Sababu ya Msingi kuachwa Lomalisa akaletwa Boka ilikuwa ni ipi?

Sababu ya Msingi kuachwa Lomalisa akaletwa Boka ilikuwa ni ipi?

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2021
Posts
2,753
Reaction score
12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!


Kabla ya yote nikubali ya kwamba Mimi ni shabiki na mkereketwa wa timu ya Yanga!,hivyo nitakachokiandika hapa kinaihusu timu ya Yanga!

Tangu ligi ya NBC imeanza kiukweli binafsi hakuna mechi hata moja kutoka Kwa timu yangu ya Yanga iliyonishawishi na kunivutia!

Timu kwasasa inashinda Kwa mbinde na makosa ya Marefa (Ukweli lazima usemwe),sijaona kabisa timu ikitengeneza nafasi na Kuwa katiri kwenye lango la mpinzani,hii ni tofauti kabisa na msimu wa mwaka Jana!,Sasa bado sijaelewa ni mbinu na kiwango Cha Gamondi kimefika mwisho au tatizo ni wachezaji?

Mbona wachezaji takribani wote wa msimu wa mwaka Jana ndiyo hawahawa?,au shida ni kuchoka?

Wachezaji walioshuka kiwango Kwa Hali ya Juu!

1.Aziz Ki

Huyu jamaa Bado sijajua ni kitu gani kinamsumbua,yaani akiwa nje kabla hajaingia unaona namna anavyowaelekeza wenzie wakiwa dimbani utadhani yeye ndiye kocha!,ila akiingia uwanjani anacheza ovyo mnoo!

2.Khalid Aucho
Huyu yeye kiwango kimeshuka zaidi na Wala halihitaji binocular kuona hilo,kwasasa Babu Kaju ni Bora kuliko Aucho ila sema ndo vile Kwa Gamondi ni kama kalogewa!,jamaa anacheza vibaya na kiwango hakiridhishi hata kidogo,sijajua ni kutumika sana au umri umemtupa mikono!

3.Chadrak Boka

Bado sijajua sababu za kutokumuongezea mkataba Joyce Lomalisa zilikuwa ni zipi,Huyu Boka hamzidi kitu chochote Kibabage,kwasababu kama ni kukimbia wote wanakimbia na hatimaye huwa hawana mbinu mbadala,Joyce Lomalisa alikuwa ni habari nyingine linapokuja suala la utulivu na upigaji wa Krosi!,Kama Hersi aliamua kutomuongezea mkataba Lomalisa na kumletea Boka Kwa nia ya kuongezea hatari Kwa wapinzani,kiukweli hapa tumeingia chakike!,Boka Hana Ubora kama tulivyoaminishwa!

Naelewa timu za ligi kuu msimu huu ziko vizuri,hilo halina Ubishi!

Tatizo la timu yangu ya Yanga ni Kucheza vibaya kila mechi na kushinda Kuwa katiri kwenye lango la mpinzani tofauti na msimu uliopita!

Mechi ya Jkt wiki iliyopita walikuwa wanacheza mpira mzuri pamoja na kipa wao kupewa kadi nyekundu!,Hivi Yanga ya Msimu uliopita ingekuta Jkt kapewa redi kadi vile tena kipindi Cha kwanza,Nina hakika Jkt angekufa si chini ya goli 7!

Tatizo kwasasa pale Yanga ni Nini?, na Je tiba yake ni ipi?

Kila siku timu badala ya kuongeza kiwango ndiyo inashuka kiwango!
 
Muhimu pointi tatu zinapatikana kwenye kila mechi. Hayo masuala ya timu kucheza vizuri/vibaya yaachiwe kocha na benchi lake la ufundi.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!


Kabla ya yote nikubali ya kwamba Mimi ni shabiki na mkereketwa wa timu ya Yanga!,hivyo nitakachokiandika hapa kinaihusu timu ya Yanga!

Tangu ligi ya NBC imeanza kiukweli binafsi hakuna mechi hata moja kutoka Kwa timu yangu ya Yanga iliyonishawishi na kunivutia!

Timu kwasasa inashinda Kwa mbinde na makosa ya Marefa (Ukweli lazima usemwe),sijaona kabisa timu ikitengeneza nafasi na Kuwa katiri kwenye lango la mpinzani,hii ni tofauti kabisa na msimu wa mwaka Jana!,Sasa bado sijaelewa ni mbinu na kiwango Cha Gamondi kimefika mwisho au tatizo ni wachezaji?

Mbona wachezaji takribani wote wa msimu wa mwaka Jana ndiyo hawahawa?,au shida ni kuchoka?

Wachezaji walioshuka kiwango Kwa Hali ya Juu!

1.Aziz Ki

Huyu jamaa Bado sijajua ni kitu gani kinamsumbua,yaani akiwa nje kabla hajaingia unaona namna anavyowaelekeza wenzie wakiwa dimbani utadhani yeye ndiye kocha!,ila akiingia uwanjani anacheza ovyo mnoo!

