Erickjr
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 994
- 787
Boom Sio tatizo Sababu tangu uhusiano wetu uanze hakuna alie wahi kumuomba mwenzie pesa wala Vocha ni mtu anaye jiweza na mimi najiweza kiupande wangu!
Sasa Tafuta Sabb Halisi Ya Yy Kuamua Hayo, Ila Becare Nahisi Kma Utakayokuja Kuyagundua...Mmhhuu!!!!!Nakushaul Kubali Alichoamua..Angalia Maisha Yako. Mzee Wa Kazi Yupo Ikulu..Akikusikia Unalia Lia...Atapiga Marufuku Kupenda Penda!!!