Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Habari wana jukwaa na poleni kwa mahangaiko ya kusaka ridhiki
NB: Mungu alimwambia Adam utakula kwa jasho lako na ww Hawa utazaa kwa uchungu (No mercy).
Pamoja na adhabu hii tunayoipitia ila hatukati tamaa na dunia yetu kwani tunaipenda.
Wengi wamekuwa wakiupotosha uma kwa kusema sababu ya Kain kumuua nduguye Abel ni wivu wa mapenzi. Hii sio sababu na hakukuwa na kitu kama hiki na hakipo popote duniani.
Sababu iliyopelekea Kain kumuua Abel ni baada ya Kain kuhisi amekosa upendo toka kwa wazazi wake pamoja na Mungu.
Kiuhalisia Kain alipata upendo ila alikuwa anafananisha na ule aliokuwa anapewa Abel.
Kwa shinikizo la shetani Kain alitekeleza mauaji yale peupeee shambani kwake kwa kumtanguliza Abel kwa lengo la kwenda kumuonyesha Abel mazao yake shambani.
Karibuni kwa pongezi na kuongeza nyama.
Copyright Frustration
NB: Mungu alimwambia Adam utakula kwa jasho lako na ww Hawa utazaa kwa uchungu (No mercy).
Pamoja na adhabu hii tunayoipitia ila hatukati tamaa na dunia yetu kwani tunaipenda.
Wengi wamekuwa wakiupotosha uma kwa kusema sababu ya Kain kumuua nduguye Abel ni wivu wa mapenzi. Hii sio sababu na hakukuwa na kitu kama hiki na hakipo popote duniani.
Sababu iliyopelekea Kain kumuua Abel ni baada ya Kain kuhisi amekosa upendo toka kwa wazazi wake pamoja na Mungu.
Kiuhalisia Kain alipata upendo ila alikuwa anafananisha na ule aliokuwa anapewa Abel.
Kwa shinikizo la shetani Kain alitekeleza mauaji yale peupeee shambani kwake kwa kumtanguliza Abel kwa lengo la kwenda kumuonyesha Abel mazao yake shambani.
Karibuni kwa pongezi na kuongeza nyama.
Copyright Frustration