Sababu ya Kuvunjika EAC-I, Kuundwa Upya EAC-II,"The Coalition of The Willing" Kujimwambafay na Jinsi JK Alivyoiokoa Jumuiya Isivunjike Kwa Kujishusha!

Vipi kuhusu itikadi za kisiasa miongoni mwa nchi wanachama Tz (ujamaa), Kenya(Ubepari) je haikuwa sababu ya kuvunjika hii jumuiya ?
Mkuu Proved
Kitakachoikwamisha hii jumuiya ya Sasa ni mzozo baina ya nchi wanachama hasa Rwanda na jirani zake Drc na Burundi, isitoshe imeonyesha udhaifu mkubwa kwa kushindwa kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa huo mzozo.
Mizozo yote itakwisha tutakapo fikia stage ya political federation.
Mizozo ya kisiasa ndani ya nchi wanachama hasa nyakati za uchaguzi ni mtihani mgumu kwa hii jumuiya, hasa pale inapoonekana hakuna nchi inayoonekana imeweza kuepuka hili kwa kuheshimu mchakato wa kidemokrasia.
True political federation pia hili italifuta.
Mzozo wa ndani wa miaka mingi wa Drc huku nchi wanachama wa EAC wakitajwa kuwa wahusika wakubwa ni mtihani mwingine uliyokwisha kuishinda jumuiya.
Huu unakwisha naturally baada ya kuuingiza DRC kwenye EAC, hata Somalia itatulia.
Hili ni jumuiya ya kuwakutanisha viongozi na taasisi zao tu ila mengine .....
Itabadilika
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…