The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Sina maneno mengi, kiufupi hatupaswi kulemba mwandiko
Wala kuoneana aibu.
Tuache ushikaji Katika KAZI. Tusimamie rasilalimali zetu na mikopo tunayopewa ipasavyo.
Enzi zile nyeusi ilikuwa nyeusi na nyeupe ilikuwa nyeupe, pamoja na janga la corona Lakini tulitoboa.
Kwa sasa ni tofauti nyeusi kama nyeusi na kama siyo nyeusi ni nyeusi tu that is why timeporomoka.
Wala kuoneana aibu.
Tuache ushikaji Katika KAZI. Tusimamie rasilalimali zetu na mikopo tunayopewa ipasavyo.
Enzi zile nyeusi ilikuwa nyeusi na nyeupe ilikuwa nyeupe, pamoja na janga la corona Lakini tulitoboa.
Kwa sasa ni tofauti nyeusi kama nyeusi na kama siyo nyeusi ni nyeusi tu that is why timeporomoka.