Sababu ya kwanini wanawake tunaonekana tunapenda pesa

Wanawake yao shaft kaz ya nn anapata mshahara na bado anategemea mumewe
 
unawaza wanaume miaka hii? to hell with their useless penis!
Mwanamke mwenzangu unaonekana kukata tamaa, huenda hujakutana na mtu sahihi aliyekupa Mungu.
Kaa chini, tubu kwa huu usemi wako!
Elewa, mwanaume ni kichwa cha nyumba, haijalishi elimu umempita, haijalishi cheo umempita kama ambavyo mimi namzidi wangu lakini yeye ndio head of the family, haijalishi umetoka familia ya kina Macha, Kimei, Woiso, Nyagawa, Fundikira , Mollel, Shirima, Dewji, Ladwa, Kikwete, Nyerere , Mnnauye wote ni utulivu na kufuata analokwambia mwanaume so long as huvunji sheria za nchi.
Haya mambo ya ooh kwetu hatujazoea hivi na vile ni upuuzi na ndio maana ndoa zetu hazidumu kabisa.

USELESS PENIS: Unadharau kiungo ambacho ndio wewe ulipita kwenye kitundu cha hicho kiungo, nakushanga sana, tubu, heshimu kile kiungo ni kitu kitakatifuna ndio kinatupa furaha ya ndoa.
 
Hao wa nyumbani wanaolea familia mi sina shida nao kama mimi ntahudumia kwa roho moja!shida ipo pale unapokuta mdada ana kazi na anapesa zake lkn bado anendekeza njaa tu,hawa wa aina hii sasa ndo shida!!
Tena wanapewa kipau mbele kwenye ajira... kwa sasa 80% waajiriwa maofisini ni wakike lakini bado wanaomba sana hela. Sasa ni heri wawe nyumbani tu tuwahudumie...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…