Gavana wa Dar ndo moyo wa Sizonje
Hakuna namna anaweza muwajibisha......
gavana = f(hirizi>jiwe)Tamko la kuweka ndani mashoga liliwaudhi sana nchi zilizoendelea, kule tunakopeleka bakuli ili tupate chenga za kupikia uji maisha yaendelee, wana heshima sana haki za binadamu.
Kitendo cha kutokumuwajibisha Gavana wa Dar kimechukuliwa kama ni dharau kwavwafachili wetu. Pia ni kuwa serikali inakubali kunyanyasa mashoga Tunapata msoto huu kisa ni mtoto mpendwa.
Pamoja na hayo bunge live , uhuru wa vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara, uhuru wa kutoa maoni ni mojawapo ya sababu 15 zilizowekewa serikali ya mtukufu.
🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️gavana = f(hirizi>jiwe)
Ana andaa sinema nyingine sijui ita kuwa episode ya ngapi.Hasikiki kabisa.
Kwa mashoga nampongeza gavana wa dar
Sasa unampongeza kwani amefanikiwa? Mashoga hawajakamatwa na misaada tumenyimwa. Amecreate unnecessarily messy.
Sasa mashoga wa nini hata mimi namsapoti hiyo kitu sio kabisa
Mi si juzi nilisema kaambiwa akae kimya kwanza upepo ukae sawa maana ulivuma sanaHasikiki kabisa.
oyaaaaa nampongeza sana utake usitake kakitegeshe kwa mabasha wako misaada hainihusu.
I am so disappointed in you. Nilifikiri unaweza hata kuargue intelligently.
WB wametunyima misaada inayohusiana na elimu. Kwa maana hiyo elimu haikuhusu.
Denmark wamekuwa ni partners wetu kwenye afya na elimu kwa muda mrefu tu. Kwa hiyo wewe hiyo haikuhusu.
Unajua kiasi tunachopokea kwenye afya kutoka hizo nchi wahisani? Hizo ARVs na chanjo unadhani huwa mnanunua kwa hela zenu? Na unajua budget yake?
Inasikitisha sana unatoa maneno ya ajabu ajabu hapa jukwaani kutetea vitu visivyo na mashiko.
Kweli you could remove Numbisa at al from the Bush but you could not remove the bushes from her/his head.
Gavana kiboko ya mashoga.
Misaada tulishaanza kunyimwa tangu zamani hasa kwenye sakata la lissu kupigwa risasi.
Well done gavana. Hakunaga msaada wa bure jamani.
Anaandaa drama.. we subiri iibuke skendo kubwa uone spinning itakayopigwa. Ifanikiwe isifanikiwe ye hajali maana ana assuarance.Ila kwa sasa kama vile kafyumu aisee