuuliza kitu gani unachokipenda maishani akanijibu yeye anataka avae na kupendeza. Nikaona huyu akili hana. Nikasonga mbele.

Ladies, wanaume tunapotaka kuoa tunakuwa makini sana. Huwa tunataka mtu anayeweza kusimama hata siku nisipokuwepo.

Tunataka mtu fair na mwenye vipaumbele vya kudumu maishani na sio anasa. Haijalishi una uzuri kiasi gani, unapoteza thamani usipojielewa.
Hehee
 
"Wazuri ndo malaya
Na malaya siwahitaji!"-Afande Sele
 
NDOA NI UJAMBAZI KAMA UJAMBAZI MWINGINE
KATAA NDOA
 
Simu yake imeharibika halafu akasema atarekebisha juujuu ili akambambikie mtu mwingine. Nikamuacha mara moja.

Mwingine namuuliza kitu gani unachokipenda maishani akanijibu yeye anataka avae na kupendeza. Nikaona huyu akili hana. Nikasonga mbele.

Ladies, wanaume tunapotaka kuoa tunakuwa makini sana. Huwa tunataka mtu anayeweza kusimama hata siku nisipokuwepo.

Tunataka mtu fair na mwenye vipaumbele vya kudumu maishani na sio anasa. Haijalishi una uzuri kiasi gani, unapoteza thamani usipojielewa.
Una hoja
 
Simu yake imeharibika halafu akasema atarekebisha juujuu ili akambambikie mtu mwingine. Nikamuacha mara moja.
Mwanamke tako na sura bwana aki yasaidia nini wakati hela zao wala hatuzioni
 
tabia nyepesi nyepesi hizo mbona hujawahi kukutana na mijanamke yenye roho ya mamba!,sa mtu kupenda kuvaa napo nilakulalamika! kuvaa kupendeza it's hobby hata mimi napenda.. nitakuja kuwafundisha vitu fulani vyakuangalia
 
Sasa mkuu si unamfungulia tu huyo wifi etu ndio anachokiweza ,
unataka umfungulie duka la vifaa vya ujenzi ,?anaweza? Hajui hata inch moja ya msumari imekaaje? kumfungulia asichokiweza ni kufilisi duka tu..
Huu ndio ukweli,ndio maana biashara nyingi zinaanguka,tunafungua biashara tusizozijua.Umetoa somo zuri sana.
 
Back
Top Bottom