Sababu ya kifo cha Steven Kibona na Gilman Rutihinda

Status
Not open for further replies.

Mzee rukhsa sio? Si wanasema mwanae ndio anatarajiwa kuchukua nchi then baadaye atanwachia Riz1. Yaani wamejipangia miaka 25 na ushee.
 


Humphnicky,
nilidhani ndo umekuja kutupa sababu kumbe na wewe unaulizia tu!
 
JAMANI MNALETA HATA NA Udini mnasahau kuwa Malima alifungua Msikiti ofisini kwake pale Wizarani(licha ya kufungua Redio ya Dini akiwa Waziri) lakini Waziri aliyeingia (hapo Wizarani Muislam) akaenda kutaifisha hela zake zilizokuwa nje ndio mshtuko ukampata.
Mbona mnamsahau yule Jaji aliyewahukumu Waislam hakumaliza siku jioni alifariki?
G, Rutihinda mm najua ni huu ugonjwa ulimpata kwani nyumba yake ndogo ipo pale Kiborloni watathitisha wemgine
 
Ingekuwa ndiyo hivi basi hata Mrema aliyekamata dhahabu airport angeshapotezwa

Weweeeeeeh! MREMA Jembe hawezi kufa ki ****;........................si unaona alivyochomoa walipotaka kum-kolimba??? Tembo hauawi kwa fimbo.................
 
Mrema mwenyewe roho ya paka anatembea na roho mkononi....
 
Ni siku nyingi Steven Kibona na Gilman Rutihinda waliitwa mbele ya haki. Wakati huo ndio VVU na Ukimwi vilikuwa havijadhibitiwa na dawa za kurefusha maisha hazijagunguliwa au kusambazwa kwa wingi.

JF tuwaachie ili roho zao zipumzike kwa amani. Hata wengi wa wenzi wao au marafiki zao wa kike, waliowaambukiza wameshaungana nao. Nashauri JF tujikite katika kuhimiza upatikanaji wa kinga au tiba ya hili gonjwa sugu.
 
Kuna vifo vingi katika nchi yetu ambavyo ukififuatilia sana ni vifo vya mashaka mashaka tu.
 
hili nalo neno la ukweli mno
 


Kwenye hiyo nyekundu: Usiseme vitu ambavyo huna uhakika navyo. Mke wa mmoja hao namfaham. Hivyo ksema kwamba ni waathirika wa kwanza wakati mke wake bado yuko fit na nimfanyakazi bado wa serikali ni kuidhalilisha familia yake.
 
Yako mengi mengi kidogo ya kutafiti. Vipi suala la kupunguza nguvu ya Wakristo?

Nani anayejua sababu ya Mzee (Marehemu sasa) Makweta kukwepa madaktari wa serikali badala yake wakawa wanatibiwa privately kabisa?

Nani anayeweza kujua mauaji ya watoto wa shule ya shauritanga na jinsi yule mpelelezi wa nje alivyouawa moshi kabla hajafika Dar kutoa report yake na nyaraka zake kupotea. Na halafu serikali ikatangaza kwamba ulikuwa moto wa mshumaa wakati hapo shuleni palikuwa na umeme muda wote na palikuwa na marufuku ya mishumaa na pasi mabwenini?

Nani mwenye kujua jaribio la kuchomwa kwa shule ya Karaeni na baada ya kuvuja kwa taarifa, watoto wote kujikuta wako nje ya bweni saa sita usiku, mabanda ya mifugo yakiwaka moto?

Nani anayejua yle mtoto Mwajuma, aliyekuwa amemnong'oneza rafiki yake juu ya kuwashwa shule usiku alipohojiwa alisema nini? Kutokana na habari za yle mtoto, nini kilijiri dar wakti watoto hao wakiwa likizo? Ni assignments gani walipewa?

Jamani nchi yetu hii!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwa kuanzia naanza kwa kutiririka hivi:-
Enzi za mwalimu JKN. (R.I.P)
1. Sokoine
2. Karume
3. …………
4. …………
Enzi za Mwinyi.
1. Steven Kibona
2. Gilman Rutihinda.
3. ………………………
4. …………………………
Enzi za mkapa.
1. Mwalimu Nyerere
2. Imrani Kombe
3. Horace Kolimba
4. ………………….
5. ………………………
Enzi za JK (sasa)
1. Daudi balali
2. Mwangosi
3. Profesa mwaikusa
4. Amina Chifupa.
5. ……………………
 
Hebu tupe zaidi kuhusu haya uliyoandika...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…