HeheeSimu yake imeharibika halafu akasema atarekebisha juujuu ili akambambikie mtu mwingine. Nikamuacha mara moja.
Mwingine namuuliza kitu gani unachokipenda maishani akanijibu yeye anataka avae na kupendeza. Nikaona huyu akili hana. Nikasonga mbele.
Ladies, wanaume tunapotaka kuoa tunakuwa makini sana. Huwa tunataka mtu anayeweza kusimama hata siku nisipokuwepo.
Tunataka mtu fair na mwenye vipaumbele vya kudumu maishani na sio anasa. Haijalishi una uzuri kiasi gani, unapoteza thamani usipojielewa.
Una hojaSimu yake imeharibika halafu akasema atarekebisha juujuu ili akambambikie mtu mwingine. Nikamuacha mara moja.
Mwingine namuuliza kitu gani unachokipenda maishani akanijibu yeye anataka avae na kupendeza. Nikaona huyu akili hana. Nikasonga mbele.
Ladies, wanaume tunapotaka kuoa tunakuwa makini sana. Huwa tunataka mtu anayeweza kusimama hata siku nisipokuwepo.
Tunataka mtu fair na mwenye vipaumbele vya kudumu maishani na sio anasa. Haijalishi una uzuri kiasi gani, unapoteza thamani usipojielewa.
Mwanamke tako na sura bwana aki yasaidia nini wakati hela zao wala hatuzioniSimu yake imeharibika halafu akasema atarekebisha juujuu ili akambambikie mtu mwingine. Nikamuacha mara moja.
Ndio wanaomvutia hao🤣Wenye majibu ya hivyo ni malaya..
Wana tako na sura ndio shida inaanzia hapoNdio wanaomvutia hao🤣
Sasa mkuu si unamfungulia tu huyo wifi etu ndio anachokiweza ,Halafu ukiwauliza biashara watakwambia duka la nguo na urembo,pumbafu zao
Huu ndio ukweli,ndio maana biashara nyingi zinaanguka,tunafungua biashara tusizozijua.Umetoa somo zuri sana.Sasa mkuu si unamfungulia tu huyo wifi etu ndio anachokiweza ,
unataka umfungulie duka la vifaa vya ujenzi ,?anaweza? Hajui hata inch moja ya msumari imekaaje? kumfungulia asichokiweza ni kufilisi duka tu..
pengine hiko ndio anachokijua au kukiweza unadhani biashra kila mtu anafanya yoyote tuHalafu ukiwauliza biashara watakwambia duka la nguo na urembo,pumbafu zao
Rafiki, biashara ya nguo na urembo ina shida gani?Halafu ukiwauliza biashara watakwambia duka la nguo na urembo,pumbafu zao
Sasa analalamika nini na kipenda roho burudaniWana tako na sura ndio shida inaanzia hapo