2.Khalid Aucho
Huyu yeye kiwango kimeshuka zaidi na Wala halihitaji binocular kuona hilo,kwasasa Babu Kaju ni Bora kuliko Aucho ila sema ndo vile Kwa Gamondi ni kama kalogewa!,jamaa anacheza vibaya na kiwango hakiridhishi hata kidogo,sijajua ni kutumika sana au umri umemtupa mikono!

3.Chadrak Boka

Bado sijajua sababu za kutokumuongezea mkataba Joyce Lomalisa zilikuwa ni zipi,Huyu Boka hamzidi kitu chochote Kibabage,kwasababu kama ni kukimbia wote wanakimbia na hatimaye huwa hawana mbinu mbadala,Joyce Lomalisa alikuwa ni habari nyingine linapokuja suala la utulivu na upigaji wa Krosi!,Kama Hersi aliamua kutomuongezea mkataba Lomalisa na kumletea Boka Kwa nia ya kuongezea hatari Kwa wapinzani,kiukweli hapa tumeingia chakike!,Boka Hana Ubora kama tulivyoaminishwa!

Naelewa timu za ligi kuu msimu huu ziko vizuri,hilo halina Ubishi!

Tatizo la timu yangu ya Yanga ni Kucheza vibaya kila mechi na kushinda Kuwa katiri kwenye lango la mpinzani tofauti na msimu uliopita!

Mechi ya Jkt wiki iliyopita walikuwa wanacheza mpira mzuri pamoja na kipa wao kupewa kadi nyekundu!,Hivi Yanga ya Msimu uliopita ingekuta Jkt kapewa redi kadi vile tena kipindi Cha kwanza,Nina hakika Jkt angekufa si chini ya goli 7!

Tatizo kwasasa pale Yanga ni Nini?, na Je tiba yake ni ipi?

Kila siku timu badala ya kuongeza kiwango ndiyo inashuka kiwango!
Yanga imeinvest zaidi kwenye matches za kimataifa champions ligi hawakamii sana wanacheza kawaida tu.
Ngoja uone kwenye kimataifa wanavyopiga boli.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!


Kabla ya yote nikubali ya kwamba Mimi ni shabiki na mkereketwa wa timu ya Yanga!,hivyo nitakachokiandika hapa kinaihusu timu ya Yanga!

Tangu ligi ya NBC imeanza kiukweli binafsi hakuna mechi hata moja kutoka Kwa timu yangu ya Yanga iliyonishawishi na kunivutia!

Timu kwasasa inashinda Kwa mbinde na makosa ya Marefa (Ukweli lazima usemwe),sijaona kabisa timu ikitengeneza nafasi na Kuwa katiri kwenye lango la mpinzani,hii ni tofauti kabisa na msimu wa mwaka Jana!,Sasa bado sijaelewa ni mbinu na kiwango Cha Gamondi kimefika mwisho au tatizo ni wachezaji?

Mbona wachezaji takribani wote wa msimu wa mwaka Jana ndiyo hawahawa?,au shida ni kuchoka?

Wachezaji walioshuka kiwango Kwa Hali ya Juu!

1.Aziz Ki

Huyu jamaa Bado sijajua ni kitu gani kinamsumbua,yaani akiwa nje kabla hajaingia unaona namna anavyowaelekeza wenzie wakiwa dimbani utadhani yeye ndiye kocha!,ila akiingia uwanjani anacheza ovyo mnoo!

2.Khalid Aucho
Huyu yeye kiwango kimeshuka zaidi na Wala halihitaji binocular kuona hilo,kwasasa Babu Kaju ni Bora kuliko Aucho ila sema ndo vile Kwa Gamondi ni kama kalogewa!,jamaa anacheza vibaya na kiwango hakiridhishi hata kidogo,sijajua ni kutumika sana au umri umemtupa mikono!

3.Chadrak Boka

Bado sijajua sababu za kutokumuongezea mkataba Joyce Lomalisa zilikuwa ni zipi,Huyu Boka hamzidi kitu chochote Kibabage,kwasababu kama ni kukimbia wote wanakimbia na hatimaye huwa hawana mbinu mbadala,Joyce Lomalisa alikuwa ni habari nyingine linapokuja suala la utulivu na upigaji wa Krosi!,Kama Hersi aliamua kutomuongezea mkataba Lomalisa na kumletea Boka Kwa nia ya kuongezea hatari Kwa wapinzani,kiukweli hapa tumeingia chakike!,Boka Hana Ubora kama tulivyoaminishwa!

Naelewa timu za ligi kuu msimu huu ziko vizuri,hilo halina Ubishi!

Tatizo la timu yangu ya Yanga ni Kucheza vibaya kila mechi na kushinda Kuwa katiri kwenye lango la mpinzani tofauti na msimu uliopita!

Mechi ya Jkt wiki iliyopita walikuwa wanacheza mpira mzuri pamoja na kipa wao kupewa kadi nyekundu!,Hivi Yanga ya Msimu uliopita ingekuta Jkt kapewa redi kadi vile tena kipindi Cha kwanza,Nina hakika Jkt angekufa si chini ya goli 7!

