Mtoto mtukutu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 348
- 109
Wanawake yao shaft kaz ya nn anapata mshahara na bado anategemea mumewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmhunawaza wanaume miaka hii? to hell with their useless penis!
🤣Mmmh....ashakum hakuchagulii tusi. Wanaume wa jf tumepokea matusi yako kwa mikono miwili
Hela hela ina utamu wake hata single lady lazima apende hela ili apendeze,anywe,avae,asuke weaving jipyaaaa,rasta za ukweli,make up za bei mbaya nakadhalika
unawaza wanaume miaka hii? to hell with their useless penis!
Tena wanapewa kipau mbele kwenye ajira... kwa sasa 80% waajiriwa maofisini ni wakike lakini bado wanaomba sana hela. Sasa ni heri wawe nyumbani tu tuwahudumie...Hao wa nyumbani wanaolea familia mi sina shida nao kama mimi ntahudumia kwa roho moja!shida ipo pale unapokuta mdada ana kazi na anapesa zake lkn bado anendekeza njaa tu,hawa wa aina hii sasa ndo shida!!