Yaani ni vile tu tunaogopa kukufuru... ila samtaimz mtu huwa unajiuliza kwanini wababa wengine hawakutumia condom?Assalam aleykhum,
Jana nilitoa prediction kati ya Simba na Al Merekh ambayo ilitimia kwa 56%. Leo Yanga Timu ya wananchi wataibuka na ushindi kwa sababu hizi;
- Yanga wana presha ya kubeba ubingwa hivyo wachezaji wana morali na mood ya hali ya juu
- Mechi iliyopita Wananchi walipoteza hivyo hawana huo ujinga wa kupoteza tena.
- Mechi hii ina athari kwa Cedric Kaze hivyo sio rahisi kwake akubali apoteze tenaaa.
Ft: Timu ya Wanachi 2 vs polisi 0
# Magema Jr
SportsFire
unajipiga kidole afu unanusa mwenyewe..Assalam aleykhum,
Jana nilitoa prediction kati ya Simba na Al Merekh ambayo ilitimia kwa 56%. Leo Yanga Timu ya wananchi wataibuka na ushindi kwa sababu hizi;
- Yanga wana presha ya kubeba ubingwa hivyo wachezaji wana morali na mood ya hali ya juu
- Mechi iliyopita Wananchi walipoteza hivyo hawana huo ujinga wa kupoteza tena.
- Mechi hii ina athari kwa Cedric Kaze hivyo sio rahisi kwake akubali apoteze tenaaa.
Ft: Timu ya Wanachi 2 vs polisi 0
# Magema Jr
SportsFire
Akikujibu itakuwa ni maajabu ya dunia!!Enhe vipi ndoto yako imetimia au nadhani mechi imekwisha?
Fala la mpiraAssalam aleykhum,
Jana nilitoa prediction kati ya Simba na Al Merekh ambayo ilitimia kwa 56%. Leo Yanga Timu ya wananchi wataibuka na ushindi kwa sababu hizi;
- Yanga wana presha ya kubeba ubingwa hivyo wachezaji wana morali na mood ya hali ya juu
- Mechi iliyopita Wananchi walipoteza hivyo hawana huo ujinga wa kupoteza tena.
- Mechi hii ina athari kwa Cedric Kaze hivyo sio rahisi kwake akubali apoteze tenaaa.
Ft: Timu ya Wanachi 2 vs polisi 0
# Magema Jr
SportsFire
Mkuu japo kuteleza si kuanguka,lakin naamini nimefail katika hili,japo upumbafu wa wananchi umenifelisha katika hili... any way, Kwa heshima ya mchezo wa soka,naomba kustaafu kwa mda maswala haya🤔😐Mqema hauna hata aibu!! Jana ulikimbia uzi na leo umekimbia uzi wako mwenyewe!! Ni mtu mwenye kichwa kama cha mwendawazimu tu ndiye anaweza kuweka shilingi yake kuwa utopolo!!
Shukrani Ndugu na nimezipokea kwa Moyo Mmoja. Ubarikiwe kwa Kuona Tunu / Shani ya Kipekee kabisa iliyoko ndani yangu All - Rounder Mimi.Mkuu wangu All - Rounder kwa heshima na taadhima nakutunuku udaktari wa heshima huna mpinzani kwenye mada penyezi heko kwako
Hii ndio ilikuwa habari[*]Mechi hii ina athari kwa Cedric Kaze hivyo sio rahisi kwake akubali apoteze tenaaa.
[/LIST]
# Magema Jr
SportsFire
Na Mimi nimekupongeza Kwa hilo, make ule Uzi ulisema itakuwa ni wiki ngumu Kwa.....kweli yametimia, big up mkuu.Shukrani Ndugu na nimezipokea kwa Moyo Mmoja. Ubarikiwe kwa Kuona Tunu / Shani ya Kipekee kabisa iliyoko ndani yangu All - Rounder Mimi.