Tatizo kwasasa pale Yanga ni Nini?, na Je tiba yake ni ipi?

Kila siku timu badala ya kuongeza kiwango ndiyo inashuka kiwango!
Mawazo kama haya Huwa yanatoka Kwa Mashabiki wa Simba.

Mashabiki wa Yanga tunajua Changamoto ya Uwanja, tunajua team Ina Wachezaji karibia 30 na wote ni Wachezaji wa Team.

Tunajua approach ya team ikicheza Ugenini ni tofauti na Nyumbani.

Tunajua team nyingi zinatukamia..!

Mashabiki wa Yanga hatuna mawazo ya aina hii.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!


Kabla ya yote nikubali ya kwamba Mimi ni shabiki na mkereketwa wa timu ya Yanga!,hivyo nitakachokiandika hapa kinaihusu timu ya Yanga!

Tangu ligi ya NBC imeanza kiukweli binafsi hakuna mechi hata moja kutoka Kwa timu yangu ya Yanga iliyonishawishi na kunivutia!

Timu kwasasa inashinda Kwa mbinde na makosa ya Marefa (Ukweli lazima usemwe),sijaona kabisa timu ikitengeneza nafasi na Kuwa katiri kwenye lango la mpinzani,hii ni tofauti kabisa na msimu wa mwaka Jana!,Sasa bado sijaelewa ni mbinu na kiwango Cha Gamondi kimefika mwisho au tatizo ni wachezaji?

Mbona wachezaji takribani wote wa msimu wa mwaka Jana ndiyo hawahawa?,au shida ni kuchoka?

Wachezaji walioshuka kiwango Kwa Hali ya Juu!

1.Aziz Ki

Huyu jamaa Bado sijajua ni kitu gani kinamsumbua,yaani akiwa nje kabla hajaingia unaona namna anavyowaelekeza wenzie wakiwa dimbani utadhani yeye ndiye kocha!,ila akiingia uwanjani anacheza ovyo mnoo!

2.Khalid Aucho
Huyu yeye kiwango kimeshuka zaidi na Wala halihitaji binocular kuona hilo,kwasasa Babu Kaju ni Bora kuliko Aucho ila sema ndo vile Kwa Gamondi ni kama kalogewa!,jamaa anacheza vibaya na kiwango hakiridhishi hata kidogo,sijajua ni kutumika sana au umri umemtupa mikono!

3.Chadrak Boka

Bado sijajua sababu za kutokumuongezea mkataba Joyce Lomalisa zilikuwa ni zipi,Huyu Boka hamzidi kitu chochote Kibabage,kwasababu kama ni kukimbia wote wanakimbia na hatimaye huwa hawana mbinu mbadala,Joyce Lomalisa alikuwa ni habari nyingine linapokuja suala la utulivu na upigaji wa Krosi!,Kama Hersi aliamua kutomuongezea mkataba Lomalisa na kumletea Boka Kwa nia ya kuongezea hatari Kwa wapinzani,kiukweli hapa tumeingia chakike!,Boka Hana Ubora kama tulivyoaminishwa!

Naelewa timu za ligi kuu msimu huu ziko vizuri,hilo halina Ubishi!

Tatizo la timu yangu ya Yanga ni Kucheza vibaya kila mechi na kushinda Kuwa katiri kwenye lango la mpinzani tofauti na msimu uliopita!

Mechi ya Jkt wiki iliyopita walikuwa wanacheza mpira mzuri pamoja na kipa wao kupewa kadi nyekundu!,Hivi Yanga ya Msimu uliopita ingekuta Jkt kapewa redi kadi vile tena kipindi Cha kwanza,Nina hakika Jkt angekufa si chini ya goli 7!

Tatizo kwasasa pale Yanga ni Nini?, na Je tiba yake ni ipi?

Kila siku timu badala ya kuongeza kiwango ndiyo inashuka kiwango!
lomalisa hakuwa accurate, na alikuwa liability kubwa sana, mara nyingi anacheza faulu zinazoigarimu timu, hana mbio kama boka, huwezi kuwalinganisha.
 
lomalisa hakuwa accurate, na alikuwa liability kubwa sana, mara nyingi anacheza faulu zinazoigarimu timu, hana mbio kama boka, huwezi kuwalinganisha.
Boka ana mbio lakini mbio zake hazina madhara Kwa wapinzani mkuu!
 
Mkuu ups & down ktk kazi ni jambo la kawaida, hivo tusiwachukulie wachezaji wetu kama maroboti.
Nakubaliana na wewe mkuu but Kocha mkuu na kocha wa viungo Kuna kazi ya ziada!,sijajua ni kwanini Gamondi alimkataa yule kocha wa Viungo aliyemkuta,jamaa aliwajenga wachezaji Kwa Ubora wa Hali ya Juu!

Huyu wa Sasa ni kama hakuna anachokifanya,si mbali utasikia Yanga wameachana nae
 
Back
Top Bottom